Jukwaa la Mapishi

Mijadala mbalimbali ya wanajamii inayohusiana na mapishi
Wakuu habari za weekend, Naomba msaada wa haraka wa namna ya kupata mboga hizi na ikibidi mbegu zake. Na je, nikienda sokoni niziulize kwa majina yapi, maana nimeelekezwa na mtu ambaye si...
1 Reactions
25 Replies
11K Views
Ukiachana na ile chopping board iliyopata mrejesho hasi. Pia Kuna kifaa hua natumia Sana..kwa jiko langu...nacho Ni MBUZI.. sijui mbuzi kwa English inaitwaje. Je, Wewe kitaa gani unatumia zaidi...
3 Reactions
25 Replies
4K Views
Bia ni kifungua kinywa bora, siri moja ya kifungua kinywa hiki ni kunywa beer moja tu. Wengi wanaharibu hapa kutaka ya pili na ya tatu. Ukishaongeza ya pili umevunja mwiko. Unaweza kushushia na...
13 Reactions
42 Replies
4K Views
Habari wapendwa wa JamiiForums. Naomba mwenye elimu ya kutengeneza barafu na juice ya matunda mchanganyo wa nanasi ndizi na parachichi aweze kunisaidia, email yangu ni yasinijawadu@gmail.com...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habarini za saa hizi wandugu? Leo nilienda kununua nyama ya ng'ombe buchani yapata robo kilo kutokana na mlaji niko peke yangu getto. Maajabu ni kuwa nilianza kuchemsha kwa jiko la gas mida ya...
2 Reactions
30 Replies
4K Views
MAMBO TISA UNAYOWEZA KUFANYA KATIKA CHAKULA CHAKO KAMA MAMBO YAMEENDA NDIVYO SIVYO 1.Chumvi ikizidi kwenye mchuzi menya kiazi mviringo weka kwenye chakula unachopika, acha ichemke chumvi...
13 Reactions
17 Replies
4K Views
Habari wakuu. Ningependa kujua bei za sare za chef na aina zake. Ukituma na picha nitashukuru
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Nimechoka kula wali ugali ndizi tambi nk nimeamua kujaribu vyakula vipya kabisa vitakavyonipa ladha mpya. Nimeanza na majongoo Yale makubwa meusi. Nitayala kwa mfumo wa kuyakaanga kwenye mafuta...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Hivi ni kweli kwamba kiporo cha chakula hakina faida yoyote mwilini? Kinakua ni km makapi tu? Je, hakina virutubisho vyovyote?
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Kwa wale wenzangu na mimi tuliowahi kunywa chai ya kuunguza sukari kama majani ya chai tukutane hapa. Chai ile ilikuwa inatengenezwa kwa kuchukua Sukari unaiweka kwenye sufuria iliyopo motoni...
32 Reactions
137 Replies
20K Views
Habari! Naomba kusaidiwa kujua aina ya vyakula ambavyo vinadumu tumboni hasa wakati wa mfungo! Mfano nikila hicho kitu saa11 asubuhi sitosikia njaa kali mpaka saa1 usiku. Tafadhali naomba...
2 Reactions
50 Replies
7K Views
The saying must be true: “The Chinese eat everything that has four legs, except tables and chairs, and everything that flies except planes.” However, the State and federal health officials have...
2 Reactions
19 Replies
2K Views
Wakuu, Nimefungua mgahawa hivi karibuni na miongoni mwa huduma ninazohitaji kutoa ni pamoja na Al-kasusi. Mwenye kufahamu naomba anifahamishe.
3 Reactions
23 Replies
14K Views
Wakuu salamu, Kama mnavyojua jiji la Dodoma linakua kwa kasi ya 4 G, linapokea wageni kila siku iitwayo leo, naomba tutaje mahali bomba panapo ongoza kutoa huduma bomba na classic za dinner na...
2 Reactions
18 Replies
3K Views
Ukiwa unataka kufungua restaurant au mgahawa. Unatakiwa uwe na ujuzi wa vyakula vya aina gani? Vile vile ni vyakula vipi ni pendea sana na vinaleta wateja?
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari za asubuhi wana Jf,natumai mmeamka salama na mkiwa mnajiandaa kuingia kwenye harakati za utaftaji kwa lengo la kupata chochote kitu,Na Mungu akawafungulie milango ya baraka.Bila kusahau uzi...
5 Reactions
13 Replies
2K Views
Naomba kujuzwa namna ya kuandaa hili tunda kwaajili ya juice, na pia vitu naweza kuchanganya katika hiyo juice. Asanteni
1 Reactions
23 Replies
9K Views
Ni kwanini wanaume mnaichukia kabichi? Skukuu yote hii nilitamani niwafukuze hawa wageni. Asilimia kubwa wote waliiponda kabichi, Mwingine anaita Minyoo hiyo Mimi silagi. Mwingine Nani ale...
15 Reactions
182 Replies
16K Views
Taja mboga za asili zisizo pungua 2 na zisizozidi 3 (za ukanda wenu huko) Wale waliokuwaga "geti kali" mtupishe kidogo 😂 Naanza mimi; Mlenda Nsasa Lets go!!
4 Reactions
168 Replies
15K Views
Back
Top Bottom