Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
SAYANSI YA MAPEPO. Maharage maharage,maharage leo kala Sharubati kawa mbege,kelele kila mahala Twiga kaota matege,na kijipembe cha swala Hayakua ni matusi,pale akemea pepo. Kweli mlichokiona,ile...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Hakuna uandishi bora au andiko bora pasipo uhariri bora. Hivyo uandishi mzuri hauwezi kutengwa na uhariri bora. Ni dhahiri kuwa makala au andiko lililohaririwa vyema na kwa ustadi wa hali ya juu...
4 Reactions
1 Replies
3K Views
Nin? Maana Ya Code?
0 Reactions
0 Replies
665 Views
kwenye mada moja kwa moja hivi majina kama vile lusungu, lukelo, twilumba na hata anjimie hivi majina haya huweza tumika kwa aina zote mbili za binadam nikimaanisha wanaume na wanawake au...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wakubwa, hivi Mti unao itwa Moringo kwa kiingereza, kwa Kiswahili ndio Mlonge?
0 Reactions
7 Replies
2K Views
[emoji673] Nukta muhimu ya lugha: ukiambiwa *shukran* ni makosa kurudisha neno *afwan*(nimekusamehe) kwani hayaendani; kwamba vipi unasamehe anayekushukuru! Sahihi mtu anapokwambia *shukran*...
9 Reactions
16 Replies
5K Views
Naomba kujua kwanini Raisi anapenda kutumia neno wanyonge? hili neno tafsiri yake ni nini?
0 Reactions
7 Replies
8K Views
TUFAHAMIANE MAKABILA YETU KILA MTU ATAJE KABILA LAKE MEME #MHA WW?
0 Reactions
6 Replies
616 Views
Ukisikia kwenye vipindi vya Radio na Tv na mijadala mbalimbali jinsi Kiswahili kinavyokuzwa na huku Wakikiponda Kiingereza, utadhani Kiswahili ni lugha moja iliyoenea sana Ila Kumbe ukienda nchi...
19 Reactions
137 Replies
12K Views
Rais wa Tz JPM yupo live akizindua soko la Tumbaku huko Malawi,anahutubia kwa kutumia lugha yetu ya Kiswahili huku kukiwa na mkalimani. Je hii ni namna ya kulinda lugha na kuitangaza lugha...
5 Reactions
70 Replies
7K Views
Habari wanajamvi, Kuna baadhi ya taasisi kubwa ambazo zinatumia vibaya neno tunapenda. Zinatumia neno hilo kutoa taarifa njema na mbaya bila kujali muktadha. Kuna siku niliona taarifa kwa uma...
1 Reactions
1 Replies
794 Views
Heshima kwenu wakuu, ninawiwa kujua maana ya neno 'dhaifu' kwa wale mnaofahamu.
0 Reactions
21 Replies
17K Views
Nimeulizwa swali ila nikakosa jib... maana halisi ya neno blackmail,
0 Reactions
28 Replies
12K Views
Naombeni msaada kombi gani nisome advanc "nimemaliza kidato cha nne mwaka 2018 najiandaa kuingia kidato cha tano lakin nashindwa kufanya chaguo la combi"matokeo yangu ni...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Jamani wataalamu wa lugha, hebu tusaidiane hii kitu iliokuja kwa meli, heading nzuri kwa kuandika barua ya kiofisi kwa lugha ya kiingereza kuhusu kuhairisha masomo kutokana na ugonjwa inaweza...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Suuratul An-nisaai 28 Mwenyezi Mungu anataka kukupunguzieni taabu, na mwanaadamu ameumbwa dhaifu. Zaburi 56:4 Namtumainia Mungu na kusifu neno lake; namtumainia Mungu, wala siogopi. Binadamu...
0 Reactions
6 Replies
5K Views
Hili sakata limenifanya nifatilie na nijue nini maana ya neno "dhaifu" na je "dhaifu" ni tusi? Maana ya neno "dhaifu" kutokana na kamusi. Maana ''dhaifu'' , kivumishi....ni kitu kisicho na...
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Nini maana ya neno PAKANGA Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Malenga napiga hodi, mlango muufungue, Mimi muhenga wa jadi, ngoja niwaelezee, Kuhusu huyu hasidi, mshamba wa kipekee, Watanzania wa leo, sio wale wa zamani. Tumeyafuga majoka, sasa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Sauti yangu napaza,kuwaita mlo mbali Natawaka kuuliza,munipe jibu la kweli Moyoni lanitatiza,lanisumbua akili Tumekuja duniani,tutumize lengo gani Swali msije lipuza,kaniona punguani Au msije...
1 Reactions
4 Replies
679 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…