Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Naomba maana ya internet katika kiswahili
0 Reactions
10 Replies
10K Views
Sina tatizo na mada ya ndugu mmoja aliyoileta humu hapa leo akitumia maneno hayo hapo juu. Ila naomba nitumie nafasi hii kuuliza kuwa haya matumizi ya maneno au usemi wa "kupata matokeo" pasipo...
0 Reactions
0 Replies
804 Views
NDAMA ni mtoto wa ng'ombe. pindi inapotokea "NDAMA akawa mkubwa halafu akawa na mama yake, "JE NG'OMBE HIYO ATAITWA NDAMA AU MTOTO WA NG'OMBE ' Chukulia mfano, "wewe umezaliwa,mama yako akawa mama...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
NDAMA ni mtoto wa ng'ombe. pindi inapotokea "NDAMA akawa mkubwa halafu akawa na mama yake, "JE NG'OMBE HIYO ATAITWA NDAMA AU MTOTO WA NG'OMBE ' Chukulia mfano, "wewe umezaliwa,mama yako akawa mama...
0 Reactions
0 Replies
928 Views
Nimejaribu sana kutafakari lakini nakosa majibu ni kwanini Tanzania na si Kenya ama kwingine ? kiswahili kwa asilimia mia moja kinazungumzwa sana nchini Tanzania tena kwa ufasaha na urahisi ambao...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Praying Mantis Hivi anaitwaje kwa Kiswahili?
0 Reactions
41 Replies
61K Views
Wadau wa lugh hii ya kiswahili mlipo sehemu mbali mbali duniani ,njooni mtuambie inchi zipi ukienda kiswahili unaweza kukiuza kama bidhaa yani mfano unaweza pata dili la kukifundisha, nk Karibuni
0 Reactions
0 Replies
738 Views
Habari wana na binti wa Mungu. Naomba kuuliza aliyempa Mungu jina la jah ni nani? Na je alikuwa na kusudi gani? Au pengine ni mimi nimefikiria jah ni Mungu? Maana naona mitandaoni tu " jah...
3 Reactions
45 Replies
7K Views
Huwa najiuliza kama mtu amesoma kuanzia darasa la kwanza mpaka la saba na labda akaenda sekondari pia, inawezekanaje anaandika hivi: Neno Hakuna anaandika akuna, Usipite anaandika husipite, Ibada...
11 Reactions
72 Replies
8K Views
Nauliza dagaa kwa kiingereza wanaitwaje? Kuna mtoto anataka kuniaibisha asubuhi hii, sijui zinaitwaje kwa kizungu, Msaada kwa anayejua..
3 Reactions
92 Replies
35K Views
Salama wakuu. Kuna hii kasumba mpya imeingia kwenye jamii.ni kule kujaribu kuleta complications kwenye uandishi wa majina yetu hasa yale ya asili ili yafanane na yale ya kigeni. Huwa sijui...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Naomba kujua tofauti ya MUONGEAJI na MZUNGUMZAJI kwa upana wake na marefu yake.
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Habarini wana JF, Naomba kuuliza kunatofauti gani kati ya maneno haya wawili, yaani "wazo" na "lengo".
0 Reactions
2 Replies
8K Views
Jaman haya maneno nimekuwa nayasikia ila sijui maana zake. Mfawidhi na mwandamizi
1 Reactions
6 Replies
22K Views
Naomba kujuzwa na wajuzi utofauti wa maneno tajwa hapo juu.
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Naombeni kujua maana ya neno blue kwa kiswahili sanifu.
0 Reactions
3 Replies
10K Views
Habari za Muda huu; Kuna maneno mengine ni marefu sana kiasi kwamba hata utamkaji wake ni shida kwa baadhi ya watu Mfano mimi neno limenisumbuaga sana kwa urefu wake ni Australopithecus Andika...
0 Reactions
38 Replies
6K Views
Natafuta pdf ambayo inamaneno ya kiingereza kama hiyo picha, mwenye anayo anirushie hiyo pdf au niiandikaje niweze kudownload.
0 Reactions
1 Replies
928 Views
Naomba tofauti ya kushuka na kuteremka.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kwa wale wanaofahamu kiswahili vyema, je nini maana ya kinzudi?
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…