Jukwaa la Mapishi

Mijadala mbalimbali ya wanajamii inayohusiana na mapishi
Mahitaji Mchele kg 1 Kuku Mayai 3-4 yaliyochemshwa Nyanya 3 kubwa Kitunguu thomu 1teaspoon Tangawizi 1teaspoon Chumvi kiasi Bizari ya pilau 1teaspoon Mdalasini wa unga 1teaspoon Pilipili mboga 1...
3 Reactions
17 Replies
9K Views
Mahitaji Nyama ya kusaga kg 1/2 Karot 1 kubwa kata ndogo ndogo Pilipili mboga 1 kubwa kata ndogo ndogo Thomu Tangawizi Bizari ya pilau Ndimu Chumvi kiasi Pilipili manga Namna ya kutaarisha...
5 Reactions
25 Replies
8K Views
BLUE BAND ROBO VIINI VYA MAYAI VITATU BAKIN POWDER VIJIKO 2, ROBO SUKARI UNGA UTAKISIA VANILA AU JUICE YA MACHUNGWA NAMNA YAKUFANYA Utachukua siag yako utachanganya na sukari...
1 Reactions
11 Replies
4K Views
VIPIMO Mchele 3 vikombe Nyama ya kusaga 1 LB Mchanganyiko wa Nafaka (upendavyo) 1 kikopo (maharagwe, njegere, mbaazi, na kadhalika) Vitunguu maji kata vipande vipande 3 vya kiasi Thomu na...
2 Reactions
25 Replies
4K Views
Kidari cha kuku 1 kilo Thomu, tangawizi iliyosagwa 1 kijiko cha supu Kitunguu kilichokatwa vipande vidogo 1 Pilipili mbichi 1 Pilipili manga 1 kijiko cha chai Bizari upendayo 1 kijiko cha...
3 Reactions
10 Replies
4K Views
Nyama 1 LB (isiyo na mifupa katakata vipande vidogo vidogo). Thomu na Tangawizi iliyosagwa 1 kijiko cha supu Pilipili manga ya unga 1 kijiko cha chai Sosi ya Soya (soy sauce) 2 vijiko vya supu...
3 Reactions
19 Replies
6K Views
Wakuu Kwa faida ya jukwaa hili la mapishi naomba mwenye info za catering services nzuri au chef kwa ajili ya shughuli mbalimbali hii inaweza kuwa data page ya catering services ...
1 Reactions
8 Replies
10K Views
Eggplant Pizza Tomato Sauce All you need: 1 tomato 2 garlic pieces (1/4 to 1/2 clove to taste) pinch of thyme olive oil 1-2 teaspoons salt and sugar to taste (not more than 1 teaspoon, start...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Wapendwa ndugu zangu naomba mnijuze ni vitu gani vya muhimu katika kuandaa uji wa ulezi na hatua zake ikibidi
0 Reactions
2 Replies
18K Views
Msaada...sugarpaste/fondant ndo mpango mzima kwa ajili ya kucover cake...sasa ntapata wapi readymade sugar paste....km hakuna basi walau ingredients zake ili nitengeneze mwenyewe....nazo...
0 Reactions
9 Replies
5K Views
15 Most Popular Ice Cream Flavors: The Winner May Surprise You!Diet and Nutrition News & Advice By: Angela Ayles on Tuesday, April 2nd, 2013 @ 8:55 am As we all...
3 Reactions
12 Replies
3K Views
Hodiiii
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hii kitu ni tamu sana, Arusha na Moshi ni wataalam mno wa kutengeneza hii kitu lakini kwa Dar huwa ni ngumu kupata mtura, je kuna mwenye ufahamu wa hili?
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Fish is among the healthiest foods you can eat. It's filled with good fats and protein, and has been shown to fight heart disease, boost brain health, and more. Here's the catch: You can easily...
5 Reactions
19 Replies
9K Views
hallo Anahitajika mpishi na mpambaji wa keki na cookies, mwenye uzoefu thanks kijana
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari zenu wana jukwaa mm nimgeni humu kwenye group lenu la mapish nataka muungane na mm shirika kwani napenda sana mapish na nimesoma nimeyapenda mapish yenu ahsanteni
0 Reactions
0 Replies
920 Views
Habari wadau. Ni wapi nitapata mtaalam anitengenezee keki nzuri kwa ajili ya birthday? Nataka niwe nimeipata Jumapili.
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Wakuu kunawakati katika zunguka zunguka za kazi nilipata kukaa Kagera kwa miezi kadhaa, nilitokea kupenda sana zile ndizi zao wanaita MATOKE Naomba kama kuna mtaalamu anielekeze namna ya kupika...
0 Reactions
0 Replies
5K Views
Habari wadau, jioni hii nmeletewa nyama ya kusaga yafika kilo na nusu, ukweli hii ni nyingi sana kwa kupikia katless tu za watu watano hapa nyumbani, tusaidiane vitu vyengine ambavyo ntaweza...
0 Reactions
12 Replies
8K Views
Napenda kwenda jamaa fast food kunywa, lakini Siku nyingine huwa hawafanyi, nikaenda kisutu kuyanununua, nikaya blend kufanya juice lakini test yake imekua ina uchachu uchachu, hivi inafanywa...
9 Reactions
16 Replies
21K Views
Back
Top Bottom