Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
KISWAHILI KITMU SANAHUKU NA KULE...- Peni yangu Andanenga, uwino unapotona, Mantiki huzilenga, na balagha na bayana ,Hufaidika malenga, huvurugika akina ,Nyege ni kunyegezana, msemo wa...
2 Reactions
13 Replies
18K Views
The Awful Dentist He read medicine, Specialising in the tooth, And graduated, with honours With new thesis To cure the aching malady. "Our teeth shall be all right!" People chanted, welcoming his...
2 Reactions
7 Replies
4K Views
1.Kwenye mwanzo wa tufani,si mvua huchonyota Akili huwa ni fani,na dhamira kutusuta Nalo dimba la zamani,huonekana kashata Pwagu hupata pwaguzi,mchama ago hanyele. 2. Bubu yule hukumbukwa,jinsi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wanafamilia wa lugha tafadharini naomba kujulishwa maana ya maneno ya Casa de Oracion kwa kiswahili yana maanisha nini? Ntashukuru kwa msaada wenu.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nataka kujua kingereza bila kwenda English course nifanyejee??
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Habarini za asubuhi wana JMF wenangu natumai tumeamka salama Niende moja kwa moja kwenye point naomba kufahamu app nzuri za kujifunzia kiingereza na kifaransa kwa wepesi zaidi iwe za online au za...
1 Reactions
4 Replies
8K Views
1.Mwenye wivu jiandae,mkola nagawa kamba Donda dugu sikomae,niwakomoe manamba Wachutame na wakae,nikiwasomesha namba Nitajaribu kughani,asopenda ajinyonge. 2.Daima siwezi acha,jambo...
0 Reactions
0 Replies
411 Views
Kwa kipindi cha nyuma,michezo ya jukwaani ilikuwa ni sehemu ya Sanaa ilopata umaarufu sana nchini kutokana na jinsi michezo hiyo ilivyokuwa na nguvu kubwa ya kuiteka jamii ya watanzania katika...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu.. Baada ya mapambano ya maneno wiki iliyopita kuna upande mmoja dudubaya a.k.a Konkie anawatuhumu watu flani kuwa na mashoga na ukaibuka upande mwingine pia ukimtuhumu dudubaya kuwa ni shoga...
1 Reactions
37 Replies
17K Views
A young boy aged between 24-27 years in average insulted a young female school teacher. The incident happened around 7:10 am when the teacher tried to show her ID as per RC Makonda initiative to...
2 Reactions
28 Replies
3K Views
Naomba kusaidiwa hili swali la kiswahili kwa anayejua. SWALI......Athari hasi na chanya za fasihi simulizi katika kufaraguza fasihi andishi ya kiswahili ya hivi leo
0 Reactions
1 Replies
1K Views
UTENZI WA VITA VYA KAGERA NA ANGUKO LA IDD AMINI DADA. Amani iwe juu yenu ndugu wapendwa. Vita vya Kagera ni moja katika ya vita maarufu katika historia ya Afrika na historia ya Tanzania.. Ni...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
what are the account for the current problems that hinder the rapid economic growth in tanzania???
0 Reactions
1 Replies
729 Views
Hili tatizo kushindwa kutamka s na kutamka th badala yake ndio nnachomaanisha
0 Reactions
14 Replies
11K Views
swali eleza maana ya vidahizo vifuatavyo 1kinyenyezi 2 matundu 3matlaba 4sandali 5uzimbezimbe
0 Reactions
0 Replies
938 Views
Mtanisamehe kama imewahi ulizwa humu, me sikuiona, mtu kaniuliza na me cna jibu. Mtu wenye jicho moja anaeleza kuwa hajalala kwakusema "Niko macho" au niko "Niko jicho?"
1 Reactions
27 Replies
2K Views
Je wajua tofauti ya watu hawa..?? Zuzu,zezeta,zoba
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kiswahili kilizaliwa unguja, kikakulia Tanganyika, kikafia Kenya, kikazikwa Uganda, Je kiswahili kinakua au kinakufa? Tujadili……………!!
0 Reactions
8 Replies
5K Views
Kwa siku za karibuni nimekuwa nikifuatilia kupotea kwa mwandishi Jamal Kashogi nchini Uturuki.Jana nimekumbana na msamiati mpya,"The interrogation that went wrong" au kwa Kiswahili "mahojiano...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…