Jukwaa la Mapishi

Mijadala mbalimbali ya wanajamii inayohusiana na mapishi
▶️DONDOO ZA JIKONI:- 1🧂Ukiandaa nyama kwa viungo kama tangawizi, thomu na masala ongeza mafuta kidogo na mtindi vijiko viwili utafurahi. 2🧂Ukikosa vanilla unaweza saga ganda la limao bichi...
7 Reactions
10 Replies
478 Views
Dinner ya Adam na Hawa.
3 Reactions
7 Replies
243 Views
Kuna wajasiriamali Wengi Sana siku online wanatangaza kupika vyakula mbali mbali na kutangaza unaweza agiza chakula online ...kinakufikia... Nna watu wengi waliowahi agiza vyakula kutoka...
8 Reactions
31 Replies
860 Views
Mara ya pili sasa nashauri tena hili jukwaa la mapishi libadilishwe title liitwe jukwaa la chakula na vinywaji!, Wahariri wa humu sijui hamulioni hili!, maana hapo linaitwa jukwaa la mapishi tu so...
3 Reactions
13 Replies
280 Views
Leo niliji mwaga mapema sana saa nne nipo home Njaa ikawa inauma dah kuagiza chakula naona uvivu hapa nikaamua kwenda kwenye friji kutafuta chochote kitu Nikanywa mtindi nikaona mayai ndio...
39 Reactions
241 Replies
3K Views
Mimi huwa napenda kupika, kujifunza na kujaribu Mapishi mbalimbali Nyumbani na Familia yangu hufurahia sana ninachokifanya mbali na Shughuli zangu zinazoniingizia Kipato. kuna siku rafiki yangu...
20 Reactions
69 Replies
7K Views
Natumaini mkopoa Wapenz wa ndizi ,Ndizi mzuzu zikiiva msitupe Leo nimewaletea recipe hii ya kupika ndizi mzuzu zilizoiva za Nazi MAHITAJI Naz Ndiz zilizoiva Iriki iliyosagwa ama nzima...
21 Reactions
136 Replies
4K Views
Hello Leo ilikuwa siku ngumu sana kwangu nikawa nimerudi home nimechoka sijao ni bachela nikawaza chakula usiku uhu nikakosa Nikakumbuka nina ngano na kitimoto nikaona niandae chap nile usiku...
25 Reactions
226 Replies
3K Views
Habari zenu wapishi. Naomba kufahamu jinsi ya kuandaa viungo vya chai ya rangi. Yaani niweke viungo pekee bila majani ya chai iwe tamu na kunukia vizuri.
12 Reactions
110 Replies
35K Views
Wadau hamjamboni nyote? Tafakuri ya kina kwa wenye hekima Fuatilia kwa wataalamu wa tiba utathibitisha Poleni mlioumizwa
10 Reactions
66 Replies
2K Views
Habarini wandugu. Naombeni msaada jinsi ya kupika maandazi ya oven: Asanteni;
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Leo nikaona vyema kuandaa chakula hiki chepesi sana kupika Kwanza nilianza kumenya viazi kama unavyo ona Niliacha vichuje maji vizuri baada ya kuosha then nika menya ndizi na kuweka kwenye...
20 Reactions
80 Replies
2K Views
Wakuu Hivi haya maharage ni ya matajiri?
11 Reactions
41 Replies
1K Views
Habari za wakati huu wana jamiiforums,ndugu yenu nisiwachoshe niende kwenye mada. Swali langu Nauliza,Je Oven inaweza kutumika kupasha chakula? N.B Ninatumia oven ya Ailyons sasa natumia kubake...
2 Reactions
19 Replies
6K Views
Nawasilimu kwa jina la jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Naomba kujuzwa unapotaka kupika nyama yako (mfano; ya ng'ombe au Kuku) ni viungo vipi ukichanganya wakati wa kuchemsha nyama hiyo itaifanya...
8 Reactions
74 Replies
28K Views
Nilikua na hamu ya ndizi nyama hivyo kwa kua nalijua jiko nikapita zangu sokoni nikachukua mazaga kadhaa nikaingia jikoni😆 na nitawaelezea jinsi nilivyopika hatua kwa hatua MAHITAJI; Carry...
41 Reactions
167 Replies
2K Views
Wanaume sio sana, ila kwa utafiti wangu wanawake, Wanafunzi na watoto wadogo wa kike na wa kiume wanapenda chakula hiki kuliko kitu chochote. Tena cha ajabu hata wakipikiwa nyumbani wanasema za...
3 Reactions
5 Replies
291 Views
Eeeh bana eeh, nimetimba tabora leo. kuna sehemu nikapelekwa kula kuku wanapaita PPP kuku watamu hataree. sasa ambae kashawahi kula wale kuku atupie maujuzi ya kuwaandaa. Sijui wanaeka nini na...
2 Reactions
54 Replies
12K Views
Wadau sina uwezo wa kununua maji ya kunywa ya chupa kwa ajili ya familia,maana tupo wengi,hivyo huyachemsha na kuweka kwenye water dispenser,lakini huwa yana uchafu,je nitumie njia ipi ya...
0 Reactions
7 Replies
773 Views
Ni mafuta gani ya kupikia mazuri zaidi kwa afya? CHANZO CHA PICHA,GETTY IMAGES Mafuta ya kupikia ni kiungo cha msingi sana jikoni. Lakini kuna habari nyingi zinazokinzana kuhusu kila aina ya...
1 Reactions
24 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…