Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Wakuu nahitaji kufahamu lugha ya kilingala
1 Reactions
15 Replies
8K Views
Keki kavu hupendeza sio yenye maji ndani, Utaila unacheza ngoma haionekani, Kama utajilegeza utaomba hadharani, Haikwami ukimeza mambo hua burudani, Kwa kweli yanishangaza utamu hadi ndotoni...
0 Reactions
3 Replies
960 Views
SULE badala ya SALEHE SHAKAZULU badala ya MASHAKA OMMYGUY badala ya OMARI DULA badala ya abdallah SIDEBOY badala ya SAIDI MUDYGUY badala ya MOHAMMED
0 Reactions
3 Replies
2K Views
hii nyimbo itachangia mno kuharibu kiswahili..... sio kiswahili fasaha kusema hakunaga.....
1 Reactions
68 Replies
9K Views
laptop au personal computer ni lugha ya kiingereza, Kwa m2 anayefahamu naomba aniambie LAPTOP inaitwaje kwa KISWAHILI plz
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Habari wanajamvi!! Nimekua nikifatilia sana maswala yahusuyo lugha yetu adhimu ya Kiswahili na mara nyingi huwa najaribu kutafuta majibu kwanza mwenyewe kwa Misamiati mingi ya lugha, unakuta...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Hii ni English Ya Mwanafunzi Bora Wa Form4.. Akimwambia Mzungu Ugumu Wa Kupanda Mlima Kilimanjaro Sababu Haujanyooka Moja Kwa Moja: SIR,TO PLANT MOUNT KILIMANJARO IS NOT A PRESIDENT JOB BECOZ...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
wanajamvi naomba mnijuze maana ya msemo huu "atangazaye nilimo si mwana wa liwali" nimeusikia leo prof kabudi wa udsm akiusema katika mahafali ya chuo cha usimamizi wa kodi tra-ita
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nimesikia redio za hapa nchini (Mfano za Rev. Dk G. Rwakatare na Rev. Mtume Ephata) kutumia neno "Kumwambukiza" mtu uwezo au kipawa cha kufanya miujiza au upako. Je ni kiswahili sanifu?. Neno...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
sentensi ni tungo lakini si kila tungo ni sentensi, jadili
0 Reactions
2 Replies
14K Views
Imekuwa ni kawaida kusikia watu wazima wakijiita yatima eti kisa ni kufiwa na wazazi..........Ninavyojua mimi msingi wa uyatima unaanza pale ambapo mtoto anapofiwa na mzazi/wazazi wakati akiwa...
0 Reactions
1 Replies
16K Views
Hivi maneno haya kwa kiingereza yanaitwaje?1.Sukari guru 2.Mkungu wa ndizi.
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Wakuu sio kwamba nimekosea jukwaa ila naona hili linahusika sana humu pia mara nyingi sana kwa sisi watz utakua akiwepo mzungu mmoja au wawili au watatu lugha inabadilishwa tunaongea kiingereza...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Enyi wadau wa Kiswahili. Habari zenu? Nawasilisha hapa misemo hii ninayoisikia kwenye radio na tv na kuisoma kwenye magazeti (hata hapa JF) na napata shida kuielewa. Naanza kuzungumzia moja baada...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Jamani neno "live/directo " lina kiswahili chake? Nifahamisheni mwenzenu maana najiuliza luninga zetu hawajui ka mie au halipo bora waandike laivu
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nimesoma mahala kuwa "Nyani haoni kundule" Sio msemo ngeni kwangu ila naomba anaelewa anisaidie wanaposema Kundule wana maana ipi?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Baraza la Kiswahili la Taifa limezitaka mamlaka zote zinashughulika na kucimamia teknolojia ya habari (Tehama) pamoja na vyombo vya habari (ikiwa ni pamoja na JF) kusitisha matumizi ya maneno...
1 Reactions
7 Replies
6K Views
Wakuu sio kwamba nimekosea jukwaa ila naona hili linahusika sana humu pia na nitairusha pia jukwaa la sheria mara nyingi sana kwa sisi watz utakua akiwepo mzungu mmoja au wawili au watatu lugha...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Ni karine nyingi sana tangu afrika mashariki ilipoanzisha msemo wa lunga ya kiswahili. Na hii ilisababishwa na muungano wa wageni nchini na wenyeji. Tangu wakati huo, lugha hii ilichukuliwa kama...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom