Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Je, mzazi wako unaweza kumuita mlezi wako? Naomba michango yenu wadau kwani naamini hapa ndipo kisima cha fikira na michango hai katika hiyo hoja. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
806 Views
Nakigwaga giki u-gabitaga u-ng'wenumu m-JF! Kwandya solo nakugishe nkulu'one ng'wanoshimba, Mlimhola ahakaya bagheshi? Niza lulu ndug'wane giki. Bananzengo ba Tanzania bagalamula giki ubize...
3 Reactions
73 Replies
13K Views
Ya’raabi nipe kauli, niseme hili na lile, Kauli isiyo kali, isiwe kama ya yule, Niseme lililo kweli, la mbuni hawa na wale, Mbuni kichwa mchangani, kwanini mbuni habuni? Mbuni wana ile hali, hali...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Nimeorodhesha tabia mbalimbali za makabila yetu ili kuangalia ni wapi tumekosea na tujirekebishe ili kuondoa sura yetu mbaya machoni kwa jamii. Hapa kila mtu akiikana nafsi yake na kuikataa tabia...
7 Reactions
181 Replies
73K Views
kama elimu bahari, makasia yako wapi? jahazi za kifahari, dereva twapata wapi? ataendesha kwa shari, kweli tutafika wapi? bahari ikitulia, chombo kitarudi pwani. mengi majahazi yapo, kwa majina...
0 Reactions
0 Replies
937 Views
Kumbe ndoto Naona Afrika, yatoka gizani Nuru ikiwaka, tokea angani Tukinawirika, hadi mashavuni Ghafla nashituka, he ! kumbe ni ndoto. Tunafaidika, toka migodini Yazidi uzika, yetu madini Miji...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Samahani wazee Nikitaka kusema "Juma agawa pesa kwa Wanawake" Nasemaje? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Nawaza nawazua Kama ni fumbo fumbua Ila Kitendawili tegua Twenti twenti ilishawadia Uchaguzi watunyemelea Siasa yaanza kukolea Yatupasa vijana kuingia Huu muda si wa kuzodoa Taifa linatutegemea...
0 Reactions
1 Replies
896 Views
Profession ni kitu gani? Na nini anayeitwa professional?
0 Reactions
12 Replies
6K Views
CHOZI LA MWANA ZIWANI Ngozi yote mesinyaa, Nywele zote mesosoka Chuchu zote mesinyaa, Kwake amebahatika Jasho linamhadaa, Maziwa meshakatika CHOZI LA MWANA ZIWANI, NANI ATAELIONA Maisha yalo...
0 Reactions
0 Replies
641 Views
1. Haki ya nani Watu wamekuwa wakiapiza Sana kutumia haya maneno. Nimezoea sana kusikia watu wakiapiza kwa maneno ya yanayohusisha Mungu mfano " haki ya Mungu naapa, Maasafu ya Mtume, Yesu Kristu...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Tunga sentensi,ukitumia neno panga Kama kivumishi Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Aliyependekeza kukumbushana lugha ya Kifaransa nakuunga mkono, inawezekana maana tupo wengi ila tunakuwa dormant kwa kutoitumia lugha yenyewe. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
32 Replies
4K Views
MUME AMEKUIBIA Mama Joti! Mama Joti!, hebu njoo mara moja Wala usije na kiti, naharaka sitangoja Tena uvae thabiti, ukatazame vihoja Mwivi uliyemfuga, mume amekuibia. Niliyoyaona huko...
0 Reactions
3 Replies
826 Views
Katika hali ya kushangaza mwandishi wa habari wa gazeti la msema kweli ameshindwa kutofautisha matumizi sahihi ya neno AJUZA mpaka kafikia kumwita mwanaume mzee Ajuza. Hii inaonyesha ni jinsi gani...
1 Reactions
7 Replies
3K Views
Hakuna Matata Sent using Jamii Forums mobile app
12 Reactions
232 Replies
12K Views
Huwa nasikia watangazaji wa mpira wakisema Mkwaju wa penalti. Mkwaju ni nini? Na hivyo kuna mikwaju ya nini na nini. Karibuni wataalam wa Kiswahili. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
6 Replies
6K Views
KIINGEREZA SI LUGHA YETU __________________ Kumbukumbu zinanirudisha zaidi ya miaka 10 nyuma tukiwa kwenye vimbweta vya Tegeta High school na wanangu Mdax, DVd pamoja na kizazi tukikata topic ya...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Nimetafakari nikatamani kujua nani alileta msemo huu "MAAMUMA MZUNGU WA RELI". Na alimaanisha nini hasa?
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Kaniuliza anawezaje kusema sentensi hii kwa kiingereza? "Baba, mimi ni mtoto wa ngapi kuzaliwa kwenye familia?" Msaada Tafadhali.
1 Reactions
42 Replies
26K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…