Jukwaa la Mapishi

Mijadala mbalimbali ya wanajamii inayohusiana na mapishi
Hapa mnaweza laumu Kuwa wanaume hawatulii, hawali kwa wake zao n.k kumbe ni utamu wa vitumbua kama hivi. Ukikiona tu kwa nje unatamani ukile... Kimetuna, Kisafi kina mvuto. Tuelekezane mapishi...
8 Reactions
55 Replies
15K Views
Karibu tujifunze lishe Bora zenye Kinga mwilini 1: Kuna lishe ya protini Hii lishe usaifia nu lishe inayoitajika mwilini kwa Kasi kubwa kwani husaidia kukuza Mwili, pia huzuia magonjwa Kama...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Leo hii tujifunze jinsi ya kupika tambi za mapapayu,usishangae ni katika ubunifu wa mapishi MAHITAJI Tambi za mapapayu (papayu lilokatwa maganda na kukatwa kwa urefu kama tambi) kiasi bakuli...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Mahitaji Ndizi mbichi 6 Nyama ya ng'ombe (nusu kilo) Viazi mviringo 2 Kitunguu swaum tumba tatu Tangawizi 1/2 kijiko cha chai Kitunguu maji kimoja kikubwa Nyanya 1 kubwa Mafuta (vegetable oil)...
8 Reactions
9 Replies
16K Views
nipo mbeya mtaa wa ikuti...naomba mnifahamishe ni wap au soko gani nnaweza kupata njugu mawe. Kwa yeyote anaejua anifahamishe please
1 Reactions
7 Replies
3K Views
Habari za Usiku wakuu. Aisee mimi chakula ambacho sina allergy nacho ila kiukweli Hata upike Vipi Hauwezi kula kabisa kwa Upande wangu mimi ni BAMIA NA NYANYA CHUNGU..Vyovyote utakapopika mimi...
2 Reactions
95 Replies
7K Views
Wakuu,nimenunua jiko miezi 6 iliyopita ila sikuweza kulitumia sababu ya safari likawa ndani tu. Sasa juzi nachomeka mpira wa gesi ,mara kile kideude cha aluminium nyuma ya jiko kikavunjika na...
1 Reactions
5 Replies
3K Views
Mungu ni mwema kwa wote. Najiuliza unawezaje kula chakula ulichopika mwenyewe maana mi chakula nikipika kwa mikono yangu siwezi kukila yaani kinanikinai mapema. Nyie kwenu vipi mnatumia mbinu...
3 Reactions
18 Replies
2K Views
Hususan chakula kama wali au chai ili ipoe kidogo? Maana yake ndio zangu kama nina haraka. Kuna madhara gani kuweka kitu cha moto kwa friji?
1 Reactions
11 Replies
5K Views
Wadau juzi nilikuwa huko kanyigo-Bukoba. Kumbe senene wanafaa kwa supu?
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Ukiachana na wale wenzetu ambao wamesomea elimu ya kupika Vyakula mbali mbali, kuna sisi wapenda kula lakini kupika mtihani. Leo nimejiskia kupika firigisi na ugali. Sema hapa kwenye firigisi...
2 Reactions
46 Replies
5K Views
Ni ya vanilla na maziwa nimeipika kwa gesi tu. Nimetumia Unga:250g Sukari (icing suga):200g Mayai:5 Maziwa:vijiko vitatu vya chai Vanilla:kifuniko kimoja Butter:250g Baking powder:2teaspoon...
5 Reactions
5 Replies
3K Views
Wadau habari zenu Naombeni ushauri wa namna ya kula, na vyakula gani nikila ndani ya muda mfupi nitanenepa . Nilikuwa mnene wa wastani kwa kipindi cha mwaka mzima nikawa busy sana na kazi naweza...
0 Reactions
28 Replies
13K Views
Wakulungwa! Hii huwa sielewi, kuna chemistry gani kati ya bia na bisi, ? Maana huwa nikifika tu bar, utakuta mdada mrembo,ananiletea bisi, baada ya kuagiza vyombo. Au ndio yale yale, siku hiz...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Unapaswa kuvijua ili upunguze matumizi yake kila siku kwa kuepuka kwa kinga zako kudhofika na kupungua, kuongeza sumu kwenye mwili na kinga zako, kudhofisha viungo mbalimbali na kupelekea saratani...
1 Reactions
60 Replies
51K Views
,.........habarini wana jf...... Kila mmoja anajua kuchemsha chai ila ni wachache wanajua kupika chai [emoji626] Chai n pishi kama pishi nyingine ,,,lakini tunavyoliandaa wengi wetu hukosea...
4 Reactions
13 Replies
12K Views
Habari zenu wote natumai mu wazima Mimi nimuajiriwa ila nahitaji kipato cha ziada mara kwa mara nimekuwa nikijaribu kutengeneza ubuyu lakini umekuwa hautokei kama unavyo paswa sasa nashindwa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Tunavyokula kuna athiri jinsi tunavyojisikia. Inatakiwa unapokula uwe unajisikia vizuri. Kuna wengine wakila wanajisikia tofauti. Ukila sana au kidogo vyote vinaweza kukufanya kusikia vibaya ...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Hawali ya yote naomba radhi kwa kuandika Vyakula ivi kwa lugha ya kingereza MTOTO MDOGO anatakiwa ale mlo kamili yaani appetizer,main meal,pamoja na desert na Vyakula hizo zinatakiwa ziwe na lishe...
2 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu, Kuna mtu amewahi kujaribu kuunga karanga kwa kitunguu na nazi kama unavyounga maharage akaona inakuaje ukila na wali? Naona kama karanga ni laini na tamu kuliko maharage, njegere...
0 Reactions
10 Replies
5K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…