Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Hadithi inayokuja, ni ya Sungura sikia, Hadithi uliyongoja, leo ninakuletea, Alitoka siku moja, njaa aliposikia, Njaa aliposikia, Sungura nakuambia Sikuile akaenda, Porini kutembelea, Akayaona...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
Jamani kuuliza sio ujinga mimi nasoma humu ndani kila siku najiuliza hili ni tusi au nini leo naomba tuambiane huli neno maana yake ni nini na chimbuko lake pia KIGODORO!
0 Reactions
17 Replies
8K Views
Naombeni kueleweshwa maana ya hili neno, nilisikia likitumiwa redioni "nchi za ushoroba wa Kaskazini".
1 Reactions
6 Replies
12K Views
Nimekuwa mfuatiliaji sana wa lugha yetu adhimu ya Kiswahili kupitia vyanzo mbali mbali. Moja ya neno lisilopewa kipaumbele kwa kutamkwa mara kwa mara ingawa ni la muhimu ni neno "kiate." Neno...
10 Reactions
19 Replies
11K Views
Kuna haka kaneno nimekuwa nikikasikia mara kwa mara kanatumika na watu marika tofauti naweza kuita ni msimu "Hoves" ama "Hovesi" huwa maana yake ni nini? Anaejua anifafanulie tafadhali. Mfano...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wataalamu wa lugha na wadau wa elimu nawaomba mnidadafulie mchango wa Noam Chomsky katika sarufi ya kiswahili.
3 Reactions
4 Replies
30K Views
SWALI.Lugha ya mazungumzo ndio msingi mkuu wa lugha ya ishara.Jadili Wadau hebu tusaidiane hapa Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Heshima mbele wadau........Ni wazi hapa nyumbani ukanda fulani au makabila fulani yanatambuana na kutambulika kirahisi kwa lafudhi zao. Mifano ni mingi lakini akiongea Msukuma toka Shinyanga au...
0 Reactions
23 Replies
6K Views
Nilipokuwa shule (ya msingi) tulikuwa tunakumbana na maswali yanayondikwa kwa namna tofauti tofauti, mfano unaweza kuulizwa kuwa "Kokotoa mzingo wa mduara iwapo kipenyo chake ni mita mbili"...
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Ha ha ha ha We Tazama Video Yao Hapa Chini Kisha Toa Maoni Yako
1 Reactions
59 Replies
9K Views
I’m sorry if at times I come across as being too pedantic when it comes to English grammar and etc. Sometimes I just can’t help it. I’m hardwired that way, I reckon. Now look at this here! Where...
4 Reactions
60 Replies
8K Views
KUONYESHA na KUONESHA ni maneno ya kiswahili fasaha, maneno haya yamekuwa yakitumiwa tofauti katika mazungumzo yetu ya kila siku... Nini mzizi wa maneno haya? Swali hili litaweza kutupatia majibu...
1 Reactions
4 Replies
6K Views
1. Charger - kimemeshi 2. Remote - kitenzambali 3. Password - nywila 4. Akala (bladder shoes) - kirikiri 5. Passion fruit - karakara 6. Kangaroo - bukunyika 7. Fridge - jokofu 8. Juice - sharubati...
8 Reactions
23 Replies
4K Views
Habari zenu wana bodi. Huwa najiuliza maswali lakini sipati majibu lakini leo naomba nanyi mnisaidie. Tanzania tuna makabila mengi na haya makabila yanaongea lugha tofauti. Lakini pia tunaongea...
3 Reactions
56 Replies
9K Views
Huyu mnyama adimu nimekuwa nikitafuta jina lake kwa kizungu au jina la kisayansi tafadhali mwenye kujua anijuze
0 Reactions
24 Replies
7K Views
Peni yangu Andanenga, uwino unapotona, Mantiki huzilenga, na balagha na bayana, Hufaidika malenga, huvurugika akina, Nyege ni kunyegezana, msemo wa Kiswahili. Msemo wa Kiswahili, nyege ni...
1 Reactions
139 Replies
40K Views
pia ni nini asili ya neno Shenzi?
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Mie toka nimeanza kumjua Yusuph Makamba sijawahi kumsikia akiongea hata neno moja la Kiingereza ila ni kwamba ni bingwa wa kukariri mistari ya biblia na ya kwenye misahafu.. sasa kuna mtu...
1 Reactions
71 Replies
14K Views
Salamu kwenu waungwana, tujikumbushe kidogo. Toa maana mbili ya maneno yafuatayo:- 1. Mbuzi 2.Tenga 3. Kaa 4. Taa
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Heshima kwenu wakuu, mimi ni kijana (miaka 26) mkristo ambaye hivi karibuni nimefatilia kiundani sana dini ya uislamu na nimetokea kuikubali sana. Moja ya sababu zilizofanya niipende dini hii ni...
22 Reactions
106 Replies
15K Views
Back
Top Bottom