Jukwaa la Mapishi

Mijadala mbalimbali ya wanajamii inayohusiana na mapishi
Wakuu samahani, Naomba kuuliza namna Bora ya KUPIKA WALI MAHARAGE maana kila nikipika naona gesi inakuwa nyingi tumboni au nakosea wapi?
1 Reactions
11 Replies
3K Views
MAHITAJI Unga wa ngano nusu kilo Mayai 2 Sukari robo kikombe cha chai Chumvi kijiko kimoja cha chai Hiliki nusu kijiko cha chai Maji ya uvuguvugu kiasi Mafuta ya kupikia MATAYARISHO NA...
12 Reactions
21 Replies
16K Views
Habari wana jukwaa. Najitokeza kwenu kuomba mafunzo ya upishi wa kisamvu. Nimekula kisamvu kwenye sherehe kitamu sana Nifunzeni nipate kukipika mwenyewe nyumbani. Asanteni Recipe ya mama yangu...
2 Reactions
22 Replies
30K Views
Vyakula visivyo na mlolongo mrefu wa kuandaa na vyombo vichache sana vitumike. Nimechoka ubwabwa (wa rice kuka)/tambi/ugali na nyama au mainiau mchemsho. Vitu gani vingine huwa mnapika? Asanteni
10 Reactions
247 Replies
40K Views
Habari, leo nimewiwa kutaka kujua milo ya watu humu hasa mchana huu. Ni vizuri kwani tunashirikiana uzoefu na kujuzana habari mbali mbali kuhusu vyakula. Binafsi ndiyo nipo sokoni muda huu...
1 Reactions
2 Replies
748 Views
Gharama za maisha zimepanda sana, sasa hivi kumudu gharama za mkate asubuhi ili uwe kitafunwa cha kifungua kinywa ni wachache wanamudu. Hawa watoto wetu wengine hawajazoea kula mihogo ya...
3 Reactions
13 Replies
3K Views
Utengenezaji wa jamu si mgumu sana kama ambavyo wengi hudhani. Unaweza kutengeneza jamu kwa kutumia vifaa ulivyonavyo jikoni kwako. Jamu ya machungwa ama ‘orange marmalade’ ni moja ya jamu zenye...
3 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari za muda huu Kama kichwa kinavyosema. Japo tunatofautiana lakini twende mbele turudi hivi pilipili ina raha gani? Kila nikijaribu ili niione kawaida kama wengine, asee naona hapana huku...
7 Reactions
77 Replies
7K Views
Habari wana jukwaa. Tueleze tumekula mlo gani siku ya leo? Kwa mimi leo nilikarabati mwili kama ifuatatavyo: Asubuhi
2 Reactions
6 Replies
718 Views
Hello wana JF, natumaini mpo salama wazima wa afya, anayejua mapishi na maandalizi ya samaki Kambale anisaidie jinsi ya kumpika natanguliza shukrani.
2 Reactions
19 Replies
6K Views
Jinsi nilivyokuwa napika kitimoto na ndizi. Kwanza mfahamu kuwa nilikuwa napika chakula kingi, siyo kama kile cha kwenye video. Mahitaji. Kitimoto kilo moja. Ndizi mzuzu kumi, napendelea zile...
9 Reactions
14 Replies
5K Views
Wadau naomba kujua KITAALAMU na AFYA ni mchanganyiko upi ni SAIHI kwenye kuchanganya nafaka zetu na kipimo mfano mahindi, mtama, ulezi, muhogo. Natumiaga hivyo vyote ila nakutana na shauri...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mahitaji:- Unga kilo 2 Mayai 2 Sukari 5½ Kijiko cha chakula Blue Band 2½ Kijiko cha chakula chumvi 1 kijiko cha chakula Vanila 2 vifuniko B/powder 2½ tspn Amira 3½ Kijiko cha chakula Naombeni...
2 Reactions
29 Replies
17K Views
Nimejaribu kutafuta tofauti ya Nyama ya Punda na Ng'ombe sijaweza kutofautisha. Kilichofanya hadi nianze kutafuta tofauti ni namna ambavyo nimekuwa najisikia siku hizi baada ya kula hii nyama...
3 Reactions
7 Replies
3K Views
Zamani nilikuwa nakula kitimoto inanukia Sana enzo hizi tunadrop toka Minaki to Pugu kajiungeni vasco dagama kulikuwa na kitimoto swafi. Sana now dayz nakula nabadilisha viwanja lakin sioni...
2 Reactions
25 Replies
3K Views
Mimi ni mpenzi wa ugali dona mix ya Mahindi, ngano, mtama/ulezi mweupe. Ningependa kujua namna bora ya kuupika ukakujulisha kuwa umeiva. Hata kama kuna mix iliyo bora zaidi, nijulishwe. Picha...
1 Reactions
3 Replies
4K Views
Umewahi toka matembezi ili kufuata msosi? Vitu vidogovidogo maishani vinaweza kukuletea furaha sana. Mi nilikua natoka mpaka feri. Nikifika naingia mle wanakaanga samaki. Nanunua pweza wa moto...
7 Reactions
2 Replies
1K Views
Siku hizi zile foleni za kungojea mafiga kwenye nyumba za kupanga zimepungua sana. Siku hizi wengi wana majiko ya gas chumbani. Kwa kweli yanasaidia sana kuokoa misitu, kurahisisha maisha. Hata...
12 Reactions
33 Replies
4K Views
[emoji179]Chumvi ikizidi kwenye wali weka kiazi mviringo katikati kikiwa kimemenywa chumvi itapungua. [emoji179]Kama choo chako, kina harufu, ya mkojo na huna dawa washa kiberiti chooni harufu...
33 Reactions
94 Replies
21K Views
Kwanza Kabisa Kabisa nitangulize Shukrani nzito kwenu Wakuu Kutokana na kupanda kwa bei ya mafuta ya kupikia hivi sasa kutokana na Mafuta kuwa madogo kulingana na Uhitaji wa raia hali hii imezua...
2 Reactions
11 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…