Jukwaa la Mapishi

Mijadala mbalimbali ya wanajamii inayohusiana na mapishi
Nina imani mabachela tuko wengi sana humu. Katika suala la kupika na kuosha vyombo huwa ni habari ingine. Vipi wewe mkuu ni msosi gani kuupika au kuuandaa huwa unakupa mawazo sana japo...
22 Reactions
582 Replies
58K Views
Jinsi ya kupika supu ya ulimi wa ng'ombe/nyama ya ng'ombe/mkia wa ng'ombe/makongoro/nyama ya mbuzi/samaki/kuku/utumbo Mahitaji Ulimi wa ng'ombe/nyama ya ng'ombe/mkia wa...
5 Reactions
92 Replies
61K Views
Wakuu Jana nimejichanganya sehemu moja Mwanza nikaambiwa wanapika birian zuri sana nilichokutana nacho Mungu anajua. Asanteni sana Mwanza [emoji1487][emoji1487][emoji1487]
7 Reactions
20 Replies
3K Views
Hello wapishi. Leo ni siku ya sikukuu wa wenye imani ya dini ya Kiislamu, ila kwa kiwa sisi ni wamoja huwa tunasherehekea pamoja. Sasa leo unapika nini siku hii? Tushirikishe kisha tupia picha...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Wapendwa naomba kufahamu unga wa dengu hutumiwa kupikia nini? ======== Wadau washauri jinsi ya kutumia Bagia, Kachori kwa hapa unatumia viazi unavichemsha vikiiva unavipondaponda kisha...
0 Reactions
13 Replies
13K Views
Mara kadhaa tumekua tukitumia Tango kama moja ya matunda yetu. Lakini je umepata kujua kazi za Tango mwilini? Makala hii itaangazia faida kedekede za Tango katika mwili wa binadamu. Wengi wetu...
8 Reactions
8 Replies
3K Views
Mara ya kwanza naonja Kimchi ilikuwa kwenye hafla fulani huko Jijini Dar es Salaam. Nillikuwa na shauku sana kuonja menu ambayo naiona tu kwenye series. Of course nilijua kitakuwa ni chakula...
1 Reactions
4 Replies
3K Views
Mahitaji -Kuku 1 -Karoti 3 -Vitunguu 2 -Vinega -Pilipili kiasi -Mafuta ya kukaanga Jinsi ya Kuandaa -Kata kata kuku -Kaanga kuku -Weka vinega kwenye bakuli katia humo na pili pili...
5 Reactions
23 Replies
30K Views
Wadau wa JF Nimeingia Iringa muda huu kikazi Nimeagiza supu nzuri, tamu, ya kutosha na tena yenye ladha ya kipekee kabisa Furaha yangu ilizidi zaidi nilipoambiwa na mhudumu kuwa bei yake shs...
8 Reactions
32 Replies
4K Views
Habari zenu wanajiko. Leo ningependa tushee mambo yanayotutokea jikoni, yale ya vituko vituko. Mie mengi yamewahi kunikuta lkn ntaweka machache tu. Kuna siku mama yangu aliniwachia niangalie...
13 Reactions
188 Replies
26K Views
Natumai hamjambo wapishi, Bahati mbaya kwenye mapishi ipo unajikuta umeunguza msosi, mimi ilishawahi nitokea kuunguza nyama mpaka tukaimwaga maana ilikua chungu. Nikachezea fimbo za kitosha...
4 Reactions
9 Replies
1K Views
Habari wakuu. Naomba kufahamu zaidi juu ya hili jiko la kupikia. Nipo Mwanza naweza kulipata wapi? Kampuni gani nzuri? Wenye uzoefu wa kulitumia vipi lipo vzuri? Nini hasara zake? Bei yake ipoje...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
SHURBA Mahitaji Ngano nzima nusu Nyama kg1 Tungule 1kubwa Kitunguu maji 1 Somu na tanga wizi kijiko 1cha mezani. Pili pili boga1 Pilipili manga kijiko kidogo Uzile au bizari nyembamba kijiko...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wadau za leo? Bila shaka wote tunafahamu hii bidhaa ya Microwave/Microwave Oven/Microwave Oven and Grill. Wengi tumeizoea kuitumia kwa kupasha japo ina matumizi zaidi ya hayo..kupasha mara...
2 Reactions
32 Replies
16K Views
Binafsi napenda sana supu ya samaki tena napenda kuagiza kichwa maana bila ya kula jicho sijajickia kama nimekula. Lakini pia kama hakuna napenda supu ya bata huniburudisha kwa radha yake kama...
0 Reactions
75 Replies
10K Views
Dah hii juice ina sukari nyingi sana.. Haijakaa sawa haswa kwa matumizi ya watoto na wazee..
0 Reactions
13 Replies
4K Views
Habari wana jukwaa, Kama mada inavyojieleza. Ni ipi ladha ya juisi huwezi kuichoka hata unywe mara nyingi. Kwa upande wangu mchanganyiko wa nanasi, parachichi na pasheni. Kwa kweli napenda sana...
2 Reactions
12 Replies
3K Views
Nimekaa waungwana nikasema mnisaidie kati ya hao ndege wawili ni yupi kati yao nyama yake inashikia hatamu kwa utamu?
1 Reactions
32 Replies
9K Views
Njia hizi zitakurahisishia usafi jikoni na kuweka jiko lako safi bila bacteria 1. Tumia chumvi na ndim kusafisha ubao wa mbao wa kukatia vitu jikoni. Mwagia chumvi kwenye ubao halafu sugua na...
4 Reactions
2 Replies
3K Views
JF, Nafikiri na nyie mtakuwa mmegundua hili. Wapishi katika mahoteli makubwa wengi ni wanaume. Hasa hasa hoteli zenye hadhi ya nyota tano lakini hata zile za hadhi ndogo. Sijajua sababu au ni...
3 Reactions
17 Replies
4K Views
Back
Top Bottom