Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Jamani wadau wa elimu, tunashangazwa na hawa jamaa wa TATAKI UDSM eti wanatunga vitabu vya sekondari kwa kiswahili kama njia ya kukuza kiswahili wakati mitaala ya kufundishia kwanza hakuna...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamani, inasikitisha kuona kwamba bado tunaendelea kupotosha jina halisi na lugha fasaha ya kiswahil kwa hiki chombo kinachoitwa Decoder kwa kiingereza. Decoder kwa kiswahili fasaha ni KISIMBUZI...
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Heshima kwenu wakuu! Nauliza, hivi kwanini raia wa nchi jirani ya Rwanda wanajulikana kama Wanyarwanda na si Warwanda? Ebu angalia majina ya raia wa nchi zifuatazo wanavyotambulika kutokana na...
1 Reactions
16 Replies
3K Views
Watu wengi hasa watangazaji wa redio na TV wamezoea kuitaja timu ya YANGA kama Young Africa badala ya Young Africans. Ijulikane kuwa Africa ni bara na Africans ni waafrika. Wanapoitaja timu ya...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
tofauti ya tundu.shimo na tobo
0 Reactions
2 Replies
3K Views
hivi TBC wakisema "habari mpasuko" huwa wana maanisha nini.
0 Reactions
7 Replies
9K Views
Malonyalonya Nguo za mtumba ambazo huuzwa katika furushi la jumla na kwa bei moja bila kujali ukubwa au aina ya nguo. Nguo hizi mara nyingi huhitaji marekebisho ya vipimo ili yaendane n aumbo la...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Hola, tu hablas español??
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Hivi maji yanatibiwa? Naomba wana-jamvi tuelimishane.
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Wakuu, kuna misa ya Mwaka Mpya inaendelea sasa hivi Rome na kuonyeshwa live na kituo kimoja cha televisheni kiitwacho EWTN. Misa inaendeshwa kwa lugha ya Kilatini lakini nimefurahi sana kumuona...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Akichangia hoja ya Waziri wa Elimu , hivi majuzi Mhe. Tundu Lissu, namnukuu ; "Huu muswaada aliouleta waziri hauna mantiki wala tija yeyote ktk Elimu ya Tanzania. Hii ni sawa serikali iliopo...
0 Reactions
8 Replies
5K Views
Jaman naomba msaada wa tofauti kati ya maonesho na maonyesho
0 Reactions
3 Replies
3K Views
1.Gari la kuvutwa hali overtake. 2.Hata uwe na bahati vipi hauwezi kuokota nyumba. 3.Mganga wa jadi haagizi tembele. 4.Wimbo wa taifa haupigwi disco. 5.Kandambili haipigwi kiwi 6.Usiteme Big G kwa...
5 Reactions
59 Replies
7K Views
"kibalakala" nimetafuta kwenye kamusi zote nimekosa,mwenye msaada tafadhali.
0 Reactions
5 Replies
12K Views
Amweye mwawagima?nie nouza wang'wele wayangu mudijamv wabaho?kama wabaho niwaone mana ukolo mdodo sana uno.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Naomba kujua, mtu mwenye vidole sita huitwaje?
0 Reactions
7 Replies
5K Views
Bahati haina kwao popote inathibiti ili niwe na upeo nasubiri siipati moyo nimesema nao isipokuja sijuti, sihusudu wapatao ingawa mimi sipati sihusudu wenye vyao siihimizi bahati toka kale hadi...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
wana jf,tunabishania kuchinja tu.baada ya kupewa maelezo na mzee wangu mmoja nikaenda kwenye kamusi nikakuta maana ya kibudu.1.mnyama alikufa bila kuchinjwa,mzoga,nyamafu anayeliwa.2.kufa bila...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Nimesikia mara nyingi Spika au Mwenyekiti wa vikao vya Bunge akimwambia Mbunge: Kaa chini! Maneno haya yanasemwa kwa ukali kidogo kuonyesha uzito wa mamlaka alio nao spika au mwenyekiti...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Naomba mnitajie neno na kiswahili linaloishia na FO lisiwe kifo wala fofofo...?
1 Reactions
19 Replies
11K Views
Back
Top Bottom