Jukwaa la Mapishi

Mijadala mbalimbali ya wanajamii inayohusiana na mapishi
Watu wengi kwa sasa wamependelea kula ugali uliopikwa kwa unga wa mahindi usiokobilewa, maarufu 'dona'. Pamoja na kwamba mahindi uhifadhiwa kwa madawa ili yasiharibike (athari kwa fedha) kuna...
13 Reactions
439 Replies
129K Views
Habari! Twende moja kwa moja kama mada husika. Napenda sana kupika mapishi mbalimbali kulingana na mazingira niliyopo na nini nahitaji. Sasa wapishi wenzanu wenye uzoefu na pishi la kumpika...
6 Reactions
59 Replies
10K Views
Lazima nile nishibe. Proteins kama zote.
4 Reactions
8 Replies
2K Views
Msaada wa jinsi ya kupika Dagaa wa Nyasa?
2 Reactions
9 Replies
6K Views
Habari wakuu Nimepewa mbegu za giligiliani. Nimeambiwa naweza zitumia kama kiungo kwenye wali na nimejaribu kuziweka kama zilivo ila cha ajabu zimebaki na ugumu wake ule ule ingawa zinatafunika...
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Wakuu nimekuta sehemu nda humo jamaa anaomba ujuzi wa kupitia Michembe. Hivyo nikaona nishee na nyinyi japo kwa uchache. Jinsi ya kupika Michembe 1-Chukua Michembe inayo tosha kwa ajiri ya...
4 Reactions
26 Replies
5K Views
. . .What are you Great at?!! Nini ukipika watu wengine wanaomba kuongeza chakula kama hawana akili nzuri? Au hawaachi kuomba uwaambie ulichoweka? Au hawaachi kutania kwamba lazima umeweka dawa...
13 Reactions
147 Replies
23K Views
Hi guys, Natumaini mmekuwa na J'pili njema na yenye baraka..! Nakumbuka miaka ya nyuma ndiyo najifunza funza kupika maskiini, siku hiyo nikaambiwa nipike uji tena wa ulezi bhaana bhaana, nikatoa...
17 Reactions
155 Replies
12K Views
Wandugu naomba mtu anayejua kutayarisha grits anisaidie
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Friju lako huwa linatumia kiasi gani cha umeme kwa siku? Ni aina gani na ukubwa jee na brand? Tupeane mbinu za kufanya friji zitumie umeme mdogo
1 Reactions
43 Replies
14K Views
Bandugu ebu tupeane Maujanja zaidi ya kutumia hii kitu tomato sauce unayoyajua wewe au ndo kuweka tu kwenye chips kama nijuavyo mimi au kuna vitu zaidi tujuzane tafadhali. Ahsante Amani iwe nanyi
2 Reactions
11 Replies
2K Views
Unapenda kipi Sana Kati ya banana crips au chipsi kavu.?chagua kimoja tu ambacho hukuvutia na unakitumia Sana kwa wingi
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Eti wandugu hii kitu inapikwaje? Nasikiaga tu kuwa ni chakula maarufu kwa wamarekani weusi, asili yake ikiwa wahindi wekundu. Inapikwaje?
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Natafuta Recipe nzuri ya kupika kauzu wa Kigoma; wenye kujua mapishi ya kauzu nisaidieni.
0 Reactions
29 Replies
5K Views
Habari za leo ndugu wapendwa. Ni kwa muda sasa nimekuwa na mazoea ya kula vyakula kama jamii yetu ilivyozoea. Asubuhi chai na maandazi, mikate au chapati, mchana ugali, jioni wali na vitu...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu? Natumai mko POA. Najua Jf imejaa watu wa Kila Aina wenye uzoefu katika mambo mbalimbali na vichwa vyenye madini ya kutosha! Hivyo basi wakuu nilikuwa naomba wataalamu wa...
1 Reactions
9 Replies
4K Views
Mimi ni moja ya wale wajuba wasiopenda kula mitaani iwe hotel,cafe,bar,pub,nk sehemu yeyote wanayotoa huduma ya chakula sio mpenzi wa kula sehemu hizo na hii n kwasababu sipendi pikiwa chakula...
35 Reactions
215 Replies
42K Views
Yaani ukioa mpare utalishwa makande hadi ukome, yaani imekuwa kama ndo chakula kikuu sijui ndo uvivu wa kupika? Halafu mzigo unapikwa wa maana mtakula hata siku mbili, unampa hela za matumizi za...
23 Reactions
123 Replies
10K Views
Wana JF Naomba kufahamu vitu hivi kwa kiswahili vinaitwaje CINNAMON, ROLLED OATS
1 Reactions
16 Replies
10K Views
Nipo chuo na ninaishi na mshkaji wangu. Huyu jamaa ninayeishi nae, ni mpenzi mkubwa sana wa dagaa. Ila, jamaa hawezi kuzipika. Kwa wiki ni LAZIMA tuzile angalau mara 1 ila ladha ndio mtihani...
2 Reactions
7 Replies
4K Views
Back
Top Bottom