Nimefuatilia jamii nyingi duniani zina herufi na namba zao, mfano wachina, waarabu, wakorea, wazungu
Je nini chimbuko la herufi na namba hizi? Walifanikiwa vipi walio na herufi zao?
Msaada kwa...
Habari wana wa JF.
Leo kupitia radio DW nilisikia neno " Mawaziri hao wawili walipigana PAMBAJA na kuwashangaza wengi ktk mkutano huo wa umoja wa Mataifa.
Mawaziri waliozungumziwa ni wa nje wa...
Ni mbuzi dume ambaye tangu udogo wake huwa hatulii, anafujo, zizi zima hupenda kutawala yeye, kelele mwanzo mwisho, hana utulivu hata kwa mbuzi walo zaa wala watoto.
*Wahenga waliona mbali sana...
Habari zenu wana JF.
Nimeona watu wengi kwenye majukwaa mbalimbali wakitamani kujifunza lugha ya Kichina. Wenye nia hiyo wanakaribishwa Chuo Kikuu cha Dar es salaam Confucius Institute. Madarasa...
Naomba watalaamu wa kiswahili wanisaidie kwanini tunaandika Mbwa badala ya Mmbwa,Mbu badala ya Mmbu na ikizingatiwa kimatamshi tunatamka Mmbwa na Mmbu badala ya Mbwa, Mbu?
Maneno yapo mengi ila...
Habari zenu Wanajukwaa?
Ninayofuraha kuandika katika jukwaa hili kwa siku ya leo.
Mimi ni mdau wa lugha ya Kiswahili, hivyo ningependa kubadilishana maarifa na wadau wengine kuhusu lugha hii...
Habari zenu Wanajukwaa?
Ninayofuraha kuandika katika jukwaa hili kwa siku ya leo.
Mimi ni mdau wa lugha ya Kiswahili, hivyo ningependa kubadilishana maarifa na wadau wengine kuhusu lugha hii...
Ndugu zangu hii application ya simu, ya kujifunza lugha ya Kiarabu kwa Kiswahili nzuri sana, inafanya kazi katika simu za Android;
Inapatikana hapa "Jifunze Kusoma Kiarabu" -...
Nimekuwa nikipitia majukwaa mbalimbali mitandaoni, nimeona waafrika wengi wakivutiwa na Kiswahili, hasa wanaposikiliza nyimbo za wasanii kama Diamond Platnumz.
Kiswahili kina viimbo vitamu...
MAMA NA BABA
MAMA: anakupenda mpaka ukimtazama machoni unauona upendo wake.
BABA: anakupenda bila kuonesha dalili yoyote machoni.
MAMA: amekutambulisha duniani.
BABA: ameitambulisha dunia kwako...
Nawasalim nyote,tafadhali naomba mnielekeze jinsi ya kuunganisha TV ya Samsung inchi 32 flat na Sony home theatre,shida yangu nataka sauti ya TV itokee kwenye home theatre nimejaribu kunganisha...
You have eyes
But do not see;
You have ears
But hearing you hate;
Brain you don't have
But thinking you want;
What sort of being are you?
Pluck out your eyes!
And you'll be excused
For then you...
wana lugha najua mnaweza kunipa ufafanuzi juu ya hili, nina mtoto ambaye anasoma class 4,na anapenda kujua maneno mengi ya kiingereza na kutafsiri kwa kiswahili,sasa kaniuliza JUICE kwa lugha yetu...
Denise Coates hulipwa mshahara wa zaidi ya Pauni za Uingereza 265 milioni (zaidi ya Shilling 340 bilioni).mwanamama huyu Ni Afisa Mkuu Mtendaji wa kampuni ya kamari ya Bet 365
Aidha, Coates ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.