Jukwaa la Mapishi

Mijadala mbalimbali ya wanajamii inayohusiana na mapishi
Jifunze au ongezea ujuzi wa pishi la chapati ,wadau pishi hilo nimelikuta hukooooo kwenye blog ya Mange nikaona nililete hapa kwenu mnaweza pata chochote. Kuna njia tofauti za kukanda chapati...
4 Reactions
17 Replies
6K Views
Naomba kupata muongozo wa jinsi ya kupika vibagia..
0 Reactions
9 Replies
5K Views
Insects are regularly eaten by as much as 80% of the worlds population, but even the very thought of it seems shocking to most people in the UK. But as the global population continues to grow...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Biriani Ya Kuku Wa Kuchoma Wa Tanduri Vipimo Mchele.................. 4 vikombe Kuku.................. 1 Vitunguu.................. 3 Nyanya/tungule.................. 4 Zabibu...
11 Reactions
19 Replies
8K Views
Carrot juice is the richest source of vitamin A. The body can easily assimilate this type of vitamin A. Carrot juice not only has a rich source of vitamin A, but this juice has a good supply of...
4 Reactions
12 Replies
3K Views
Kwa wale wapenzi,ndugu jamaa na marafiki mnaopenda kupata supu ya kichwa cha mbuzi habari hii inawahusu! Jana nilipita baa moja nikakuta vichwa vya mbuzi vinaandaliwa kwa ajili ya supu,walikuwa...
0 Reactions
46 Replies
11K Views
naomba kujuzwa namna ya kupika mtori. cc:@gfsonwin Preta
0 Reactions
9 Replies
27K Views
To prevent egg shells from cracking, add a pinch of salt to the water before hard-boiling. To get the most juice out of fresh lemons, bring them to room temperature & roll them under your palm...
9 Reactions
28 Replies
6K Views
Waungwana naomba msaada mnielekeze jinsi ya kupika firigisi ziwe laini,maana nimejaribu zinakuwa ngumu kweli.
0 Reactions
7 Replies
7K Views
SALAD YA KUKU (CHICKEN SALAD) Leo nina waletea salad ya kuku. Kama unavyoona pichani nina vitu vifuatavyo 1.chicken breast(nyama ile ya eneo la kifuani la kuku) 2.maharage machanga...
3 Reactions
21 Replies
6K Views
Ndugu zangu naomba mnisaidie jinsi ya kuandaa/kutengeneza milk shake,.naishia kunywa tu mahotelini, naipenda ila kuiandaa ndo sijui.Ahsanteni
0 Reactions
22 Replies
35K Views
Salam kwenu jf chef, dagaa wachumv au wanaitwa dagaa wa zanzibar huku maeneo ya kwetu. Namna ya kuwapika tusaidiane mawazo
0 Reactions
3 Replies
4K Views
wakuu naomba masaada wenu!!yaani jiko langu (la umeme) limechafuka kutokana na mchuzi, unga, na lojolojo zingine zinazo mwagikia wakati wa kupika,nimejaribu kuzisugua na stili waya lakini...
0 Reactions
19 Replies
5K Views
Nahitaji mtaalam kunifundish kutengeneza crisps za ndizi mzuzu. Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
0 Reactions
0 Replies
7K Views
Kwa watu wa Dar, kuna lile eneo kubwa opposite na San Cirro, ambapo kuna groceries nyingi na parking za magari. Pale ndani kuna kina kitimoto matata sana, lakini kinachonivutia mimi ni ile...
1 Reactions
17 Replies
12K Views
Kuja jamaa mmoja anaitwa Dulla.... Jamaa ni chef mzuri sana... Tulishawahi kukutana mikochen kwenye kimgahawa furan maeneo ya kwa Walioba miaka ya 2009 kama ckosei. Kaka kama upo humu ndani...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari wadau! Mwenzenu nina tatizo moja,kila ninapopika! Nifanye nfanyavyo mafuta au chumvi kitazidi.Naombeni ushauri ili nipunguze tatizo hili katika zama hizi za lifestyle diseases.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Hivi utapikaje maini yasiwe magumu? Anaefahamu tafadhali anijuze.
0 Reactions
6 Replies
3K Views
ndugu zangu napenda sana bajia ila cjui kuzipika tafadhali mwenye ujuzi nazo
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Wapendwa, si vibaya kushirikishana mambo ya maanjumati kutokana na uzoefu. leo nimeamua kuwasaidia mabachela ili waache kula vyakulahafifu kwenye mama ntilie wajitengenezee misosi home haraka...
9 Reactions
9 Replies
10K Views
Back
Top Bottom