Jukwaa la Mapishi

Mijadala mbalimbali ya wanajamii inayohusiana na mapishi
Mapishi ya mboga mchanganyiko Pale unapokuwa na haraka ya kuandaa chakula kwa muda mfupi au umetoka kwenye mihangaiko na umechoka sana ni vizuri kuandaa chakula rahisi na ukafurahia na familia...
2 Reactions
9 Replies
6K Views
Ten foods you didn't know could be frozen: How avocados, coffee and eggs can last for six months (and taste as good as fresh) Avocados, cheese and even leftover coffee and wine can also be frozen...
6 Reactions
17 Replies
5K Views
wapendwa nawasalim sana na hongereni kwa kulipamba jukwaa kwa mapishi mbalimbali. Msaada ninaoomba kwenu ni kwa yeyote anayejua kupamba cake kwa fondant. nimeeanzisha kamradi ka kutengeneza...
1 Reactions
5 Replies
23K Views
Jinsi ya kupika pweza Mahitaji [*=left]70 gram kitunguu swaumu [*=left]150 gram kitunguu maji kata kata [*=left]150 gram karoti kata vipande vidogo [*=left]1 pilipili ya kijani fresh a...
4 Reactions
56 Replies
41K Views
Somo langu la pili Leo ninamna ya kuunda chilli sauce kijana mama baba Dada acha kuzubaaa maisha yako yako mkononi mwako waweza badilisha maisha yako mwenyewe kwa kutumia mikono yako karibu...
3 Reactions
6 Replies
7K Views
JINSI YA KUANDAA NA KUPIKA DENGU ZA NAZI NA VIAZI . Vipimo: 1. Dengu zilopasuliwa 2 vikombe 2. Viazi 3 3. Kitunguu 1 4. Nyanya 1 5. Pilipili mbichi na thomu iliyosagwa 1 kijiko cha chai...
1 Reactions
0 Replies
7K Views
JF salaam! Wadau kama kichwa cha habari kinavyojieleza,naomba mwenye maujuzi ya kupika crisps anisaidie napenda sana hii kitu nahitaji wife awe ananiandalia nyumbani badala ya kununua kila siku...
1 Reactions
24 Replies
40K Views
habari wanajf.mimi ninatatizo la unene .miaka yangu ni 40 na urefu kama fut 5.uzito km kilo 90.nilikwenda kwa doctor akaniambia nipunguze uzito .sasa sijui nile diet ngani ili nipugue ?naomba...
0 Reactions
15 Replies
7K Views
Naomba kujua jinsi ya kupika bagia alafu pia kujua tofauti ya bagia za Tz naza Kenya coz wakenya wanasema bagia kwao ni viazi vimewekwa unga wa rangi vika kaangwa!
1 Reactions
4 Replies
8K Views
Jamani kama hujawahi kufeel utamu wa Yesu ndo huu sasa nakuletea leo! Halelujah!!! Recipe kutoka kwa mapacha wangu Tia Mowry - Wikipedia and Tamera Mowry - Wikipedia na madoido kidogo...
2 Reactions
0 Replies
1K Views
Mahitaji muhimu Nyanya kubwa 2 Vitunguu maji 3 Karoti 3 Pilipili hoho ya kijani 1 Pilipili hoho nyekundu 1 Tango 1 Kotmiri 1/2 fungu (1/2 kicha) au 1/2 bunch Majani ya iliki (parsley) 1/2 fungu...
1 Reactions
25 Replies
28K Views
Wakuu habari za muda huu. Jana kuna mfanyakazi mwenzetu ni mwenyeji wa Bukoba alikuja na senene wamepikwa vizuri sana nadhani hakuwala akawa amempa mwenzetu. Sasa leo nikawa nimeziona nikasema...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Masau al-khair wanaJF. Leo nawakaribisha jikoni kwangu tupike chakula cha jioni. Mahitaji: Cherry tomatoes, tomato paste, red onions, chopped garlic, seasoned salt, black beans, coconut milk...
8 Reactions
36 Replies
4K Views
Hello wana JF chef, Ni mara yangu ya kwanza kupost humu. Ila si mbaya kama tukibadilishana ujuzi na maonjo kidogo kwenye afya na vyakula. Mimi napenda juisi ya matunda yenye tangawizi kidogo pia...
1 Reactions
8 Replies
11K Views
Wapendwa tunawasalimu wote, Mimi na mwenza wangu Evelyn Salt salt tunawakaribisha jikoni kwetu. Leo tutatengeneza 'ranger cookies' sijui kwa kiswahili tutaziitaje...biskuti za ??? Njia...
4 Reactions
20 Replies
4K Views
Nawaachia mapishi haya (nimedesea mahali) kwa weekend hii, hasa wale mabinti zangu, then feed me back. NAMNA YA KUTENGENEZA MAANDAZI MAHITAJI 1. Chukua Amira ya chenga gram 11, 2. Chumvi nusu...
1 Reactions
37 Replies
84K Views
mahitaji Kunde mbichi vikombe vinne Tui la nazi vikombe viwili Vitunguuu maji viwili Vitunguu saumu kijiko kimoja cha chai kilichosagwa Nyanya ya kopo nusu kijiko nusu cha chai Pilipili...
1 Reactions
2 Replies
8K Views
Wana makulati, unapotaka kupika uji wa ngano nzima asubuhu, usipate tabu kutumia mda mwingi kuchemsha ngano zako. Fanya hivi, chmbua vizuri ngano zako, injika maji ya moto yachemke, ingiza ngano...
1 Reactions
2 Replies
4K Views
jamani wadau naomba mnisaidie namna ya kupika kaukau zile zinakuwa na chumvi zinatengenezwa kwa ngano nadhani na pia huwa zinauzwa mtaani
0 Reactions
2 Replies
9K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…