Jukwaa la Mapishi

Mijadala mbalimbali ya wanajamii inayohusiana na mapishi
Watu wa pwani hii kitu tunapendaga sana mapishi pia hutofautiana leo nenda fresh food nunua pweza alafu pika kama hivi hutojutia.. MAHITAJI Pweza - 1 Kilo Mafuta - ½ kikombe Chumvi - 1 kijiko...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Hiki ni chakula cha asili ambacho kinaliwa kwenye jamii zetu.. Mahitaji •Unga wa muhogo. Jinsi ya kupika. •Bandika sufuria yenye maji jikoni(kulingana na maitaji) •Subiri mpaka maji yawe...
3 Reactions
8 Replies
7K Views
Jamani kuna hivi vitu vinafanana na sukari ni nyeupe sanaa. Nimeshaona aina tatu sasa tofauti ni ladha zake.. Ya kwanza ina ladha ya utamu kama sukari na ninaambiwa inatumika kwenye juice au...
0 Reactions
15 Replies
16K Views
Wadau wengine ambao wanahitaji kujua kuhusu matumizi ya rice cooker Natumai wazima ndugu zangu,naomba mnielekeze namna ya kutumia rice coocker. ---- Hivi pilau waweza pika kwenye rice cooker...
2 Reactions
176 Replies
58K Views
Habari zenu. Unaweza kupika chakula kizuri tu na kuzingatia kila hatua ila kisiwe na ladha tamu zaidi au kiwe kimepooza. Tumia pilipili manga iliotwanga dakika 10 kabla ya kuepua chakula chako...
4 Reactions
9 Replies
5K Views
Mimi binafsi naona mapishi ya aina hiyo hayafai kwakuwa radha ya Tangawizi si nzuri kwa vyakula ila vinywaji mara mia nitumie kitunguu swaumu kwenye mapishi ya mboga. Vipi wadau wa Chefs...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Mimi napenda sana nyama hasa iwe ya ng'ombe, mbuzi kuku, samaki, kima. Ilimradi nyama tu iwe tamu na siwezi kuichoka. Mfano nyama ya ng'ombe nitakunywa supu asubuhi mchana na ugali au wali na...
13 Reactions
95 Replies
8K Views
Helow wakuu Msaada,,nataka kujua namna ya kufanya vitafunwa vikae bila kuharibika kwa muda mrefu,vitafunwa kama maandazi ,,mfano kama yanayouzwa supermarket,,yanawekwa nini ili yasiharibike...
3 Reactions
49 Replies
21K Views
..
0 Reactions
3 Replies
939 Views
Mambo zenu wakuu leo nitafundisha jinsi ya kupika ugali. Fuata Steps Hizi MAHITAJI Maji,unga wa sembe/Dona + Sufuria,Ubanio,Mwiko na jiko la aina yoyote mkaa au umeme au gesi.. Step 1 Sikia...
5 Reactions
117 Replies
46K Views
Hi Guys, Kama kichwa cha habari kinavyojielezea, naomba kwa ajuaye Menu nzuri ya chakula kwa wiki nzima isiyojirudia plz aniambie. Karibuni.
2 Reactions
23 Replies
8K Views
Mimi sio mpenzi wa mayai au ndege aitwaye kuku kabisa. Lakini nimekuja kugundua chakula chochote kukipenda au kutokukipenda inategemea na kilivyopikwa na kilivyotayarishwa. Sipendi mayai yawe ya...
5 Reactions
5 Replies
2K Views
Naomben msaada sina friji, nataka niwe nahifandhi nyama ya kuku at least ifike siku nne mana niko peke angu siwez mmaliza wote, pia suala la bajeti. Shukran
4 Reactions
20 Replies
8K Views
Supu ya nyama. Mahiiaji: Nyama ya mifupa 1/2kg Carrots 2 Viazi 2 Njegere kiasi Kitunguu swaumu 1 tsp Tangawizi mbichi 1 tsp Pilipili manga 1tsp Bizari nyembamba 1tsp Chumvi kiasi Matayarisho...
6 Reactions
3 Replies
3K Views
Miongoni mwa mboga za majani ninazopenda ni pamoja na tembele, leo ngoja niwashirikishe jinsi ya kuyapika matembele. Pishi hili ni kwa wale wenye Maisha ya kawaida kabisa ambao tunapika bila...
12 Reactions
8 Replies
14K Views
Jamani 'Jasiri aachi asili'; Nimejikuta nikikumbuka kwetu. Napata soko gani hii kitu?
2 Reactions
12 Replies
4K Views
Ni swali na wale wenye uelewa mpana naomba msaada. Nimejaribu kusoma various articles kuhusu hawa samaki wawili, Salmon anayepatikani baharini na Nile perch yupo ana high concentration ya Omega 3...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Mimi nikienda mahala na kupewa ugali na mboga yoyote ila kama kwenye hiyo mboga hakuna mlenda basi kwangu naona kama nimekula chakula ambacho hakijakamilika. Nikiwa nyumbani nimeamua kujipikia...
5 Reactions
30 Replies
4K Views
Habari wapendwa! Hapa naomba ku sharevaina nyingine ya chakula cha ki- bachelor na cha fasta kidogo. Naamini sio muda wote unakua na mood ya kupika ila unakuta una nenge/gwanda/njaa na...
7 Reactions
26 Replies
22K Views
JUISI YA NDIZI MBIVU NDIZI ni zao linalotokana na mgomba, zao hili likiwa bichi hutumika kama chakula na likiwa limeiva (ndizi mbivu) hutumika kama tunda ambalo wakati mwingine hutumika...
3 Reactions
8 Replies
13K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…