Jukwaa la Mapishi

Mijadala mbalimbali ya wanajamii inayohusiana na mapishi
Moja kati ya mambo ninayopenda katika kupika ni ile raha na furaha ninayopata pale ninapotengeneza recipe mpya ya chakula na ikapendwa na wale waliokula chakula hicho. Pancakes si chapati maji...
2 Reactions
1 Replies
2K Views
Hello wanajamvi, google search imeshindwa kunipa jibu ya hii kitu. Nimeanda supermarket leo nimekutana juice ya chungwa ambayo zingine zimeandikwa ''WITH JUICY BITS'' na zingine zimeandikwa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mimi nimeona picha nikajaribu, ni nzuri sana! Umua unga kama wa mabanzi na uache uumuke kwa nusu saa. Kwenye sufuria safi chemsha samaki(nguru/jodari au yyt mwenye steki) mchapuze vile upendavyo...
4 Reactions
11 Replies
2K Views
muhali gani humu ndani.tafadhali naomba msaada wa kujuzwa namna ya kupika trupa ya kuku na ndizi mshale.natanguliza shukrani
0 Reactions
0 Replies
6K Views
habari, je mbaazi zaeza pikwa bila nazi? pliz naomba kujua namna nyengine ya kuzipika
0 Reactions
9 Replies
10K Views
Salaams. Nahitaji kuchinga bata wangu walau leo nami nijinafasi lakin sijui namna gani ya kumuandaa ili asiwe na shombo. Msaada pls.
0 Reactions
16 Replies
8K Views
Habari wa jfchef, naomba msaada kwa mwenye utaalamu wowote wa kukoroga uji wa lishe bila kuungua, maans kila nigorogapo lazima niunguze Asanteni
2 Reactions
4 Replies
3K Views
Naombeni recipe ya chapati nzuri na tamu za kukanda. Nataka huu uwe mlo wa leo nyumbani kwangu. Pia ningefurah zaidi kama ukinipatia na mboga gani niitumie kwenye huo mlo. Binafsi nilipanga...
1 Reactions
8 Replies
4K Views
Huko mjini mnaita popukoni, ni kazi rahisi sana. Chambua mahindi yako kutoa visivyohitajika hasa pumba ambazo zikiungua huweka weusi kwenye sufuria. baada ya hapo weka sufuria motoni na weka...
1 Reactions
18 Replies
3K Views
Watuamiaji wa soseji tuambiane,soseji ukinunua unakula hivo hivo?unaipasha kwenye mafuta?niambieni ukinunua soseji hatua gani zinafuata za upishi au kula hivo hivo? c.c mkwe farkhina
1 Reactions
24 Replies
17K Views
Mahitaji Mchele nusu kilo Karot 1 kubwa (ipare vizuri) Nyanya 3 kubwa Vitunguu maji viwili (ukubwa kiasi) Bizari ya pilau, curry powder, binzari ya njano na mdalasini 1/2...
8 Reactions
49 Replies
13K Views
Kuna sehemu nililiona ili pishi nikajaribu kulipika aisee ni tamu asikwambie mtu, hii ni kwa wale wenzangu na mimi wanaopenda kujaribu jaribu mapishiii. MAHITAJI 1...
7 Reactions
40 Replies
28K Views
Mahitaji Ute wa Mayai 6 Sukari 4 dl Unga wa maizena(corn flour)vijiko viwili vya chai Siki vijiko viwili vya chai Vanilla(harufu) kijiko kimoja cha chai Dobble cream boksi moja Matunda ya aina...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
LEMON ice-cream viungo 2 spoon lemon peel kubwa 1 x kikombe (240 ml) nzima maziwa 1 x kikombe (gramu 140) kuchapwa cream ½ x kikombe (gramu 140) sukari ½ x kikombe (240 ml) maji ya limau...
4 Reactions
4 Replies
5K Views
Mahitaji Kuku wa kienyeji 1 Nyanya mbili zilizomenywa na kukatwakatwa Kitunguu maji kikubwa kimoja kilichomenywa na kukatwa Nyanya ya kibati vijiko viwili vya supu Kitunguu swaumu kijiko...
11 Reactions
52 Replies
11K Views
Mahitaji 1)Kuku 2)kitunguu maji 1 3)kitunguu saumu 1 teaspoon 4)tangawizi 1 teaspoon 5)pilipili manga 1 teaspoon 6)pilipili mboga 1 7)baking powder 1 teaspoon 8)mafuta ya kupikia 9)chumvi kiasi...
11 Reactions
55 Replies
15K Views
Viburudisho vya mdomo! Vitangulizio " Matango na cheese nyeupe" Maandalizi yake ni madogo(machache) 1 tango moja/mbili ; waikata slices kwa urefu vipande vya mkate mweupe Mayonase vijiko 2/3...
4 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari, Jamani mwenzenu naomba kujuzwa nifanyeje ili ninapo pika mchuzi uwe mzito, na kuwa wa rangi iliyokooza, inakaribia black. msaada please Unataka uzito wa kiasi gani? Anyway weka karai...
0 Reactions
36 Replies
10K Views
Good Cooking Oils: How To Choose One...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Wakuu ambaye anajua namna ya kutengeneza cheulo ningependa anisaidie kwa hilo.
0 Reactions
15 Replies
17K Views
Back
Top Bottom