Jukwaa la Mapishi

Mijadala mbalimbali ya wanajamii inayohusiana na mapishi
Habari zenu wapenda wa hili Jukwaa. Naombeni mwenye kujua mapishi mbalimbali ya maboga anisaidie mie najua kuchemsha tu na maji kidogo pamoja na kutia chumvi kidogo. Naomba mwenye kujua. p'se
1 Reactions
17 Replies
26K Views
Wanajamii habari za asbh, naombeni maelekezo jinsi ya kupika maandazi yawe mazuri kwa ajili ya familia wajameni. Asanteni
0 Reactions
17 Replies
92K Views
Jaman mwenye kujua namna ya kupika macaron ya nyama ya kusaga..ama sphaghett anisaidie..maana napenda sana huu msosi ila cjawah kuupikaa....
0 Reactions
5 Replies
16K Views
Najua leo ni Valentines day, watu mmejiandaa na wapendwa wenu kutoka mara baada ya kazi ili mkabadilishane mawili-matatu,. sasa basi si vyema ukaenda outing yako ukiwa tumbo wazi, ni vyema ukaweka...
2 Reactions
3 Replies
6K Views
NGOJA NIWAPE HILI...NILIPIKA JPILI. msinilaumu mimi napenda kuku bana .. so leo nitawafunza jinsi ya kuitengeza. ni rahisi sana na auhitaji kuwa mpishi mtaalam wa kupika na ni poa sana...
6 Reactions
41 Replies
14K Views
Wasalamu wote. Naombeni msaada kwa anajejua hatua kwa hatua jinsi ya kutengeneza nyama za soya pamoja na maziwa ya soya ili nipunguze kula nyama za wanyama na kunywa maziwa yatokanayo na wanyama...
0 Reactions
6 Replies
10K Views
Msaada jaman...naomba kuelekezwa namna ya kuandaa mapishi ya mtori..
0 Reactions
13 Replies
14K Views
Habari zenu wanaJF Chef naomba kwa wale wanaojua kutengeneza hivi vidude nimekula leo vitamu sana vinaitwa kabaragara hivi hapa chini kwenye picha..
0 Reactions
26 Replies
8K Views
Nazimiss sana. Anaefahamu nitumie message au post hapa please :)
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Jifunze kutengeneza Bamia kwa uharaka na ladha safi MAHITAJI: 500 gms bamia mbichi (Ladiesfinger) 2 vitunguu vikubwa kata slice 1 kijiko kidogo cha chai tangawizi iliyosagwa 1 kijiko kidogo...
3 Reactions
7 Replies
6K Views
Naombeni msaada wa jinsi ya kupika cake jamani ni muhimu sana kwa yeyote anaeweza naomba maelekezo
0 Reactions
1 Replies
8K Views
kwa wazoefu jamani, nimeletewa zawadi ya halua na rafiki yangu, sijawahi kula hii kitu, kwa wazoefu halua inaliwaje maana naiona kama jelly like haieleweki eleweki hivi. Nawasilisha.
0 Reactions
13 Replies
19K Views
The Social Cooking App - allthecooks.com Ahsanteni
4 Reactions
9 Replies
2K Views
MAHITAJI yogurt vijiko 2vya chakula sukari 1/4 mug hamira kijiko kimoja cha chai iliki kijiko kimoja cha chai samli kijiko kimoja cha chakula unaweza tumia,maji/maziwa/nazi yapime katika mug...
4 Reactions
13 Replies
10K Views
Let me teach you how to cook Spaghetti (Macroni) Mixed with Eggs. Warm the water. Heat the sauce pan, put in cooking oil (the amount depends on the quantity of Spaghetti your cooking). Slice...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Mimi kupika siyo tatizo, kwani nifundi kupita wanaweke wengi tu, tatizo nikuosha vyombo. Mbinu gani nitumie ili vyombo vilivyotumika kupikia na kulia chakula visikae zaidi ya masaa 5 bila kuoshwa.
0 Reactions
4 Replies
3K Views
1 kg Viazi mviringo/ulaya 1/2 kikombe unga wa ngano 1 kijiko bizari(rangi ya mchuzi) 4 malimau/ndimu au upendavyo chumvi kiasi 6 ltrs maji...yakutosha kuivisha Namna ya kupika 1)Chemsha viazi...
5 Reactions
15 Replies
19K Views
Wagoshi wa kaya kutoka Mombo, Lushoto. Nimelila tunda hili , ni tamu sana na very natural taste. Jina lake niliambiwa likanitoka pale Mombo.c Linaitwaje?c
1 Reactions
51 Replies
14K Views
Wadau katika pitpita zangu mitaani harufu ya chakula ninayoisikia ni pilau tu,jamani kwa nini pilau tu na isiwe chakula kingine?
0 Reactions
24 Replies
6K Views
Naomba msaada wandugu.
0 Reactions
27 Replies
14K Views
Back
Top Bottom