Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Nimefuatilia jamii nyingi duniani zina herufi na namba zao, mfano wachina, waarabu, wakorea, wazungu Je nini chimbuko la herufi na namba hizi? Walifanikiwa vipi walio na herufi zao? Msaada kwa...
2 Reactions
18 Replies
2K Views
Habari wana wa JF. Leo kupitia radio DW nilisikia neno " Mawaziri hao wawili walipigana PAMBAJA na kuwashangaza wengi ktk mkutano huo wa umoja wa Mataifa. Mawaziri waliozungumziwa ni wa nje wa...
1 Reactions
10 Replies
12K Views
Ni mbuzi dume ambaye tangu udogo wake huwa hatulii, anafujo, zizi zima hupenda kutawala yeye, kelele mwanzo mwisho, hana utulivu hata kwa mbuzi walo zaa wala watoto. *Wahenga waliona mbali sana...
2 Reactions
11 Replies
7K Views
Habari zenu wana JF. Nimeona watu wengi kwenye majukwaa mbalimbali wakitamani kujifunza lugha ya Kichina. Wenye nia hiyo wanakaribishwa Chuo Kikuu cha Dar es salaam Confucius Institute. Madarasa...
0 Reactions
10 Replies
10K Views
Kufanana na kutofautiana kati ya shamirisho na ujalizaji katika lugha ya kiswahili
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Naomba watalaamu wa kiswahili wanisaidie kwanini tunaandika Mbwa badala ya Mmbwa,Mbu badala ya Mmbu na ikizingatiwa kimatamshi tunatamka Mmbwa na Mmbu badala ya Mbwa, Mbu? Maneno yapo mengi ila...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari zenu Wanajukwaa? Ninayofuraha kuandika katika jukwaa hili kwa siku ya leo. Mimi ni mdau wa lugha ya Kiswahili, hivyo ningependa kubadilishana maarifa na wadau wengine kuhusu lugha hii...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
wadau naomba mnsaidie mwaka ambao lunga ya kiingezea ilisanifishwa na lahaja nyengine zilikuwepo huk uingereza.
0 Reactions
0 Replies
998 Views
Habari zenu Wanajukwaa? Ninayofuraha kuandika katika jukwaa hili kwa siku ya leo. Mimi ni mdau wa lugha ya Kiswahili, hivyo ningependa kubadilishana maarifa na wadau wengine kuhusu lugha hii...
1 Reactions
1 Replies
649 Views
Ndugu zangu hii application ya simu, ya kujifunza lugha ya Kiarabu kwa Kiswahili nzuri sana, inafanya kazi katika simu za Android; Inapatikana hapa "Jifunze Kusoma Kiarabu" -...
4 Reactions
95 Replies
43K Views
samahani napenda kujua maana na kirefu cha MP kama inavotumiwa na jamii forums,"ID na blogs
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Nimekuwa nikipitia majukwaa mbalimbali mitandaoni, nimeona waafrika wengi wakivutiwa na Kiswahili, hasa wanaposikiliza nyimbo za wasanii kama Diamond Platnumz. Kiswahili kina viimbo vitamu...
4 Reactions
15 Replies
2K Views
MAMA NA BABA MAMA: anakupenda mpaka ukimtazama machoni unauona upendo wake. BABA: anakupenda bila kuonesha dalili yoyote machoni. MAMA: amekutambulisha duniani. BABA: ameitambulisha dunia kwako...
1 Reactions
0 Replies
864 Views
Nawasalim nyote,tafadhali naomba mnielekeze jinsi ya kuunganisha TV ya Samsung inchi 32 flat na Sony home theatre,shida yangu nataka sauti ya TV itokee kwenye home theatre nimejaribu kunganisha...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
You have eyes But do not see; You have ears But hearing you hate; Brain you don't have But thinking you want; What sort of being are you? Pluck out your eyes! And you'll be excused For then you...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
wana lugha najua mnaweza kunipa ufafanuzi juu ya hili, nina mtoto ambaye anasoma class 4,na anapenda kujua maneno mengi ya kiingereza na kutafsiri kwa kiswahili,sasa kaniuliza JUICE kwa lugha yetu...
1 Reactions
46 Replies
32K Views
Kuna tetesi kwamba asili ya jina la Manzese (Dar) ni Manchester (ya Uingereza). Wataalamu wa lugha mnasemaje kuhusu hili? Ni kweli?
1 Reactions
36 Replies
10K Views
1:Mzazi wa mke na mzazi wa mume wanaitanaje? 2:Mliyeoa naye familia moja utamwitaje?
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Denise Coates hulipwa mshahara wa zaidi ya Pauni za Uingereza 265 milioni (zaidi ya Shilling 340 bilioni).mwanamama huyu Ni Afisa Mkuu Mtendaji wa kampuni ya kamari ya Bet 365 Aidha, Coates ni...
2 Reactions
21 Replies
4K Views
Back
Top Bottom