Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Neno mzigo Lina maana nyingi sana.... Mzigo - pesa ....Utasikia jamaa ana mzigo.. Mzigo - mchepuko...Utasikia Yule dada mzigo wa jamaa... Mzigo- makalio makubwa ...Utasikia Yule dada ana mzigo...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Shairi bora kupata kutokea 1. Karudi baba mmoja, toka safari ya mbali, Kavimba yote mapaja, na kutetemeka mwili, Watoto wake wakaja, ili kumtaka hali, Wakataka na kauli iwafae maishani. 2...
3 Reactions
15 Replies
8K Views
Naomba kujuzwa kama ni sahihi kutumia neno tajwa kwenye lugha yetu adhimu ya Kiswahili, mfano " Barua ilipotelea ofisini kwako "
0 Reactions
4 Replies
575 Views
Mgeni siku ya kwanza mpe mchele na panza; mtilie kifuani, mkaribishe mgeni. Mgeni siku ya pili mpe ziwa na samli; mahaba yakizidia, mzidishie mgeni. Mgeni siku ya tatu jumbani hamuna kitu. mna...
6 Reactions
11 Replies
6K Views
Whap'am? - Hello? The official national language of Jamaica is English although Jamaicans speak an English dialect called ''Jamaican Patois''. The communication accent can be difficult for other...
4 Reactions
22 Replies
119K Views
As I promised last time, today we want to see the difference btn BRING/GIVE a) BRING: This is used when something is not in hand of a person talking to. Eg. When you need drinking water you...
3 Reactions
5 Replies
878 Views
Hivi karibuni, rais Xi Jinping wa China alifanya ziara ya ukaguzi katika magofu ya Yinxu mjini Anyang, katikati ya China na kusema “Maandishi ya lugha ya Kichina yameshangaza sana, na kufanya kazi...
0 Reactions
5 Replies
689 Views
Mzuka Wanajamvi! Leo nimecheka Karibu nife. Yani hawa majirani zetu bana. Eti chupi wanaita nghodha nimebaki kushangaa tu WTF! Cheka balaa.
1 Reactions
25 Replies
2K Views
Azam media imebamba hapa Tanzania! Watanzania wanatazama na kuvutiwa na tamthilia zinazorushwa kwenye Chanel hii! Bahati mbaya waswahili wanaonakilisha sauti kwenye tamthilia Wana shida kubwa...
1 Reactions
0 Replies
534 Views
Kila anapomaliza kumkaribisha Oni Sigala (Mhariri Mtendaji wa BAKITA) humalizia kwa kujiita eti "Mfalme wa Lugha". HAPANA Abel USIFANYE HIVYO. Sioni chochote cha wewe kujiita jina hilo KUBWA...
1 Reactions
6 Replies
3K Views
Fasihi Simulizi ni fasihi inayotungwa au kubuniwa kichwani na kuwasilishwa kwa hadhira kwa njia ya mdomo na vitendo bila kutumia maandishi. TUKI (2004) Fasihi Simulizi ni kazi ya fasihi...
1 Reactions
1 Replies
583 Views
Naliandika kwa wino, tozi linanidondoka Ni vipi hiki kibano, kwako nilichokikuta Tozi linanidondoka. Nilihisi nimefika, kwako nikajiburuta Kiu yangu kadhalika, kubwa ilonikamata Tozi...
0 Reactions
0 Replies
494 Views
0 Reactions
4 Replies
869 Views
Wadau wale wanazungumza lugha ya hispania hapa ndio tuongeze maujuzi maujanja tuchat kwa lugha hii tusipoteze dira ili na wale amabao wana uelewa mdogo waendelee kuzoea. Ushauri Tufanye yetu...
3 Reactions
208 Replies
19K Views
MATUMIZI YA NENO MHESHIMIWA (HONORABLE) Yahusu kuheshimisha nyadhifa na majukumu kwa majina ya nyadhifa na kazi zao. Waliosoma vyuo vikuu na kuchukia kozi ya rhetorical language watakuwa...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Habari Wanandugu, Katika kitu ambacho huwa kinanishangaza katika nyakati hizi ni maandishi na matamshi ya baadhi ya herufi na silabi. Huwa najiuliza kuwa Watanzania tunakwama wapi kwenye herufi...
8 Reactions
249 Replies
24K Views
Ndugu wanabodi nilikuwa naomba msaada mwenye kujua wapi naweza kujifunza kijerumani kwa ufasaha kuongea na kuandika hata kama ni kwa njia ya mtandaoni nipo tiyari
1 Reactions
24 Replies
4K Views
Kwa anayefahamu Equivalent Qualifications Certificates ni nini? Je, inautofauti gani na Transcript NB Kwa aliyemaliza diploma
0 Reactions
4 Replies
1K Views
wana jf naomba tafsiri ya neni bluetooth kwa kiswahili!
0 Reactions
10 Replies
15K Views
Wapendwa nimekuwa nikilisikia mara nyingi hili neno lakini nashindwa kuelewa vema
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…