Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
MAUAJI YA AQUILINA 1)Swali tunajiuliza,ni nani kama si yeye ? Kwanza alitueleza tusimjaribu yeye Leo wametekeleza,alioyasema yeye Alomua Aquilina,kifo kitamuumbua. 2)Risasi alofyatua,alikusudia...
4 Reactions
14 Replies
4K Views
KWANINI MENIUA" Mama baba acha kulia, akwilini sijafa mejilalia Waloniua wanashangilia,moyo wangu unaumia Bahati mbaya tajisemea,ukweli moyonpia ajua Usifadhahika mama tulia,baba mimi natangulia...
5 Reactions
7 Replies
1K Views
Kama nilivyouliza hapo juu Je?. Maneno haya ni kitu kimoja au vitu viwili tofauti Kama kitu kimoja nini umoja wake. Kama vitu viwili nini utofauti wake Naombeni kufahamishwa .
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari wakuu, nisaidieni kubadili sentensi hii katika lugha ya kingereza; Baba mimi ni mtoto wa ngapi katika familia?
0 Reactions
4 Replies
3K Views
JIFUNZE KINGEREZA KWA KISWAHILI Anza masomo nami mwezi huu 2018.wa pili kwa gharama nafuu kabisa, jifunze kingereza kwa kiswahili kupitia WhatsApp pekee tutajifunza kwa video, voice note, picha...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
G
Lugha
0 Reactions
0 Replies
394 Views
MIDEGE ISIYOLIWA HIYO NI MIDEGE GANI? Midege isiyofugika, hiyo ni midege gani? Moyo wahangaika,nitapa jibu gani Mawazo kunifunika, yataniIsha lini Midege isiyolika, hiyo ni kidege gani ...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Wanajf habari zenu wakali wa lugha? Naitaji mtu mwenye uwezo mkubwa wa kunisaidia kubadilisha kitabu kutoka kwenye lugha ya kuswahili kuwa cha kingereza, sio bure namlipa. Sharti asiwe...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kila jambo nawakt wake
0 Reactions
0 Replies
552 Views
Sipendi kuchanganya l na R katika uandishi, muda mwingine inabidi niepuke kutumia baadhi ya maneno ili nisiyakosee, naomba kueleweshwa haya maneno yanaandikwaje kwa ufasaha. Je ni lipi sahihi...
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Mimi napenda leo kuuliza sijui kabisa. Wana JF huko Facebook naonaga watu wanajiita...Tz nawaelewa maana yao. Lakini sasa je hawa wakina Jr ii, Jr iii, Jr, ndo wanamaanisha nini? Ahsante wakuu JF
2 Reactions
19 Replies
8K Views
Naandika msikucha, yangu hii bembelezi, Nimpe asojificha, si mwingine taazizi, Ni wewe uso na ncha, katika yangu mapenzi, Nipende kila kukicha, wasojuwa wamaizi. Ewe kwangu ndo machicha, si ya...
0 Reactions
0 Replies
517 Views
1)Huyu hataki utani,vyema mumchagueni Ilikuwa kampeni,alisema jukwaani Faraja i sandukuni,na kura zenu mpeni Vipi mbona mnalia,joto lazidi kupanda. 2)Yule anacheka cheka,mkamfanya mtani Wengi...
0 Reactions
0 Replies
439 Views
Inawezakana tunajua ama hatui ila huwa nasema mara nyingi kuna mamia ya wazungu wasiofahamu lugha ya kingereza lakini bado ikawa fahari zaidi kuijua lugha yao kuliko hiyo iitwayo lugha ya dunia...
0 Reactions
7 Replies
962 Views
Pumzika Kwa Amani Tambwe Hiza 1)Kifo ni haki yetu,wote kitatuchukua Hakuna myongoni mwetu,kitakae mbakiza Kifo ni kivuli chetu,nasi kipo twatembe Pumzika kwa amani,Richad Tambwe wa Hiza...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nauliza wadau; Ni muda gani inaweza kunichukua kusoma na kuhitimu kwenye taasisi kama British Council na kuhitimu uelewa wa lugha ya kingereza cha kuniwezesha kuwasilisha hoja katika hadhara...
2 Reactions
35 Replies
7K Views
1)Mwenzako mi sina raha,sipokuona usoni Inatoweka furaha,ninajawa na huzuni Nahisi ninajeraha,niloumia moyoni Yanitoweka karaha,yaja raha ya rohoni Nakupenda si utani,najianda kukuposa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
TAMTHILIA YA KULOGANA USHAIRI NA HISIA Jukwaa linawaka taa,waigizaji wamejipanga jukwaani kila mtu sehemu yake,mtemi amekaa katika...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Naomba Riwaya ya "Najiskia kuua tena
1 Reactions
1 Replies
5K Views
Wajameni,nianze kwa salamu kwenu.Nimekuwa natatizwa na hili neno MCHEPUKO.Je?linawakilisha jinsia gani Kati ya MME au MKE. Naomba mnisaidie. Mwenzetu
0 Reactions
4 Replies
13K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…