Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Nimeipata sehemu. Naombeni tueleweshane kuhusu hili. Kuna mtaalamu alitusahihisha karibuni, nilikuwa nikimhoji mwanahabari wa BBC Sammy Awami. Jamaa akatusahihisha tuliposema Uzamili ni Masters...
0 Reactions
2 Replies
804 Views
Jinsi ya kutamka baadhi ya maneno ya Kiingereza kwa lafudhi ya Nigeria: Google - Gugu Husband - Ozzband Arsenal - Ass Na Paper - Pay Pa Concern - Con Son XBOX 360 - Eggs Bugs Tree Sisty...
2 Reactions
18 Replies
3K Views
Ekyawe kyawe kijunda nokala!
13 Reactions
1K Replies
244K Views
Nina miaka 27. Ninakipenda Kiswahili kwa maana ni lugha mama ya taifa langu ukiacha kabila langu la Kizinza. Natamani kufahamu lugha ya Kiingereza kwa kuongea na kuandika vizuri sana. Tafadhali...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Tafadhali nisaidieni naandika andiko la kiswahili lenye maneno ya kisaikolojia natafuta maneno ya kiswahili yanayoweza kuwasilisha maneno haya "Conscious mind" na "Subconscious mind" tafadhali...
0 Reactions
19 Replies
17K Views
MAMBO MATANO MUHIMU TOKA KWA MLOKA KWENDA KWA WASHAIRI CHIPUKIZI. Amani ya mwenyezi Mungu ziwe nanyi nyote,baraka zake ziwafikie na Mola awaepushe na kila la shari lisitufike. Charles Mloka...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Rejea kichwa cha Uzi: Naomba tafsiri ya shahada hizi kwa Kiswahili zinaitwaje? Postgraduate Diploma, Masters Degree, PhD
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Chagua namba ya kabila lako na uandike ahsante kwa kabila lako: Mfano 12. Aika 1. Waalagwa (pia wanaitwa Wasi) 2. Waakiek 3. Wameru 4. Waassa 5. Wabarabaig (pia wanaitwa Wamang’ati) 6. Wabembe 7...
6 Reactions
75 Replies
12K Views
Mtakie mabaya mtu yoyote anayekukera mpaka unakosa raha. Naamini kwa kufanya hivyo, roho yako utakua sawa. Karibuni
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Kwenu wataalam wa lugha, huwa najikuta natumia au kusikia neno mbovu likitumia kwa nyakati tofauti moja likimaanisha mbovu( kwa mfano Taswira ilikuwa mbovu),Pili; na mara nyingine utasikia kwa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Iro iro ossewani narimashta! Sayounara
0 Reactions
29 Replies
3K Views
Wanajamvi naomba mnisaidie hata Mimi mwenyewe linanipa shida kulitamka.
0 Reactions
16 Replies
3K Views
MSHAIRI ALIEWAHI KUONGOZA MATOKEO YA KITAIFA YA SEKONDARI NA KUKAMATA NAFASI YA KWANZA KIMKOA NA KITAIFA. Siku moja nakumbuka mtu mmoja aliwahi nifata na kuniuliza "nifanye nini ili nami niwe...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Shikamoo wakuu. ningetaka kuwauliza kuwa "wamekuwa kuona sisi" ni sawa au la? lakini kwa kawaida tuseme "wamekuwa kutuona". zaidi ya hayo, "yako majirani karibu zaidi" ni sawa au siyo sawa...
1 Reactions
25 Replies
4K Views
Kuna msemo mmoja ambao watu wameuzoea sana utasikia jamaa anamguu mkubwa kama nini au anapiga kelele kama nini au mshkaji anaongea kama nini, anakula kama nini Sasa naomba wakuu kujua hilo neno...
0 Reactions
17 Replies
4K Views
Olewenu Nyie Msio Cheka Ntawapa Adhabu Ya kula Mandazi 100 Kwa Dakka Tano
1 Reactions
1 Replies
879 Views
0 Reactions
1 Replies
771 Views
Wanajamvi hivi ni vitu gani vinasababisha mtu kuwa lafudhi ya kabila Fulani anapoongea mfano lugha ya taifa kiswahili
0 Reactions
3 Replies
843 Views
Ulikuwa unavutiwa zaidi na yupi kati ya wakali hao?
2 Reactions
191 Replies
48K Views
Naombeni tafasli ya neno la upe uwanja wa mapenzi kwa kiingereza
0 Reactions
2 Replies
923 Views
Back
Top Bottom