1.
Leo inanigharimu,kuleta kwenu andishi,
Lahusu Kesi adhimu, Bodi ya CUF kughushi,
Msome wote Kaumu, Jaji yake matamshi ,
Bodi ya Lipumba ghushi, imehukumu hukumu,
2.
Kwa mujibu wa hukumu...
Wana inakuwaje wazee?!!
Mambo niaje,,,aisee namiss sana story za kitaa..kutimba kwa mangeli na manogo ya mastori ya kitaa...
Kama vipi tulonge hapaaa...
Sent using Jamii Forums mobile app
Asilimia 80% Kiswahili ni lugha iliyozaliwa kutokana na kibantu na kiarabu,achilia mbali maneno mengine ya makabila na lugha zingine za kimataifa kama Kijermani na Kingereza.
Kwanini watanzania...
Hebu Pata Kumi Bora za Wahenga
________________________________________
Wahenga ni wazee wenye akili waliotutangulia maana siyo kila mzee ana akili kwa sababu hata wajinga wanazeeka. Mjinga...
Shindano la tuzo ya Ushairi ya Ebrahim Hussein limefunguliwa rasmi. Ewe mshairi uliopo Tanzania wasilisha tungo yako kabla ya tarehe 31/07/2018. Hakikisha unazingatia vigezo na masharti...
Nimekuwa naona vyombo vya habari hasa Magazeti wakitumia neno "Hairisha" likimaanisha (kwa kiingereza) postpone. Wataalam wa Kiswahili naomba mnisaidie neno fasaha ni Hairisha au Ahirisha...
Does anyone know the translation of this Taarab song. Apparently its in old Swahili? Thank you
Beru lina marumba la vumba,*2,
lambaje,lambaje beru siuganga,mume wangu kaogelea vumba ,
Lambaje...
Ninavoelewa mie JK ni kifupi cha ama Julius Kambarage au Jakaya Kikwete. sasa ili kutofautisha mhusika wa kifupi hicho ni vema tukaachana nacho na kama tunataka kutumia vifupisho vya hawa viongozi...
Unapoongelea lafudhi ya kiswahili na baadhi ya misemo ya mtaani (japo si sana na kote) basi kwa Arusha kuna lafudhi nyingi.
kuanzia KIkatiti,maji ya chai,usa,tengeru mpaka kufika maeneo ya...
Kwema wakuu,natafuta sehemu au chuo,kinacho fundisha lugha za asiri za hapa TZ,
nataka kujifunza kimasai,kichaga na kigogo,kwa anaye jua wapi nitapata msaada wa lugha hizo,naomba taharifa.nipo...
Hili neno huwa linatumika sana katika wakati wa ujazaji wa nyaraka mbalimbali mf. Mikataba ya ajira,hospitalini,mauziano ya vitu n.k.
Swali langu naomba kuelimishwa "implication" yake hasa ktk...
Taabu kidogo kwa Vijana wa leo Lugha na maandishi yalivyo unaweza pata shida kumuelewa haswa nini kakikusudia kubandika,
Unaweza pata rafiki tena akawa yupo chuo kikuu kabisa kabisa akawa...
Ni ukweli usio na shaka lugha mama ya kiswahili ina uhaba mwingi wa maneno. Hali hii imesababisha kukopa baadhi ya maneno kutoka katika baadhi ya lugha, mfano mpaka leo binafsi sijui kinyume cha...
Naomba tafsiri ya neno hilo kwa kiswahili likitumika katika muktadha wa uandishi wa taarifa( report) au kitabu pale mwanzoni.
Kwa mf
Introduction
Background
Preface
Wakuu habari ya majukumu ya kutwa. nina rafiki yangu anaomba nimsaidie katika kujifunza lugha ya kiswahili. Tatizo sina muongozo wa kumfundishia, naomba kwa yeyote aliyenao anisaidie. Natanguliza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.