Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Wataalamu wa kiswahili nisaidieni kwa hili mtu unamkaribisha chakula halafu anasema Asante.Anamaanisha nini anakubali kula au vipi?
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Halo JF habari mchanganyiko. Juzi nilikuwa na watasha ama wazungu sehemu. Moja alikanyanya jiwe dogo na kuteleza nusura aanguke. Nilishindwa kabisa cha kuongea kwa kumpa pole baada ya neno pole...
0 Reactions
31 Replies
11K Views
Wakuu hii lugha binafsi huwa naiona tamu sana, sambamba na kirusi. Wajuvi karibuni tupeane juzi mbalimbali . Obrigado......
2 Reactions
122 Replies
11K Views
Hakika maneno ya wahenga ni hazina kubwa, Najivunia lugha adhimu ya kiswahili.
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Eti ivi ikitokeya Ali kiba akaenda kutumbwiza South Sudan ao mayotte ..ataimba kitu gani ili waweze kumuelewa?? Ao atabana puwa ajikamuwe hadi wamuelewe kama anaimba like Madonna?
1 Reactions
20 Replies
3K Views
voodoo economics noun INFORMAL•US an economic policy perceived as being unrealistic and ill-advised, in particular a policy of maintaining or increasing levels of public spending while reducing...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Hili bila shaka lilikuwa fumbo kubwa sana , maana katika hali ya kawaida hakuna binadamu anayekula nyama za watu , na kwamba akinogewa ataendelea kuwatafuna tu binadamu wenzake hili si la...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Akutendeae Mema, Kushukuru ni lazima Jaza ya mema ni mema, Maovu kutoyatia Mbona umeghafilika? Kwa jambo lisilo shaka? Shetani umemshika, Na kumuacha Nabia? Unajifanya Mtesi, Kwa Mola wako Mkwasi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
>sorry I am Testing my device >NO hardfeelings
0 Reactions
0 Replies
512 Views
Habarini wadau.... Kwa muda mrefu sanaa nimekua nikipata shida sana kwenye Lugha ya Malkia hasa kwenye kuandika/kuongea wakati humu ndani kuna wadau wengi sana wanaijua lugha ya malkia vizuri...
3 Reactions
14 Replies
5K Views
Wasalaam wakuu Nikiwa napita pita mitandaoni nikaona lyrics ya wimbo wa Sauti Sol short and sweet Lyrics hiyo imetafsiriwa Kiswahili lakni ni kuangalia kwa makini maana ikawa imepotea, wimbo...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Ndugu zangu liko shairi moja niliwahi kusimuliwa zamani. Kwa bahati mbaya aliyekuwa anasimulia alikuwa mlevi mmoja na pia mimi nilikuwa mdogo sasa sikumuuliza jina la shairi wala mtunzi wake...
1 Reactions
13 Replies
7K Views
TUZO YA KISWAHILI YA MABATI-CORNELL YA FASIHI YA AFRIKA: 2019 Utaratibu wa Kushiriki Tunafurahi kuwajulisha utaratibu wa kushiriki katika mashindano ya Tuzo ya Kiswahili ya Mabati-Cornell ya...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
10 days ago I was accused of "hotlinking". I am a bit mshamba. What is hotlinking and what did I hotlink with what.? Naomba kuelimishwa.
0 Reactions
0 Replies
585 Views
Mtu mjinga ni yule ambae amekoswa maarifa kuhusu jambo ,neno au tendo fulani . Lakini mtuhuyu anaweza kufundishwa na akaelewa na hata kubadilika Lakini mtu mpumbavu ni yule ambae hajui kama...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
OSHA DOMO LAKO. Wazi wewe mbaguzi,hata uso na maana Hakika we mlanguzi,leo wazi nakuchana Haujapita makuzi,natamani kutukana Jagwa osha domo lako,ushindwe na ulegee Wafrika sote ni...
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Jamani nisadieni app ya kubadili lugha
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wadau ... Tusaidiane hapa .. Neno "lol" 1. Lina maaana gani ? 2. Hutumika mazingira gani ? 3. Jinsia ipi hupaswa kutumia neno hilo.? Na akilitamka kwa jinsia ipi ? Asanteni .
1 Reactions
113 Replies
40K Views
Habari wana jamii forum. Lengo la uzi huu sio kudhihaki au kejeli bali ni kutoa elimu na kukumbushana kuhusu misemo ya lugha yetu adhimu ya kiswahili. Kama wewe ulisoma shule ya msingi kama Mimi...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Nataka kujfunz kiarabu vp apo kuna maticha???
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom