Jukwaa la Mapishi

Mijadala mbalimbali ya wanajamii inayohusiana na mapishi
Habari wanajamvi! Naombeni mnielekeze mapishi ya mihogo ilokauswa (makopa). Nakumbuka nilishawahi kula hiki chakula nikiwa mdogo ni kitamu sana na nitamani nipike tena. Nitashukuru sana kwa...
0 Reactions
9 Replies
6K Views
Wadau wa mapishi. Naomba mnisaidie jinsi ya kuweza kuandaa siagi ya karanga.
1 Reactions
2 Replies
4K Views
Wakuu, Nahitaji kununua hili jiko kwa aliyewahi tumia hili jiko. Tathmini nzima ya uendeshaji. Mafuta yao kwa mwezi ni Lita ngapi yanacost endapo kila siku mnapka Chakula cha wawili. Any side...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
HELOW Jf family..Hi! -Anaejua jinsi ya kupika kisamvu kama wanachopikaga Wapopo mixing samaki nyama na mengineyo,please msaada. -Pia anaejua kupika supu ya kipopo ile ya Mbuzi yenye ngozi...
1 Reactions
22 Replies
8K Views
Wakuu, pork ni miongoni mwa nyama zinazopendwa sana hapa Tanzania, lakini maandalizi yake yanawapa tabu watu wengi na hivyo kupelekea wengi kuifuata katika Bar au sehem zingine wanazochoma...
11 Reactions
55 Replies
49K Views
Habari wakuu. Nataka nifanye ubunifu wa kutengeneza majiko ya plate na kukaangia chips ambayo yanabana matumizi. Lakini kabla ya hayo nataka nijue kati ya Gesi na Mkaa katika matumizi ni ipi...
0 Reactions
44 Replies
18K Views
Najua wengi tunapika na wengi tunajua kupika. Leo nimeona ni vema nikupe tip juu ya Tangawizi na Vitunguu Swaumu, kwani mbali na viungo hivi kuwa na virutubisho muhimu sana katika miili yetu pia...
9 Reactions
11 Replies
11K Views
Mahitaji 1)mchele kg 1 2)vitunguu maji 5 vikubwa 3)vitunguu thomu 2 ukubwa kiasi 4)nyama/kuku 5)tangawizi kiasi 6)chumvi kiasi 7)uzile wa unga 8)mafuta robo kikombe 9)zabibu kavu kiasi Namna ya...
8 Reactions
71 Replies
14K Views
Naomba kuelekezwa namna ya kuandaa kababu za nyama enyi wapishi maridadi
1 Reactions
4 Replies
4K Views
Habari zenu wadau. Natumai mu-wazima kabisa. Well, kama mada inavyojieleza hapo juu naomba msaada wa maandalizi na upishi juu ya hawa kuku kama wa ChickenKing au Marrybrown. Hawa kuku sjui...
0 Reactions
9 Replies
6K Views
Habari wana JF. Naomba kufahamishwa aina mbalimbali ya vyakula navyoweza kupika kwa kutumia samaki wa tuna wa kopo.
1 Reactions
8 Replies
4K Views
Tumia njia hii rahisi na salama kusafisha microwave yako Mahitaji Microwave safe bowl Limau 1 Maji nusu kikombe Kitambaa safi Namna ya kusafisha Weka maji katika bakuli na kamulia limau...
6 Reactions
22 Replies
7K Views
Habari zenu??? Mimi ni mgeni humu, nilikuwa naoma msaada wa anaejua jamani.
1 Reactions
8 Replies
5K Views
Mahitaji 1)sukari (granulated sugar) 1cup 2) mayai 4 3)maziwa kikombe 1 4)mafuta ya kupikia(vegetable,corn au canola) kikombe 1 5)unga wa ngano 2 cups 6)1/3 vanilla ya unga au arki ya vanilla...
14 Reactions
81 Replies
29K Views
Za saa hizi, Hamna ubuge ninaoupenda kama sukari guru,ulaini laini wake kama keki na sukari tu,taaaaamu! Kibaya huku kwetu zinapatikana kwa nadra sana kwa msimu. Napenda kuzipika mwenyewe kila...
0 Reactions
21 Replies
22K Views
Ningependa kujuzwa jinsi ya kupika chillie sauce.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamani wandugu anayejua kutengeneza Ice Cream zikawa kama hizi za Azam aniambiee. Napenda sana ice cream. Napenda kujua zinavyotengenezwa.
0 Reactions
2 Replies
9K Views
Msaaada wana JF. Mimi ni mpishi mzuri tu wa cake. Sasa next week nina birthday ya binamu yangu. Nilitaka nimpikie cake mwenyewe bt niipeleke sehemu ikapambwe (kuchorwa). Kwa wanaojua ni...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nikiwa mjini Tanga STIMA ni chakula maarufu sana mjini hapo, ni tamu sana na watu wengi hulisifia sana, unapata STIMA ya kuku, mbuzi au ng'ombe. Sasa mimi natamani sana kujua namna ta kulipika...
0 Reactions
32 Replies
8K Views
Natamani kujua kutengeneza kwa ajili ya kuwauzia wanafunzi
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Back
Top Bottom