Jukwaa la Mapishi

Mijadala mbalimbali ya wanajamii inayohusiana na mapishi
Hellow team, Naomba mwenye ufahamu jinsi ya kutengeneza juisi ya tende anielekeze hatua moja mpaka nyingine. Asante
0 Reactions
4 Replies
8K Views
Nini maana ya neno makange? Sie watu wa bars hata redio zetu kazi ni kupiga nyimbo za Diamond tu hawana vipindi vya lugha hivyo ninalisikia tu ila silielewi
0 Reactions
12 Replies
9K Views
Natumai mko sawa wakuu.. Haya naomba kwa mwenye kujua anijuze ..black beans...ndio nini?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Leo jikoni tunaandaa choroko za kupaaza, twende pamoja Vipimo: Choroko za kupaaza - 1 kikombe kikubwa (mug) Kitunguu maji - 1 kimoja Binzari ya manjano ya unga - 1/2 kijiko cha chai Kitungu...
4 Reactions
4 Replies
4K Views
Kifaa hiki ni kawaida kukikuta kwenye majiko hasa ya wenye nazo. Jiwe hili licha ya kuwa ni urembo mzuri pia hudumu kwa miaka mingi. Historia inatuonyesha walioanza kutumia jiwe kupondea viungo...
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Assalam alayqum, Jamani ni matumaini yangu mko salama. Naombeni kujuzwa/ kufahamishwa namna ya kuandaa mbegu za maboga zichanganywe kwenye uji wa mzazi. Nazifanyaje baada ya kuziosha? Je...
2 Reactions
10 Replies
11K Views
Habari za wiki end wakuu. Kama nitakuwa nimekosea katika kuziita 'kashata za ubuyu', basi naomba mnielewe nichomaanisha. Nasikia huwa zinatengenezwa kwa kutumia unga wa ubuyu, huwa watoto...
0 Reactions
48 Replies
92K Views
Mara nyingi watu hutumia siagi ya karanga (peanut butter) kwenye mkate au kama kionjo kwenye mboga ya majani. Leo nitakufundisha kutumia siagi ya karanga ,matunda na mboga za majani kuandaa...
4 Reactions
1 Replies
5K Views
Katika siku za week naipenda sana Jumamosi. Hii huwa naitumia kufanya shopping ya Vegetables na Fruits pia kufanya mapishi au kuandaa juice/smoothie. Jumamosi hii nlikuja na kitu kizito. Huu ni...
2 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari zenu chefs, Naomba kujua nifanyaje jiko la gas la plates lilikaa muda bila kutumika. Sasa zile switch za kuwashia hazizunguki hivyo siwezi kuwasha. Naomba kujua nifanyaje ili lizunguke...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari, Namna gani naweza kuandaa kuku wa ndimu/ lemon chicken? nataka kujua viungo vinavyohitajika na shughuli nzima mpaka anaiva. .
0 Reactions
3 Replies
5K Views
Habari wadau wa mapishi, wapenda misosi mitamu. Leo nawaletea pishi hili tamu sana baada ya kulionja nikaona niwaletee na nyie ndugu zangu wa JF ili mkapike nanyi mfaidi kama mimi nilivyofaidi...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Mtindi unaorodheshwa kuwa miongoni mwa vyakula bora kutokana na kuwa na virutubisho vingi vya aina mbalimbali ambavyo vina faida nyingi katika mwili wa binadamu. Vikitajwa kwa uchache virutubisho...
4 Reactions
16 Replies
25K Views
Hatua kwa hatua jinsi ya kupika mboga aina ya kabichi Mahitaji Kabichi 1/2 kilo Nyanya ya kopo 1/2 Kitunguu 1 Curry powder 1/2 kijiko cha chai Chumvi Olive oil Matayarisho Kwanza kabisa...
41 Reactions
354 Replies
62K Views
[USER=114064]Khantwe USER] hope umepata mwanga na kwa wengine wote mliokuwa mnashindwa kupika chapati laini
5 Reactions
17 Replies
3K Views
Habarini wanajamvi. Nilikuwa nahitaji kufahamu kuwa kwa hapa Tanzania kuna aina gani za ugali zinapatikana hapa bongo na aina zipi kati ya hizo zinapendwa sana na watu!! Binafsi nafamu ugali wa...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Habari zenu machef wa JF naombeni msaada njia gani rahisi ya kumpika bata awe mtamu. Sijawahi kula bata kabisa wala kumuandaa. Mwanangu kashinda mashindano ya michezo huko shule akapata zawadi ya...
3 Reactions
55 Replies
14K Views
Vipimo Unga wa ngano mweupe ................... 1 Kilo Samli .............................................. 150gm Chumvi ............................................3 vya chai...
14 Reactions
657 Replies
325K Views
Leo nina ugeni wa member mmoja maarufu hapa CHIT-CHAT na MMU nimeamua kumtengenezea mbuzi katoliki(kavu) na mazaga mengine. Maandalizi >Nyama kg 2 >Ndizi mzuzu >Mchicha >Tangawizi ,kitunguu...
10 Reactions
340 Replies
21K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…