Jukwaa la Mapishi

Mijadala mbalimbali ya wanajamii inayohusiana na mapishi
Nimekaa na kujiuliza kwa nini huyu mnyama pendwa Nguruwe a.k.a mbuzi katoliki a.k.a kitimoto hapikwi supu mtaani kama ilivyo kwa ng'ombe ,mbuzi na wanyama wengine?
2 Reactions
18 Replies
4K Views
KiTiMoTo, na Ijumaa hii, upate alafu isikauke sana kuwe na ugali fulani unga wa kuloweka, kama itawezekana upate na maziwa mgando yasiwe makali sana, then kwa kuwa inajitegemea mafuta basi ukipata...
16 Reactions
33 Replies
9K Views
Habari ya leo wapenda kula mapocho pocho wenzangu. Hivi kati ya kiporo cha wali na maharage/ wali ndondo na kiporo cha wali kisamvu (cha nazi au karanga) kipi kitamu? Yaani nimeona niulize...
15 Reactions
153 Replies
56K Views
Wakuu. Nimetembelea mikoa mbalimbali katika harakati za kusaka maisha lakini kama mnavofahamu mikoa mingi kuna tamaduni tofauti za mapishi Kuna mikoa chakula unaweza kula ukaona ladha ya chakula...
12 Reactions
119 Replies
56K Views
Habari wana JF Huwa nakunywa, juisi mara nyingi wameweka tangawizi sa naomba nijue faida zake kwenye juisi . Inaleta flavor ama?
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Jamani naomba mwenye kujua namna ya kupika mbege anielekeze tafadhari
2 Reactions
18 Replies
7K Views
Ndugu zangu wenyeji wa Dar, ivh ni sehemu gani nzuri ambayo wanauza vyakula vitamu vitam kipenzi cha wengi. Sometimes mm naona ni vzur kubadili mazingira. Bei haijalishi
1 Reactions
137 Replies
36K Views
Habari zenu? Muda huu nmejikuta nakumbuka chakula cha kijijini kwetu. Mimi ni mwenyeji wa Mkoa wa Singida na nikiendaga kwetu napikiwa ugali wa mtama mweupe, "nsans'a" hii ni majani ya kunde...
2 Reactions
21 Replies
7K Views
hii ni mojawapo ya sectors za malavi davi inakyokuwa overlooked ila aparently inasababisha matatizo... sasa wenye uzoefu tupeane maujuzi humu,tusije tukaachika bure lol... tufundishane namna...
5 Reactions
39 Replies
21K Views
1. Mapishi Kababu za nyama (Meat Ball) Leo tuangalie mapishi ya meat ball (kababu) za nyama ya ng'ombe. Ni kitafunwa kizuri sana kwa asubuhi au hata jioni. Mahitaji · Nyama ya kusaga 1/2kg · Yai...
3 Reactions
2 Replies
16K Views
Habari menu, Mimi nimezoea Sana Kutumia chopping board jikoni kiasi kwamba nikitumia mikono najikata Sana na kisu vidole. Lazima nitumie chopping board kukata nyama, mboga zamajiani...vitunguu...
5 Reactions
150 Replies
12K Views
MAHITAJI [*=left]1 kilo unga wa ngano [*=left]240 ml maji ya vugu vugu [*=left]2 olive oil kijiko kikubwa cha chakula [*=left]2 asali kijiko kidogo cha chai [*=left]1 chumvi kijiko...
4 Reactions
4 Replies
17K Views
Ukweli kiti moto kina shombokali na ukikosea kuipika itakushinda kula hasa roast. Giligiliani majani haya hukatashombo yote. Kata giligilani uchemshe pamoja na limao au ndimu. Maji haya...
6 Reactions
10 Replies
4K Views
Salaam wana Jf. Bila kupoteza wakati naomba kwenda kwenye mada moja kwa moja. Kuna mahali nimepata wazo la kufungua biashara ya kuchoma ndizi na mishkaki, lengo langu ni kutengeneza bidhaa zenye...
2 Reactions
19 Replies
8K Views
Hello, wakuu naomba msaada wa jinsi ya kukaanga karanga kwa ajili ya kuuza. Je, naweza tumia microwave katika kukaangia karanga au je, nitumie nini katika kukaanga karanga? Msaada tafadhali
1 Reactions
19 Replies
14K Views
Huu ni ugali usioharibika hata ukikaa mwezi mmoja, Ugali huu unaitwa Rowe hapa kwetu Kigoma. Unatengenezwa kutokana na muhogo, Masharti yake usihifadhiwe kwenye jokofu ama sahani. Unaandaliwa...
8 Reactions
59 Replies
7K Views
Kwa anayefahamu kupika chainizi tamu naomba anipe maelekezo, nahitaji ladha.
3 Reactions
14 Replies
6K Views
Mboga za majani ni muhimu sana kwa afya. Tunashauriwa kula mboga za majani kila siku. Binafsi napenda kula mboga za majani na mboga zangu pendwa ni tembele, chainizi, majani ya maboga na kisamvu...
6 Reactions
47 Replies
8K Views
Hello, Anayejua materials za utengenezaji wa sausage zinapopatikana naomba unielekeze.
0 Reactions
9 Replies
8K Views
Salaam JF, Leo napenda kushea nanyie jikoni kwangu,jinsi ya kupka majani ya maboga yakawa matam bila kutumia gharama kubwa. @Mahitaji majani ya maboga fungu1(kulingana na mahitaji ya familia...
12 Reactions
54 Replies
9K Views
Back
Top Bottom