Jukwaa la Mapishi

Mijadala mbalimbali ya wanajamii inayohusiana na mapishi
Jamani mnisaidie kunielekeza ingawa najua ni kupika pilau ni process ndefu. Jinsi ya kuchanganyia viungo(spices) na ni viungo gani mhimu. Thanks!
0 Reactions
24 Replies
48K Views
SIJAWAHI kabisa kula nyama ya kondoo sasa nimeletewa na mimi ndo mpishi yamani msaada please. Jinsi ya kupika hii nyama Jinsi ya kui seasone Spices gani natakiwa nitumie nisije kuharibu mmh na...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Heshima zenu wakuu. Natumia gas cooker yenye oven kwa chini. Ishu ni kwamba sijawahi jua pa kuwashia hii oven. Msaada please. NB. Ni four plates, gas only. Manufacturer: westpoint.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Namna ya kuandaa papai kama mboga. 1. Chagua papai ambalo ni bichi na wala halijaanza kuiva (itakuwa vizuri kama utachagua papai changa) 2. Viungo vingine unavyotakiwa kutumia ni vile muhimu kama...
0 Reactions
4 Replies
7K Views
Jamani matunda aina ya mapera yanapatikana wapi hapa DSM?
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Jamani matunda aina ya mapera yanapatikana wapi hapa DSM?
0 Reactions
2 Replies
2K Views
kasato na kachips kdogooo...usiku umepita
0 Reactions
2 Replies
2K Views
1 Reactions
10 Replies
3K Views
Halwa - Halua | Alhidaaya.com bofya hapo kwa maelekezo zaidi.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nimeikuta sehemu nikasema niwadokeze wadau wa JF na nyie mumfaidi bata jamani Unataka kula kitu tofauti?katika hali ya kawaida tumezowea kula nyama ya kuku lakini vipi nyama...
1 Reactions
16 Replies
17K Views
Naomba msaada Wana JF wa kufahamu jinsi zinavyotengenezwa BAGIA za Dengu na Kunde.
0 Reactions
3 Replies
5K Views
Habari zenu wa jf...nilikuwa naomba msaada wa jinsi ya kutengeneza Catlesi (katlesi sijui spelling zake miye hivyo hivyo juu kwa juu).....kama kuna mtu anajua please naomba anipe recipe zake how...
0 Reactions
34 Replies
17K Views
Njegere Ni chakula cha kawaida kabisa kwa watanzania wengi.Njegere huweza tumika kama sehem ya kifungua kinywa,kiungo cha supu ,kiungo cha saladi na hata kama sehem ya mlo mkuu . Kuna Namna...
1 Reactions
1 Replies
5K Views
The process of making hard liquor involves the distillation of grains, most commonly, as well as fruits and vegetables that have been fermented. Wine and beer are also made from fermented...
0 Reactions
30 Replies
15K Views
UNAKUMBUKA ENZI ZA PIPI TOFFIIIII?? KAA TAYARI KWA RECIPE SAFI KABISA YA KEKI YENYE MCHANGANYIKO WA KARANGA SUKARI YA KAHAWIA NA KAHAWA YA UNGA WEEKEND HII NI TAMU RAHISI NA NI NAFUU KUANDAA...
0 Reactions
3 Replies
8K Views
Moja ya namna nzuri sana ya kula kiporo ni kukibadilisha kua chakula kipya kwa kukipa ladha au kionjo kipya kitakacholeta utofauti na Chakula ulichokula jana au juzi . Jumapili iliyopita...
2 Reactions
3 Replies
5K Views
TAMBI ZA SUKARI NA MAZIWA Tambi au pasta ni moja ya vyakula ninavyovipenda sana.Ni rahisi kuandaa na kuna namna nyingi sana ya kuziandaa na kuzipika. Kutokana na uandaaji au upishi tambi...
1 Reactions
1 Replies
3K Views
Wanaukumbuki, Kama heading inavyojieleza naitaji kujua hii kitu jinsi ya kutengeneza.
0 Reactions
0 Replies
6K Views
Naombeni mapishi ya kababu nina ham nazo sana nimechoka kununua za watu nataka kujifunza mwenyewe
0 Reactions
11 Replies
8K Views
Wanaukumbi, Naombeni maelekezo jinsi ya kupikaa Mandi ya Mbuzi na Kuku.
0 Reactions
6 Replies
6K Views
Back
Top Bottom