Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Hayati Bibi Titi Mohamed alipojiunga na TANU alimshauri Hayati Nyerere alifunze Kiswahili, binafsi nimekuwa nikijiuliza na kuduwaa kwa hili, maana Wakoloni kuanzia Wajeremani walijifunza na...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
utakuta mwanaume anaitwa shehe ali, au ustaz ali, au maalim seif. je mwanaidi atapewa kiambatanishi gani? hapo naomba kueleweshwa tu. sina ubaya.
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Hivi ni sahihi kumuita SECOND MISTRESS wakati kukiwa na HEAD MASTER. Ninavyojua second mistress ni msaidizi wa head master hivyo alitakiwa aitwe SECOND MASTER hata kama ni mwanamke. Nisaidieni...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wajameni naomba kufafanuliwa hili neno FISADI! hapo nyuma tumesikia kua ufisadi ni ubadhirifu wa mali za umma au kujilimbikizia mali kwa njia isiyo halali, lakini hapa karibuni tumemsikia mkubwa...
0 Reactions
9 Replies
7K Views
Nimejiuliuliza mara nyingi kuhusu suala la unyumba...ni nini maana yake? Eti kaninyima unyumba,ama mpe unyumba. Kwanini watu wasiwe wawazi
0 Reactions
9 Replies
11K Views
Kuna baadhi ya misemo watu wanapenda kuizungumza na wengine kuiandika kwenye magari kwa nyuma kama ujumbe,mda mwingine kufurahisha watu au kuelimisha. Ila msemo mmoja unasema kwamba ''MASIKINI...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Ujamaa uliikosesha Tanzania ajira za Kiswahili Marekani...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Ndugu wana JF, Tafsiri ya "Development Finance" kwa Kiswahili imenipa shida sana. Je ni Maendeleo ya Fedha au Fedha za Maendeleo, au nk. Naomba msaada. Wenu, Bavuvi
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Jamani neno "virusi" limeingia katika lugha. Wengu huandika "Virusi vya UKIMWI", "virusi vya kompyuta". Lakini hii ina matata. Nimeshaona watu wanaoandika "virusi vya kompyuta ni hatari; wiki...
0 Reactions
17 Replies
5K Views
WanaJamii Habari ya mchana, poleni na majukumu na tafakuri za hapa na pale Wandugu, nina thesis naiandika kuhusu uchaguzi mkuu wa mwaka huu, na nahitajika kutumia neno kuchakachua kwa kiingereza...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
hivi karibuni nilitembelea wilaya ya mpwapwa na katika kijiji kimoja mwanafunzi mmoja wa kike aliyemaliza kidato cha 4 mwaka jana katika shule ya kata ya kata hiyo mpya iliyoanzishwa hivi karibuni...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
lipi sawa "SASISHA" au "SASAISHA" na pia tafsiri ya "VALIDATE" nimeona kwingi ikitumika "sahihisha" lakini kwa maoni yangu itakuwa "to correct"
0 Reactions
3 Replies
7K Views
Neno Mfawidhi hutumika kwenye nyadhifa ya baadhi ya Weledi kama vile za Utabibu kuwa Waganga/Wauguzi Wafawidhi, kwenye Sheria kuna Jaji Mfawidhi, n. k. Nimeangalia kwenye Kamusi ya Tuki wametoa...
0 Reactions
5 Replies
16K Views
Jamani eh, mimi natatizika sana na hili neno Daktari Bingwa. Kimantiki linaonekana kama mtu aliyebobea katika fani fulani ingawa kwa matumizi nadhani linamaanisha daktari aliyespecialise katika...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Naomba wana JF mnisaidie, neno sahihi ni lipi? JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA au JAMHURI YA MUUNGANO YA TANZANIA? Naomba nipate ufafanuzi wa kila moja
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Is this 'no school' or?
0 Reactions
46 Replies
5K Views
tasunyata kama kinda, ni spika wetu makinda, sheria sasa zamdinda, na hoja anazisunda. wengi tumeshuhudia, kwanza kilipowadia, hasira kukusudia, leo nimeshuhudia. bunge limekosa spika, viroja...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
NINAVYOFAHAMU MIMI Neno "chakachua" tayari ni neno sanifu la kiswahili na lilianza kupata umaarufu baada ya EWURA kuanzisha kampeni kabambe ya kudhibiti vitendo vya kuchakachua mafuta hususani...
0 Reactions
1 Replies
9K Views
Kama kuna misemo itakumbukwa ssana katika uchaguzi mkuu wa 2010 nchini Tanzania ni matumizi ya neno kuchakachua. neno hili lkimekuwa maarufu sana na hivi sasa mbali na kuanzza kutumiwa katika...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…