Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Uwapi Ewe Kivuyo Mwema..? Ewe Kivuyo mwema, nduguyo nakusalimu Jangwani hali si njema, nawe pia u-adimu Mpira si lelemama, ligi hii si ya chandimu Uwapi Ewe Kivuyo Mwema? Habari zimenifika...
2 Reactions
1 Replies
761 Views
Can anyone please help me with the translation of the word "ritual" into Swahili? I am thinking in the meaning of religious ritual. For example, priests in the Old Testament had to wash before...
0 Reactions
11 Replies
5K Views
ALLY BIN SAID BIN RAASHIDI JAHADHAMIY Ushairi katika Afrika ya mashariki umekua na historia ndefu,historia ambayo ipo inayo julikana wengi na zipo ambazo zinajulikana na watu wachache mno,na...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari zenu ndugu.Hivi karibuni nimegundua nina uwezo(sijui tuseme kipaji) cha kuandika makala. Ninaandika makala za aina mbalimbali,zikiwemo za elimu,uongozi bora,biashara na hata michezo. Hivyo...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki nchini Tanzania, Profesa Palamagamba Kabudi amesema Tanzania ilizembea kupata fursa ya kufundisha lugha ya Kiswahili nchini Afrika Kusini...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau naomba kuuliza, kwa wale wanaopenda kufuatilia kazi za riwaya za Prof. E. Kezilahabi watakuwa wanafahamu riwaya ya Rosa Mistika. Nimekisoma sana kitabu hiki ila sifahamu ni kwa nini serikali...
2 Reactions
80 Replies
38K Views
Wakuu naomba msaada je tunda la zambarau linaitwaje kwa lugha ya kiingereza?
2 Reactions
2 Replies
18K Views
Neno lolote Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Tumia Uzi huu kufahamu maneno au misamiati au misemo inayotumiwa na watu wa usalama kuwasiliana mfano mbele ya MTU kuna MTU na nyuma ya MTU kuna MTU. Masnit signit sponsor namba moja nk ongezea...
2 Reactions
42 Replies
7K Views
UWANENI Uwaneni! Chinjanen! Chukianen! Amani tena ya nini?. Piganeni! Shindaneni Mwende vitani? Nawasemesha wahuni. Wamarekani! Pia Irani! Ni mashetani? Mliopo duniani Yenye amani Tatizo nini...
2 Reactions
5 Replies
882 Views
Hivi ni nini maana ya kudamshi? Kiswahili ni kipana wanandugu.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Kitambi kimeniponza Kitambi kimeniponza, sina hamu asilani. Kimenifanya nawaza, maisha si ya thamani. Mahari mara ya kwanza, natakiwa milioni. Wakashindwa kunioza kwa laki tano jamani...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Aardvark - Muhanga African Wild Dog - Mbwa mwitu Ant – Sisimizi/Chugu/Sungusungu (Flying) ant - ngumbi (Safari) ant - Siafu Baboon - Nyani Bat - Popo Bat-eared fox – Mbweha masikio Bird - Ndege...
2 Reactions
8 Replies
2K Views
kujua lugha mbalimbali ni moja wapo ya njia ya kuongeza thamani ya ulichonacho kwa mfano wapo watu wenye elimu ndogo tu ambao kujua lgha fulani imewafanya kupata kipato maradufu nakualika...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
This is a special platform where we can learn how to improve our english skills in terms of speaking, writing, listening and reading. In this thread also we are going to learn how to eliminates...
11 Reactions
133 Replies
17K Views
HAYA SIYO MAISHA. Watu wanatengana, eti kisa ni pesa Fukara wanapigana, sababu ni siasa Hovyo wanagombana, damu wakiinusa Roho kuchukiana, pendo tukalikosa Sidhani Kama hivi, haya siyo maisha...
3 Reactions
6 Replies
2K Views
Yanga imetokana na Young?, Kwanini "Young" ya Kiingereza haikuwa "Vijana" kwa Kiswahili? Yanga ni kitu gani? Ni kukosea? Ni kutokujua? Ni sahihi kuita timu ya Dar es Salaam Young Afrika kwa jina...
2 Reactions
63 Replies
12K Views
SIKU HIYO IKIFIKA Siku hiyo njema kwangu, Mateso tapumzika Takutana mola wangu, Moyo utafurahika Tapata lo haki yangu, Dunia lo dhulumika SIKU HIYO IKIFIKA, HAKI ZANGU TAZIPATA Wale kwao nilo...
0 Reactions
0 Replies
866 Views
Wengi wamekuwa wakisoma Biblia ya Kiswahili bila ya kufahamu hasa ni nani alioandika Biblia kwa lugha ya Kiswahili kutoka katika moja ya lugha zile tatu za mwanzo mwanzo ambao ndizo zilizotumika...
0 Reactions
2 Replies
6K Views
Walipo ipata mali, wakaingia mjini Wakamtupa jalali, jembe na wake mpini Wakaponda zote mali, na warembo limbukeni Wakachana daftari, kupoteza taarifa Walikula na kusaza, wakaota na vitambi Meza...
0 Reactions
0 Replies
715 Views
Back
Top Bottom