Jukwaa la Mapishi

Mijadala mbalimbali ya wanajamii inayohusiana na mapishi
Mama Mkwe wangu farkhina karibu namchumba wangu uje nae tupate kula vyakula tena hivyo karibuni wote. kaka BAK, mkuu kabanga mkuu TUKUTUKU bibie King'asti Mwalimu wangu gfsonwin rafiki kipenzi...
10 Reactions
34 Replies
11K Views
Mahitaji 1)Embe bichi kubwa 1 au ndogo ndogo 4 2)Chumvi 2 tablespoon 3)Pilipili ya unga 1 tablespoon 4)Mdalasini wa kijit- 1 kijiti 5)Karafuu 1 (sio lazma) 6)1/2 Kijiko cha chai cha uwatu...
14 Reactions
76 Replies
23K Views
Mahitaji: Mayai 8 250g sukari 300g lozi zilizosagwa tumia blender kusaga na machine ya kusagia viungo Kijiko kimoja cha chai cha mdalasini ulosagwa Vanila kijiko kimoja cha chai Maganda ya...
3 Reactions
11 Replies
11K Views
Mahitaji: Samaki 2 (Tunatumia samaki wabichi) Vitunguu maji Vitunguu saumu Nyanya Mafuta Ndimu Chumvi Carrots Tangawizi Pilipili hoho Maelekezo: Andaa vitunguu saumu, tangawizi...
2 Reactions
5 Replies
9K Views
Wachache sana wanajua namna ya kupika maini yaive vizuri, yawe matamu ndani ya muda mfupi. Fuata recipe hii then utaenjoy Mahitaji: 1. Maini 1/2kg 2. Kitunguu kikubwa sana kimoja 3. Karoti kubwa...
4 Reactions
29 Replies
32K Views
Mahitaji: Mchele ambao tayari umeshatolewa uchafu. Maji masafi ya baridi. Process; Chukua mchele wako uliochambuliwa weka kwenye chombo chako chenye maji masafi, maji yanatakiwa yazidi kidogo...
3 Reactions
7 Replies
6K Views
Vipi kuhusu hili chafya za mpishi huongeza vitamini kwenye makuri /msosi?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habarini wapendwa.Naomba mnisaidie vile ninaweza kuhifadhi vegetables kwenye friji zikae muda mrefu bila kuharibika wala kusinyaa. Vitu kama hoho,carrots,zuchinni,nyanya huwa natumiwa sasa...
0 Reactions
5 Replies
6K Views
Mahitaji kwa ajili ya kuku.... Kuku 1. Limau. Curry powder 1/2 teaspoon Paprika 1/2 teaspoon Tandoor masala 1/2 teaspoon Tangawizi 1/2 teaspoon Bizari ya pilai 1/2 teaspoon...
14 Reactions
68 Replies
13K Views
Mahitaji Nyama nusu Chumvi kiasi Mafuta 1 Kikombe Vitunguu maji 3 vikubwa Nyanya 3 kubwa Nyanya kopo Thomu 1 table spoon Tangawazi 1 table spoon Pilipili mbichi iliyosagwa 1 tea spoon...
9 Reactions
76 Replies
29K Views
Nisaidieni vipimo vya kupika mkate wa kawaida mweupe
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari wana jf, Kama mnavyojua kesho sikukuu nataka nipike pilau. Nimenunua viungo ila sivijui vizuri. Pia naomba kujua kama pilau masala ya Zanzibar ni nzuri kwa pilau.
0 Reactions
3 Replies
18K Views
Mahitaji: 1.Mchele nusu kilo. 2.Kuku 1 kata vipande vipande...mroweke na tangawizi na chumvi. 3.Carrot 1 ikwangue. 4.Green peas/njegere kiasi. 5.Kitunguu kikubwa kimoja. 6.Mchanganyiko wa...
16 Reactions
99 Replies
16K Views
Habarini wanajukwaa, Nahitaji biriani iliyoandaliwa vizuri maeneo ya temeke mwenye kujua tafadhari anijuze.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Jamani kama kawaida feedback ni muhimu. Nilisoma uzi juu ya maandazi ya hiriki humu basi leo nikaamua kufanya experiment. Nikanunua kila kitu huku hiriki kachupa bei mbaya sana.Hivi bongo kama...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Mahitaji: Viazi mviringo nusu kilo- vichemshe na maji mengi yenye chumvi bila kuvimenya Maharage machanga nusu kilo- yachemshe na maji mengi pia yenye chumvi Mwaga maji ya...
0 Reactions
1 Replies
8K Views
Mahitaji: 1,Mchicha (Kiasi kinachokutosha). 2.Kitunguu maji. 3.Nazi ( tui zito/ ya pakiti). 4.Curry powder. 5.Pilipili (ukipenda). 6.Mafuta ya kupikia kiasi. chumvi Jinsi ya kuandaa...
11 Reactions
29 Replies
27K Views
A salaam Aleykhum wanaJF wote. Please, kwa mlioko katika jiji tajwa, ni mitaa gani, hotels or so tunapata chakula ya Kitanzania Original? Natanguliza shukrani za dhati kwenu wote. :wave: Kamarada.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Jamani anaejua kutengeneza mkate wa mofa msaada tafadhali.
0 Reactions
6 Replies
8K Views
Habari zenu wana jamvi,napenda tukumbushane kidogo juu ya usafi katika hili suala la mapishi. usafi huu ni wa pande 3. 1.Usafi wa mpishi. 2.Usafi wa pishi/mapishi yenyewe. 3.Usafi wa mazingira...
5 Reactions
8 Replies
4K Views
Back
Top Bottom