Jukwaa la Mapishi

Mijadala mbalimbali ya wanajamii inayohusiana na mapishi
Taasisi ya kimataifa ya uwiano wa uzito na lishe ya Slimming World yenye makao yake makuu nchini Uingereza, imefanya uchunguzi kuhusu watu wanaokunywa pombe na kubaini kuwa inawaongezea kasi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mahitaji Unga nusu kilo Plain yogurt 4 tablespoon Sugar 1 teaspoon Chumvi 1/2 teaspoon Hamira 1 teaspoon Baking powder 1/2 teaspoon Warm water/warm milk Siagi kwa ajili ya...
11 Reactions
51 Replies
9K Views
Mahitaji Unga wa dengu 1 cup Kitunguu maji 1/4...kata ndongo ndogo Pilipili kijiko 1 cha chai.. Hamira 1 tea spoon.au baking powder Pilipili mboga 1/4...kata ndogo ndogo Chumvi kiasi Curry powder...
13 Reactions
59 Replies
16K Views
Wanajamvini nimekubali jamiiforum ni home of great thinkers.baada kupata hofu kali juu ya dengue na kuchoka kufungua mageti kwa mchina sasa nimefikiria kuanza kupika na kuuza maandazi na skonsi...
1 Reactions
5 Replies
5K Views
Nina oven ya mkaa kama ile ya TATEDO ninataka kuitumia kibiashara kupikia skonzi, Je ni nani anaweza kunisaidia recipe (jinsi ya kupika) hizo skonzi?
2 Reactions
4 Replies
40K Views
Mi napenda sana! 1.Ndizi nyama 2.Ugali na nyama choma.
0 Reactions
65 Replies
7K Views
Naombe mnielekeze jinsi ya kumtengeneza pls kukaanga au kulost au aina yoyote.mate yanatoka
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Wapishi wenzangu za Jumapili? Just to share with u this, nimekuwa nikiitumia kujifunza mapishi mapya, kama ilishawahi kuwekwa hapa jikon basi si vibaya tukajikumbusha: pitia hapa ujifunze pishi...
1 Reactions
2 Replies
4K Views
Mahitaji 1)Mchele vikombe 4 2)Nyama yenye mifupa 1 kg 3)Karoti kubwa 3...kata nyemba na refu 4)Uzile (bizari ya pilau) 1 teaspoon 5)Hiliki 1 teaspoon 6)Tangawizi 1 teaspoon 7)Kitunguu saumu 1...
11 Reactions
67 Replies
7K Views
Mahitaji Nyama ya kusaga nusu Kitunguu maji 1 Kitunguu saumu 2 teaspoon Tangawizi 1 teaspoon Kotmir (giligilani) 1 teaspoon Bizar ya pilau 1/2 teaspoon Mdalasini 1/2 teaspoon Bread...
4 Reactions
45 Replies
6K Views
Hello! Naomba anisaidie mdau mtaalamu wa upambaji wa cake,nina iceing sugar natakiwa niichanganye na nini na nini ili niweze kuichora juu ya cake yangu kwa maana ya kuipamba.Plz help me!
1 Reactions
8 Replies
45K Views
Wadau wa hii forum tumekuwa wachoyo na wabinafsi kwa kujifikiria sisi wenyewe watu wazima na kusahau kabisa wana wetu ambao ni taifa na nguvu kazi ya kesho wengi wetu tuna watoto ambao tunawaacha...
4 Reactions
32 Replies
7K Views
0 Reactions
26 Replies
3K Views
nataka kujua jinsi ya kupika halfcke unga kg 1 baking powder ni kiasi gani?
0 Reactions
16 Replies
53K Views
naomba msaada juu ya kumuandaa kuku na viungo gani vya kumuweka, nataka kumkaanga. ahsante
0 Reactions
10 Replies
7K Views
Chipsi ni chakula kinachopendwa na watu wa rika zote.Ni moja ya vyakula maarufu sana Duniani. Chipsi hupikwa na kuliwa katika namna mbambali,kwa kawaida huliwa na vyakula vyenye asili ya protini...
4 Reactions
5 Replies
15K Views
Supu/mchuzi wa Kichwa cha Sangara Moja kati ya mambo ninayomiss sana kuhusu my home town MWANZA A.K.A. THE ROCK CITY ni Samaki.Samaki wanaopatikana ziwa Victoria wana sifa kubwa sana kitaifa...
1 Reactions
23 Replies
13K Views
MAHITAJI VIAZI VITAMU NYAMA YA NG'OMBE/KUKU /SAMAKI(Chagua kimoja kwa mlo unaweza kubadili kwa mlo mwingine) NJEGERE KAROTI VITUNGUU VIKUBWA VIWILI TANGAWIZI kiasi BLUE BAND vijiko viwili vikubwa...
2 Reactions
11 Replies
3K Views
Unachotakiwa kufanya ni kuleta msosi wa wiki nzima wa familia ambao hauna ugali wala wali wala ngano... Sababu ni kuwa licha ya kuwa kuna vyakula vya kila aina watanzania wengi huwa tunakula...
16 Reactions
120 Replies
21K Views
Nilishawahi kula nyama za kukaanga eneo fulani hivi, kwakweli nilivutiwa nazo sana! leo nipo home kinda bored nikakumbuka hizo nyama, mwenye ueledi wa jinsi ya kutengeneza hizo nyama za kukaanga...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…