Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Naomba nielekezwe kitabu hicho kinapopatikana wadau. kuna zawadi kwa atakaenielekeza mahali kinapatkana hapa Dar
0 Reactions
4 Replies
9K Views
NA MOHAMMED ABDULRAHMAN Kiswahili ni lugha inayozungumzwa katika kanda ya Afrika Mashariki kuanzia Somalia hadi Msumbiji na ni lugha ya mawasiliano kwa sehemu kubwa ya kanda hiyo. Tanzania ndiyo...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
BARIDI YA MOROGORO HAINA ADABU 1. Ya moyoni ninayo, mengi kujaza kapu Yaani tena yahusuyo, baridi iumizayo pafu Baridi adabu hamnayo, nawapa yake makavu Baridi ya Morogoro, kweli...
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Hello members, nataka kufanya mtihani wa Kiingereza IELTS kabla mwaka huu, naomba ushauri kwa yeyote mwenye uzoefu na hii mitihani. Vilevile nitafurahi nikipata members ambao wamewahi fanya hii...
1 Reactions
6 Replies
3K Views
Pale JNIA Terminal 2 niliona tangazo lenye sura ya waziri wetu wa utalii. Tangazo hili lina slides 2, ya Kiswahili na ya Kiingereza. Ya Kiswahili imeandikwa “Simba ni Utalii”, ya Kiingereza...
2 Reactions
20 Replies
3K Views
Habari zenu wadau. Nilikuwa naomba msaada wa uhakiki wa maneno yaliyotumika katika kutayarisha Shahada hii. Shahada hii ni Hati ya Shukrani kwa ajili ya kuthamini mchango wa wanajumuiya wetu...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Jamani wakati tunakua tulikuwa tuna ganilwa nahau na methali mbalimbali za kisukuma na bibi na babu zetu, hata sisi wenyewe wakati tunachunga tulikuwa na mchezo wa kugani methali na mwingine...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Halo JF, Kumekuwa na matumizi mabaya ya neno "Angalau" kunakopigiwa upatu na radio za kimataifa za BBC, DW, VOA nk. Wenyewe wamehamisha moja kwa moja kutoka lugha ya Kiingereza "Atleast"...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Hivi neno "kutuzi" lina maana gani? Je, chanzo chake ni kipi? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Ni moja ya mada zinazochanganya sana. Baadhi ya sifa za virai ni kwamba hazina muundo wa kiima na kiarifu. Ndani ya kirai kunaweza kuwa na kirai kingine ndani yake. Mfano "watoto wanacheza kwenye...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Leo nakamata ungo,tuone mtarukaje So kwamba ninamsongo,hii ni toroka uje Umetimia mpango,pona yenu bora mje Nimejipanga kuloga,muiteni baba yenu. Mlinirusha kilinge,enzi za mababu wenu Nasema na...
3 Reactions
6 Replies
1K Views
Naomba kujuzwa zaidi katika nyanja zifuatazo pindi unapoandika nukuu za kikao Lugha ya nyakati gani Mfano wa vipengele gani vyakujumuishwa
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Naombeni mnisaidie English term ya Neno KUJIKOMBA AU KUJIPENDEKEZA. Wawecha sana!!!! Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
10 Replies
5K Views
Wakuu mwenye kujua dagaa kwa kizungu wanaitwaje anisaidie. MICHANGO YA WADAU: Anchovies. Description An anchovy is a small, common forage fish of the family Engraulidae. Most species are...
0 Reactions
13 Replies
8K Views
Nina shida sana na kamusi ya TUKI ndugu zangu. Naomba kusaidiwa kwa yeyote aliyenayo tafadhari
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Hili neno kwa sasa lipo viral sana kwa watangazaji wa Tanzania, sijajua ni ulimbukeni au ni katika kujionyesha wamesoma na sio makanjanja. Out of context utasikia hilo neno limechomekwa, huwa...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Kamusi ya kingereza-kswahili/kiswahili-kingereza naomba aliyenayo anitumie Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
2 Replies
3K Views
Mara nyingi nimekuwa natumia Google Translate kupata maana halisi ya maneno ya Kiingereza kwa Kiswahili wanajitahidi kidogo kwa neno moja moja. Lakini tatizo lao kubwa sentensi ikiwa ndefu...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Msimu ni maneno yasiyo sanifu yanayoanzishwa na kikundi cha watu wachache wenye utamaduni mmoja ili kueleza mahusiano yao kama kikundi. Kwa kawaida maneno hayo huzuka na kupotea, ila yale...
1 Reactions
5 Replies
3K Views
Back
Top Bottom