Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Naombeni ushauri wa lugha mpya ambayo naweza kujifunza ambayo unaamini inaweza kumsaidia mtu endapo atajifunza kwa sasa najua lugha hii nayoitumia hapa na kiingereza tu
0 Reactions
29 Replies
7K Views
Mademu wa dar akitaka kuja geto unamtumia nauli Na akifika geto eti baby toka njee ulipe bodaboda Na akiingia geto eti baby sijala nataka chips anapotaka kuondoka eti baby hi hela haitoshi naomba...
2 Reactions
20 Replies
4K Views
Siku zima likemeka Home hakuna kazi yeyote anayo ifanya ata usafi Zero kazi tu kuagizia chips na kuangalia tamthilia same time wapo kwenye social media kama insta .badoo na tinder kuwachuna mabuzi...
4 Reactions
72 Replies
5K Views
Mabati Cornell Kiswahili Prize for African Literature: 2019 Call for Submissions We are pleased to call for submissions for the 5th The Mabati Cornell Kiswahili Prize for African Literature. The...
0 Reactions
0 Replies
838 Views
Wakuu habari! kichwa cha habari kinajieleza. Nilikua naangalia sherehe ya kuagwa Dr.Kimei wa CRDB,sasa alipohojiwa Mwenyekiti wa Bodi akasalimiwa heshima yako nae akajibu 'heshima yangu ni nzuri'...
0 Reactions
14 Replies
9K Views
Hivi neno mpumbavu na neno mjinga kuna tofauti gani ?
1 Reactions
2 Replies
4K Views
.
2 Reactions
3 Replies
2K Views
Habarini; Mimi ni mtunzi nguli wa mashairi ya kiswahili. Kwa muda mrefu sana nina hamu ya kushindana na watunzi wenzangu wa mashairi, nikiwa na imani ya kushinda. Ila sijawahi kusikia wala...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Dramatic dialogue is a means of characterization in drama.justify [emoji31][emoji31]
0 Reactions
3 Replies
1K Views
katika king'amuzi cha startimes kuna channel ya *swahili kuna vipindi vinaandikwa PG na GE, mf kipindi kifuatacho kina kiwango cha PG au GE hivo kinafaa au hakifai kwa watu wenye umri flani, je...
0 Reactions
0 Replies
707 Views
Kawia ufike kwa kiingereza inatamkwaje ?
0 Reactions
10 Replies
6K Views
Nimekuwa nikiuliza sana ,imekuwaje kizazi cha sasa hakigundui tena methal na nahau kama ilivyokuwa zamani! Nimetumia neno kugundua kwa kuwa nimekosa neno sahihi. Je, ni kwanini methali ,nahau na...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Waungwana nauliza kama kuna mtu nakumbuka beti zote za shairi la WACHEZA BAO LA KETE WAONGO NA WAZANDIKI lililotungwa na Saidi Nyoka( Udogo si Hoja)? Natafuta Malumbano yao na Andanenga kuhusu...
1 Reactions
5 Replies
4K Views
Erev tov - Habari za jioni. hatuwezi kuandika kwa zile alama maana keyboards za android hazina hebrew aphabets. karibuni. sio lazima uwe unakijua, tumia hata google. Lugha hujifunzwa kwa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu, natumai mu wazima wa afya. Embu tufahamu ni lugha ngapi tunazozungumza. Binafsi ninaongea jumla ya Lugha saba (7). 1.Kiswahili (swahili) Ni lugha ambayo ninaongea na kuandika...
4 Reactions
93 Replies
12K Views
Heshima yenu wakuu, mara nyingi mtu unaweza kuwa mzuri sana kwa grammar lakini tense zikakuumbua. Mathalani; >She love her dady very much badala ya >she loves her dady very much. PRESENT SIMPLE...
5 Reactions
105 Replies
62K Views
RRONDO ndugu yangu kitu cha kwanza katika lugha ni lazima ujue alama kuu zinazoitambukisha lugha fulani ni lahaja na lafudhi Lahaja ni namna ya utamkaji wa maneno na lafudhi ni namna uongewaji wa...
13 Reactions
97 Replies
8K Views
Tueleze huu msemo ni kwenye tukio gani unalolikumbuka ulishawahi kuufanyia kazi? "DAWA YA MOTO NI MOTO"
0 Reactions
7 Replies
8K Views
hivi nini maana ya kwepa mshale/mishale?
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…