Jukwaa la Mapishi

Mijadala mbalimbali ya wanajamii inayohusiana na mapishi
Habari Zenu. Mwenye ujuzi wa hicho chakula. Tafadhwali. Siku njemaaa. How to Cook a Chicken Curry in Ten Minutes Ingredients 3 tablespoons (45 mL) of olive oil an onion (medium) 14 oz (400...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Wadau, Ni muhimu unapoandaa maji ya kunywa kuzingatia usafi katika zoezi hilo. Usafi wa mazingira, chombo utakachochemshia na chombo utakacho hifadhia. 1. Hakikisha jiko unalochemshia lina...
3 Reactions
8 Replies
8K Views
Leo tumetumiwa mahitaji ya kutengeneza Chatini ya karoti, nazi na vitunguu. Hatukuelezewa hatua za kuipika hii chatini mpaka itokee kama picha ilivyotumwa, naamini mdau alikutana nayo sehemu...
4 Reactions
16 Replies
7K Views
Wapendwa za wk end? I hope all is well. Mahitaji Maziwa ya unga (vijiko 6 vya chai) Unga (vijiko 4 vya chakula) Mayai 4 Mafuta Robo kikombe Sukari kikombe kimoja (unaweza kupunguza kidogo km...
6 Reactions
38 Replies
11K Views
Mahitaji ya shira(syrup) 1)Sukari kikombe 1 2)maji kikombe kasoro 3)hiliki kiasi 4)zafarani (saffron) au arki ya rose... Mahitaji ya mkate 1)Unga wa ngano vikombe 3.5 2)mayai 2 3)maziwa ya unga...
8 Reactions
48 Replies
6K Views
Pilipili mboga Uzale/uzile kama sikosei Curry powder Nyanya ya kibati Uwatu Paprika Brocolli NB: nitaendelea kutuma majina mengine yanayonipa shida
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wakuu samahani kwa anajua atujuze maana mf ukipita kwenye migahawa ya wahindi utakuta wana chachandu ya nazi nafikiri huwa wanachanganya na ndim na pilipili lakin mie nimejaribu sipati same taste...
0 Reactions
7 Replies
18K Views
Katika makala iliyopita Nilifundisha namna ya kupoa asidi iletayo kiungulia kwenye maharage,na tuliona kwamba huwezi kutoa asidi(phytic)yote kwenye maharage ila unaweza kuipunguza kwa kiasi...
7 Reactions
19 Replies
7K Views
Mahitaji Viazi ulaya 4 vya wastani Hoho jekundu 1/2 Hoho la njano 1/2 Hoho la kiajani 1/2 Njegere 1 kikombe cha chai Carrot 1 kubwa Broccoli kidogo Cauliflower kidogo Kitunguu 1 Nyanya 1/2 kopo...
1 Reactions
7 Replies
3K Views
Habari? Natumai mu wazima, kwa heshima na taadhima naomba kujuzwa namna ya kuandaa Uji Wa mchele! cc farkhina mpishi maridadi
1 Reactions
26 Replies
20K Views
Jamani hii mboga ni nzuri kwa ladha na nzuri kwa afya kwasababu ina nutrients zote za muhimu. Mahitaji Nyama ya ngombe 1/2 kilo Vitunguu maji viwili Nyanya nne Pilipili hoho nusu Kabichi 1...
6 Reactions
44 Replies
28K Views
Mitahitaji Kuku....kata vipande vipande Celery Brocolli Carrot Kitunguu maji Nyanya.... Curry powder Ndimu Chumvi Garlic Tangawizi Bizari ya pilau Tandoor masala (au masala...
13 Reactions
66 Replies
11K Views
Leo hebu kila mtu a share unachanganyaje matunda? au wala moja moja Mie leo nimechanganya strawberries,papai,zabibu na apple vyote ratio sawa then naweka yogurt juu nakula
13 Reactions
67 Replies
10K Views
Napenda sana kupika chapati lkn haziwi laini nifanyeje ziwe laini??
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Omlette Huu unakuwa mchanganyiko wa mayai,chumvi,pilipili manga,na mboga mboga ukipendelea kama kitunguu maji, pilipili hoho, nyanya n.k Kaanga kitunguu na mafuta vijiko viwili vya supu kwanza...
21 Reactions
79 Replies
56K Views
Naomba kujuzwa maandalizi ya egg chops
1 Reactions
116 Replies
31K Views
Pishi hili ni maalum kabisa kwa wale ambao ni wageni jikoni au hawajui kupika.Niliomba nipewe pishi la futari ambalo hata asiejua kupika anaweza jaribu na akapatia,nikapewa pishi hili. Mahitaji...
1 Reactions
5 Replies
7K Views
Mayai 6 Maziwa sona kikopo 1 custard kijiko 1 maziwa ya unga vijiko 5 maziwa ya maji vikombe 2 na nusu vanila kijiko 1 mimina vyote kwenye blender saga. Kwenye sufuria safi ndogo kiasi unguza...
7 Reactions
19 Replies
6K Views
Natamani kufahamu hivi ni spice ipi hasa inayoifanya pilau iwe pilau...
0 Reactions
22 Replies
13K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…