Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Kikwetu tunasema 'kwitongo' na 'pamwambo' hiyo ni Mbeya mixer Nyaluland. Haya kikwenu ng'ambo kwa Kilugha chenu mnaitaje? Waliozaliwa mijini na hamjataka kujifunza lugha ya mama mtakuwa fans...
0 Reactions
3 Replies
878 Views
Watanzania ni watu watafutaji sana duniani, kila nchi wapo, ila kwa kutojua English vema tunatumia nguvu nyingi sana ili kufanikiwa katika mambo mbalimbali. Mwaka juzi nilikuwa Latini Amerika...
2 Reactions
1 Replies
1K Views
Kiswahili ni lugha tamu sana, ila pale mtu anapoanza kuiharibu inatia hasira sana. Kwa mfano, pale watu wanaposema maneno yafuatayo: "Abali yako we kaka" "Wewe hujui dhamani ya moyo wangu ndo...
26 Reactions
91 Replies
13K Views
Hello, Wakuu, nataka wauliza eti maana ya neno tajwa hapo juu ni nini? Mfano, ukisikia mtu anasema; Mtu 'A' ana gubu. Je, ina imply what characteristic?
0 Reactions
6 Replies
9K Views
Kuna member wa JF anatumia jina la Naisha Nasri alipositi thread ya kiingereza kama ifuatavyo; "I love Jf because of it's educative contributions "in kiswahili"from its members but when the...
5 Reactions
32 Replies
5K Views
Asalam Alaykum (Amani iwe nanyi) Yafuatayo ni baadhi ya maneno ya Kiswahili ambayo huwa hayatumiki sana na kupelekea kutokujulikana na watu wengi katika jamii zetu hivyo kupunguza kama sio kuua...
1 Reactions
23 Replies
5K Views
TANGA KWETU Ni ukweli usiopingika kuwa wazungumzaji wazuri wa lugha ya kiswahili ni watu wa pwani, jambo hili limechangiwa na sababu kadha wa kadha lakini kubwa ni sababu za kihistoria na...
2 Reactions
15 Replies
5K Views
Wakuu kwema Naomba mnisaidie kuchanganua tofauti za maneno haya tafadhali 1. Thamani na dhamani 2. Thibitisha na dhibitisha Natanguliza shukrani Cc: FaizaFoxy
1 Reactions
13 Replies
10K Views
Kwenu Waungwana, Wakongo na wasio Wakongo lakini wanaoelewa Kiswahili cha Kongo ambacho ndani yake lazima ukumbane na "Mafranshyee" na Lingala. Hapa chini nina 2 minutes audio. Nime-rewind mara...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
wataalamu wa lugha naomba tafsiri ya hayo maneno kwa lugha ya kingereza. mengine ni kama 1• huisha (anaweza kui huisha nafsi yako) 2• kimbembe 3• sakata (sakata la pesa za ujenzi...)...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Habari? Hongera CAG mstaafu kwa kustaafu kwa heshima na karibu CAG mpya. __ Moja kwa moja niende kwenye mada. Ninaamini wadau waliomo humu wamepata elimu angalau ya darasa la saba, kama wapo wa...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Swali: Kwanini wataalamu wanatofautiana katika uainishaji wa tanzu za fasihi?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
The Kiswahili lesson you missed. 1. password- Nywila. 2. juice - sharubati. 3. chips - vibanzi. 4. PhD - uzamifu. 5. Masters - uzamili. 6. Degree - shahada. 7. Diploma - stashahada. 8. Certificate...
4 Reactions
14 Replies
22K Views
Hakuna ambaye anajua kutamka neno hili kwa usahihi. Wahudumu wa ndege kwa Kiingereza wanaitwaje? Chagua jibu sahihi A. Air hostage B. Hair Hostess Jibu ni kati ya hayo mawili hapo juu.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
I can neither confirm nor deny that any intelligence was shared to facilitate last night's operation. Kwa kweli When a diplomat says yes, he means perhaps; when he says perhaps, he means no...
3 Reactions
8 Replies
2K Views
Utamwamini vipi mtu akupakie rangi nyumbani kwako wakati hawezi tofautisha baina ya herufi L na R Kwa AJIRI = kwa AJILI
1 Reactions
16 Replies
3K Views
Hakuna ambaye anajua kutamka neno hili kwa usahihi. Wahudumu wa ndege kwa Kiingereza wanaitwaje? Chagua jibu sahihi A. Air hostage B. Hair Hostess Jibu ni kati ya hayo mawili hapo...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Naomba kujua matumizi yake, Kwa mfano mtu anataka umpishe utasikia sorry naomba kupita. Mwingine atasema excuse me. Usahihi wake upo wapi? Nisaidieni, we are still learning! MAONI YA MDAU...
0 Reactions
24 Replies
7K Views
Wanajanvi, nawasalimu kwa jina lake yeye aliyetupa uhai Wajuvi wa hii lugha iliyoletwa na ndege na meli. Naomba kujua matumizi ya haya maneno: 1. Shall 2. Will 3. Could 4. Would Ni sehemu gani...
0 Reactions
3 Replies
5K Views
Nadharia ya Kiswahili Kiswahili ni lugha ya Kibantu inayotumiwa na watu katika mawasiliano hasa Afrika Mashariki na ya Kati. Lugha ni sauti za nasibu zenye mpangilio maalumu zilizokubaliwa na watu...
2 Reactions
7 Replies
6K Views
Back
Top Bottom