Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Habari niende moja kwa moja kwenye mada, hakuna kitu kinanikera kama mtu kuchanganya R au L katika neno mfano Rambo kuiita Lambo hili siku zinavozidi kwenda naona linazidi kua janga la taifa na...
0 Reactions
0 Replies
980 Views
Mimi nijuavyo beberu ni mbuzi dume ambaye kama mbegu yake itapendwa hutumika kuzalisha majike. Mana yake nyingine ni ipi?
0 Reactions
7 Replies
6K Views
Habar zenu, samahan nauliza tafsir ya neno "kujidhalilisha" kwa kingereza.
0 Reactions
14 Replies
4K Views
Hivi unaelewa maana ya maneno haya? 1. Sharubati 2. Lakili 3. Nywira 4. Kiotomotela 5. Vibanzi 6. Kipakatalishi 7. Diski mweku????
1 Reactions
9 Replies
8K Views
Habarini wanajamvi. Hakika hili lanitatiza,na ninaamini hapa ndipo penyewe.Ni hivi; Mtoto anapozaliwa na kukutwa anajinsia ya kike. Tutasema kazaliwa mtoto wa kike au kazaliwa mwanamke? Nawasilisha
2 Reactions
31 Replies
3K Views
Kuna barua inayosambaa kwenye mitandao yenye kichwa cha habari "GHARAMA ZA LESENI KWA WASAFIRISHAJI WA VIFURUSHI, VIPETO NA NYARAKA " Kama nilivyonukuu imetolewa na Mamlaka ya Mawasiliano...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Tunaishi nyakati ambazo siasa zetu zimetawaliwa na coded messages na matukio yanayohitaji tafakari ya juu kuweza kuyang'amua. Nikitolea mfano wa haraka haraka ni hili jina 'Watu Wasiojulikana'...
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Mbwa wazaa wengi, wazidiwaje na ng'ombe? Swali hili ni la msingi, nijibu nipe ujumbe. Najua hunipingi, wengi ng'ombe wenye pembe, Wazidiwaje na ng'ombe, mbwa uzaaye wengi? Mbwa ukizaa sita...
1 Reactions
23 Replies
3K Views
Malenga naanza hima,ukweli kuambiana Kweli i wazi daima,yapasa kukumbushana Walo watemi wajanja,kweli wajaribu ficha Hili mujarabu Dongo,kwako wangu Magufuli Wengi walishapotea, katika hali ni...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Watanzania ninaita umeme, wakenya wanependa kuita stima, je neno lipi liko sahihi zaidi? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
10 Replies
5K Views
Hivi kuna sentensi moja nimekua nikiisikia hususan kwa watu wa dar na bara inayosema "nipo mwenyewe " eti wakiwa na maana hakuna mtu mwengine zaidi yake; kwa mimi mtu wa pwani naona sentensi hii...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
wakuu binafsi napenda lugha japo sizijui. njoo tujifunze /tujifundishe kiarabu mrhbaan ya 'iikhwan
1 Reactions
19 Replies
3K Views
Msaada wa kufafanua neno hili, muktadha.
0 Reactions
1 Replies
976 Views
Hivi ndivyo Afrika ingekuwa kama mipaka yake ingewekwa kutokana na Lugha na jamii kubwa (Major Ethinic) mwaka 1959 Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
23 Replies
6K Views
Wanajf hamjambo! Kama swali hapo ambalo huwa najiuliza mara kwa mara , Leo nimeona niwaletee tujadili kidogo kama inafaa au haifai with ground reasons. Ukifika South Africa wao wana lugha kama...
6 Reactions
57 Replies
6K Views
Naomba kujuzwa maana ya usemi huu uliotamalaki hususani katika nyimbo za kizazi leo. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Habari? Nahitaji kuonana na mdau anayejuwa kusoma na kuandika lugha ya Kijapani. Napatikana Dar es Salaam. Natanguliza shukrani. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Lugha ina tabia nyingi moja wapo ikiwa ni kukua. Nawe endeleza tabia moja ya lugha unayoifahamu.
1 Reactions
6 Replies
5K Views
Kuna hili neno "F**k" limekua likinitatiza matumizi yake moja kwa moja. Navojua maana yake ni kama tusi mfano mtu akisema'F**k you'obvious kakutukana, lakini pia nilikua naangalia tamasha fulani...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…