Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
1)Mamkuzi na salamua,juu yenu iwe amani Salamu kwetu muhimu,tena jambo la imani Kusalimu yalazimu,ni kale tangu zamani Mei mosi na ujumbe,natamani kuutoa 2)Heko kwa wafanyakazi,walioko makazini...
0 Reactions
0 Replies
712 Views
1.Nini asili ya neno ''KISWAHILI'' nimegoogle zijaipata 2.Ni ipi maana sahihi ya push-up kwa kiswahili,ukiachilia mbali ''kushinikiza? 3.Kuruka ki-chura chura,nashauri ibadilishwe tuwe na neno...
0 Reactions
0 Replies
922 Views
Ipi tofauti kati ya neno "nafsi" na neno "roho"
0 Reactions
2 Replies
979 Views
Heshima yenu wakuu ,Naomba kujuzwa MBWA KOKO anaitwaje kwa kiingereza.....
0 Reactions
0 Replies
827 Views
Je naweza pata wapi darasa la kujifunza kichina kwa dar
0 Reactions
9 Replies
920 Views
1)Ashakumu si matusi,huu sasa ni ujinga Acha Leo niwatusi,sindano nitawadunga Mnazo roho za fisi,mnakua kama wanga Huu sasa ni ujing,washairi nawambia. 2)Kila siku kulumbana,huo nao upumbavu...
0 Reactions
1 Replies
894 Views
Habari zenu wana jamvi naomba msaada kwa anaeweza kunipa njia za kujua vizuri kiingereza kwa njia za kusoma online .Muhimu nahitaji sana kujua kiingereza kusoma, kuongea na kuandika..asanteni
0 Reactions
4 Replies
7K Views
Habari Jf Natafuta mwandishi mzuri wa motivational letter na essay, nampa hints anaandika, uwe unajua lugha ya kingereza vizuri na uwe mzoefu. Karibu Pm
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Inasemekana kwamba, vyombo vya habari vya Tanzania vinafanya makosa ya matamshi, maandishi na maana katika maneno, istilahi na sentensi za kiswahili sanufi. Kutokana uvumi huo, makala hii imeona...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
.
0 Reactions
0 Replies
941 Views
1)Ole wenu ole wenu,ole wenu mthubutu Nasema shairi yenu,mkileta utukutu Mtasimulia kwenu,hamsahau katu Andamaneni muone,jinsi tutavyowafinya. 2)Tunakikosi imara,kuwashinda watukutu Kweli siyo...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
1.Kiburi si muungwana,kukaidi ya mabwana! unduli si karama,kuutupa ushauri mwanana, sifuri si kazi sana,kuipata huitaji chutama!. Moyo umeniweza! 2.nisemayo yaakili,nitendayo sifikiri! umeitia...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kama kichwa cha habari kinaonesha,naomba wajuvi wa Kiswahili wanisaidie.
0 Reactions
6 Replies
8K Views
Wapo wanaoamini eti kuna maneno au vitu vya kitaalamu ambavyo kwa kiswahili havina maana. kwanza hao ni wale wavivu sana wa kufikiri,kujifunza na kuwaza. jiulize je 'television' ilikuwepo kabla ya...
2 Reactions
15 Replies
2K Views
ABUNWASI NA NCHI YA KUSADIKIKA Abunwasi anaaminika na wafuasi wake ni "msomi bora kabisa kuliko wasomi wengine katika fani ile" ila hajajitambua kwamba sheria ni ile ile katika nchi ya...
4 Reactions
12 Replies
5K Views
Msaad kirefu cha JKU
0 Reactions
18 Replies
8K Views
NAKUJA KUOA KENYA 1)Acha niseme ukweli,nitue huu mzigo Naende kuoa mbali,huku nakupa kidogo Nawabwaga chini chalk,nashusha yangu mapigo Nakuja kuoa Kenya,wabongo wamenishinda. 2)Huku wengi omba...
0 Reactions
0 Replies
663 Views
Habari wanajamii! Naomba kuuliza kwa anayejua ni wapi wanafundisha lugha ya Kichina Arusha.. Ukiachana na chuo cha uhasibu njiro.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
1)Bata hakosi kasoro,eti anakula nini Mwenye manyoya nyororo,yapendwa take maini Bandani awe mtoro,usimfuge kwanini Ukitaka mla bata,usimchunguze sana. 2)Bata hakosi kasheshe,aendapo mtaroni...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
“English not Swahili”: The ill-placed call from a US senator on rewriting Facebook’s user terms By Abdi Latif Dahir April 12, 2018 Under scrutiny. For two days, Facebook’s chief executive...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…