Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Tafadhalini wana jamvi nauliza kujiongeza ndio nini, naona vijana wengi wanatumia hilo neno.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
wakuu naombeni mnijuze tofauti kati ya haya maneno, hayati na marehemu.
0 Reactions
8 Replies
2K Views
habari wana Jf hasa katika uga huu wa lugha.
0 Reactions
0 Replies
6K Views
Nashindwa kuwaelewa baadhi ya watu wasemavyo, muda huu ni wa kuuaga mwili wa marehemu. Hebu tuwekane sawa! Je, inawapasa wasemeje ili kuuondoa utata wa lugha! Tafadhali dadafueni kauli hiyo.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hiki kiswahili kimenishinda.. Kuna mahali naona watu wana comment, "kufikiri kwa kutumia masaburi".. Masaburi ni nini hasa??.. Shukrani
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kwa matumizi ya kawaida na ya kila siku ya maneno haya, inawezekana kuna watu huitwa kwa majina haya isivyostahiri. Maneno yenyewe ni kama; Tahila zezeta punguani hayawani chizi kichaa...
0 Reactions
6 Replies
15K Views
Is 12 o'clock midnight AM or PM? Kwa kiswahili ni saa 6 Usiku! Which one is correct? Is it AM or PM?
0 Reactions
8 Replies
10K Views
Katika kizazi kijacho kitakuwa hakijui kiswahili fasaha kwa kiasi kikubwa sana, kwani baadhi ya radio zetu zimekuwa mstari wa mbele kuua lugha yetu na kuingiza maneno ya kihuni tuu, sipati picha...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Bahari za mihangaiko wanandugu....leo katika maongezi na baadhi ya wadau hapa mtandaoni..jamaa yangu akasema..."Tatizo la sisi waswahini ni kwamba hatunaga future katika mipango yetu...tuna zamani...
0 Reactions
40 Replies
11K Views
Kwa wasiofahamu elimu ya mwandishi wa vitabu vya riwaya na mashairi hayati shaaban Robert ana elimu ya darasa la nne.Unazikumbuka kazi zake hizi?Kusadikika,kufikirika,Adili na Nduguze n.k.Je hao...
0 Reactions
9 Replies
5K Views
Wana JF mnijuze,kipi kinakatika umeme au waya?
2 Reactions
25 Replies
4K Views
nini maana ya neno tundu na nenu lusu?
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Jamani nimekwama swali hili nimefikiria sana lakini wapi! MARITAL STATUS ni nini kwa Kiswahili?
0 Reactions
17 Replies
32K Views
Wanajamii nisaidieni kutafsiri. kuna aina ya maharage, ni madogo meusi yana mstari mmoja mweupe yanaitwa ngwara kwa kiswahili, yanalimwa sana hai na maeneo mengine pia hutengeneza mafuta wakati...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wakuu Nisaidie hiki kiswahili cha BBC Umoja wa Mataifa umeziomba pande zote katika vita vya Libya, kuzuwia vitendo vya kulipiza kisasi. Taarifa hiyo imetolewa baada ya kuarifiwa kuwa wanajeshi...
0 Reactions
7 Replies
5K Views
Asalaam alekum wanajamvi?naomba msaada wenu katika maneno haya UPEMBUZI YAKINIFU na SUALA MTAMBUKA.nimekuwa nikiyasiki yakitumiwa sana na wanasiasa hasa mjengo lakini sijajua ni muktadha wa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wana jf nisaidien nin maana sahihi ya artificial intelligence.na kwa kiswahili linaandikwaje?
0 Reactions
4 Replies
2K Views
japo naweza kuonekana mshamba ila naomba mnielimishe 'Rep Power' lina maana gan humu jf?
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari ya wakati huu waungwana! Ninaweza saidiwa hili neno kwa kiswahili linaitwaje? 'BUSY' 'in swahili vocabullary' Kwasababu watu wengi utawasikia wakisema, 'nipo busy bwana, au hata kwa...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Kula = kufuturu chakula = futari Njaa = swaumu Enyi wataalamu wa lugha naomba msaada wenu na sababu za kitaalamu juu ya mabadiliko haya. Nawasilisha
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom