Uwapi Ewe Kivuyo Mwema..?
Ewe Kivuyo mwema, nduguyo nakusalimu
Jangwani hali si njema, nawe pia u-adimu
Mpira si lelemama, ligi hii si ya chandimu
Uwapi Ewe Kivuyo Mwema?
Habari zimenifika...
Can anyone please help me with the translation of the word "ritual" into Swahili?
I am thinking in the meaning of religious ritual.
For example, priests in the Old Testament had to wash before...
ALLY BIN SAID BIN RAASHIDI JAHADHAMIY
Ushairi katika Afrika ya mashariki umekua na historia ndefu,historia ambayo ipo inayo julikana wengi na zipo ambazo zinajulikana na watu wachache mno,na...
Habari zenu ndugu.Hivi karibuni nimegundua nina uwezo(sijui tuseme kipaji) cha kuandika makala. Ninaandika makala za aina mbalimbali,zikiwemo za elimu,uongozi bora,biashara na hata michezo.
Hivyo...
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki nchini Tanzania, Profesa Palamagamba Kabudi amesema Tanzania ilizembea kupata fursa ya kufundisha lugha ya Kiswahili nchini Afrika Kusini...
Wadau naomba kuuliza, kwa wale wanaopenda kufuatilia kazi za riwaya za Prof. E. Kezilahabi watakuwa wanafahamu riwaya ya Rosa Mistika. Nimekisoma sana kitabu hiki ila sifahamu ni kwa nini serikali...
Tumia Uzi huu kufahamu maneno au misamiati au misemo inayotumiwa na watu wa usalama kuwasiliana mfano mbele ya MTU kuna MTU na nyuma ya MTU kuna MTU.
Masnit signit sponsor namba moja nk ongezea...
UWANENI
Uwaneni!
Chinjanen!
Chukianen!
Amani tena ya nini?.
Piganeni!
Shindaneni
Mwende vitani?
Nawasemesha wahuni.
Wamarekani!
Pia Irani!
Ni mashetani?
Mliopo duniani
Yenye amani
Tatizo nini...
Kitambi kimeniponza
Kitambi kimeniponza, sina hamu asilani.
Kimenifanya nawaza, maisha si ya thamani.
Mahari mara ya kwanza, natakiwa milioni.
Wakashindwa kunioza kwa laki tano jamani...
kujua lugha mbalimbali ni moja wapo ya njia ya kuongeza thamani ya ulichonacho kwa mfano wapo watu wenye elimu ndogo tu ambao kujua lgha fulani imewafanya kupata kipato maradufu nakualika...
This is a special platform where we can learn how to improve our english skills in terms of speaking, writing, listening and reading.
In this thread also we are going to learn how to eliminates...
HAYA SIYO MAISHA.
Watu wanatengana, eti kisa ni pesa
Fukara wanapigana, sababu ni siasa
Hovyo wanagombana, damu wakiinusa
Roho kuchukiana, pendo tukalikosa
Sidhani Kama hivi, haya siyo maisha...
Yanga imetokana na Young?, Kwanini "Young" ya Kiingereza haikuwa "Vijana" kwa Kiswahili?
Yanga ni kitu gani? Ni kukosea? Ni kutokujua? Ni sahihi kuita timu ya Dar es Salaam Young Afrika kwa jina...
SIKU HIYO IKIFIKA
Siku hiyo njema kwangu,
Mateso tapumzika
Takutana mola wangu,
Moyo utafurahika
Tapata lo haki yangu,
Dunia lo dhulumika
SIKU HIYO IKIFIKA,
HAKI ZANGU TAZIPATA
Wale kwao nilo...
Wengi wamekuwa wakisoma Biblia ya Kiswahili bila ya kufahamu hasa ni nani alioandika Biblia kwa lugha ya Kiswahili kutoka katika moja ya lugha zile tatu za mwanzo mwanzo ambao ndizo zilizotumika...
Walipo ipata mali, wakaingia mjini
Wakamtupa jalali, jembe na wake mpini
Wakaponda zote mali, na warembo limbukeni
Wakachana daftari, kupoteza taarifa
Walikula na kusaza, wakaota na vitambi
Meza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.