Jukwaa la Mapishi

Mijadala mbalimbali ya wanajamii inayohusiana na mapishi
Vipimo Uwanga (corn flour) ¼ kilo (250g) Sukari 2 kilo Samli au mafuta ya kupikia 2 kilo 3lita Hiliki 2 vijiko vya supu Kungumanga 1 kijiko Majani ya chai 10 vijiko au...
0 Reactions
5 Replies
6K Views
Mahitajiiliki chumvi mafuta ya kupikia maziwa(2cups) unga wa ngano mags 3 siagi(40gr) sukari(80gr) hamira(10gr) yai 1 chungwa 1 Sukari ya juu unaweza tumia njia mbili ya kwanza ni icing sugar...
1 Reactions
3 Replies
23K Views
Habarini wanandugu. Leo nataka kuwafundisha mapishi ya viazi vyakuchemsha. Ni chakula kitamu narahisi sana kupika. Mahitaji Viazi mbatata 6 Hoho 2 kubwa Karoti 3 kubwa Vitunguu maji 2...
2 Reactions
13 Replies
38K Views
Jamani,naombeni msaada, mimi na shemeji yenu tuna tatizo,kila siku tunapopika nyama kesho yake lazima iharibike,ikose radha,tumejaribu kufanya jitihada kibao imeshndkana,SERIOUS NAOMBENI MSAADA
0 Reactions
21 Replies
4K Views
afrodenzi,asante.nimependa hiyo ya kutoa pilipili mbegu manae wengine hupaliwa. nice one. natamani kupata ujuzi wa grilling zaidi. kwenye oven ya jiko la gas niliweka samaki wa foil ikawaka...
1 Reactions
7 Replies
5K Views
jamani eh anayejua mapishi ya mbaazi za nazi zinakuwa kama keki vile maarufu sana mitaa ya Kariakoo na magomeni unafungiwa kwenye karatasi ,unaweza kusafiri nazo hadi hata Mbeya ni nzuri sana...
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Ingredient 1/2 water melon 5 lemons 1 glass sugar 5 glasses water Ice cubes Maelezo. Likate hilo water melon, ondoa magamba yake na tumba zake. Kata ndimu na kamua ili upate majmaji yake...
1 Reactions
16 Replies
3K Views
Pale Millenium Tower Makumbusho karibu na mgahawa wa Steers wana mashine ambayo hutengenezea Juice ni kama juicer hizi zetu lakini ni kubwa,unaingiza karoti na kuigandamiza hadi inatoa juisi,sasa...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Wakuu kila nikipika wali bado hautoki vizuri ,nipeni ujanja wali utoke mmoja mmoja,sababu nikuandalia wali unaweza usitofautishe na ugali.
0 Reactions
26 Replies
17K Views
Hii Kitu nimekula miaka 40 iliyopita wakati nilikuwa ninakwenda shule Mjini hapo Dares-salaam mpaka leo bado wanaichoma hapo mjini jamani nauliza? Sukuma siku mbele.... Udenda unanitoka nime i...
3 Reactions
34 Replies
8K Views
Anayekitaka kitabu cha bure soft copy ya kupika aingie hapa Recipe Cookbook - Download
2 Reactions
5 Replies
12K Views
Habari , ninapenda sana kupika mandazi, sambusa n.k ila nikishaivisha mandazi yanakua yamenyonya mafuta mengi sana, na ndani yanakua hayana nyama. Ninaomba mnijulishe...
0 Reactions
11 Replies
13K Views
Jama msaada plz ni vip ntaandaa maziwa ya mgando!
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Nimepata maelezo haya kutoka kwenye mtandao nahitaji nisaidiwe kutafsiri kwa kiswahili ili nikapike cake hii vizuri wapendwa. Si unajuwa tusio na vitu kama mizani za kupimia hizi gramu zilizotajwa...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
MAHITAJI kuku 1 mkate vipande upendavyo swaumu(thomu) tangawizi vinegar pilipili ( napendelea black papper grounded) vijiko viwili vya curry powder (simba mbili is the best) MAANDALIZI...
2 Reactions
28 Replies
12K Views
Nimekuwa mpenzi wa achali ya ndimu. Kwa muda mrefu naagiza au nanunua sehemu mbili tofauti jijini Tanga. Leo nimeona niombe msaada hapa JF niweze kutengeneza mwenyewe kwani napata shida...
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Mahitaji Mihogo kilo 1 Kidali cha kuku 1 kikubwa Nyanya 1 kubwa Kitunguu maji 1 cha wastani Swaum/tangawizi i kijiko cha chai Nazi kopo 1 curry powder 1 kijiko cha chai Binzari manjano 1/2 kijiko...
1 Reactions
0 Replies
10K Views
Msikose basi nawasubiri. Ndo nishapakua na masahani yako jamvini
5 Reactions
13 Replies
2K Views
chukua hizi tips za kuwahi kuandaa chakula.. There’s not always a great deal of time in the week to cook. Check out these time-saving tips that are often used in professional kitchens, but can...
5 Reactions
7 Replies
2K Views
please instruct me on how cook garlic chips with parsley leaves
1 Reactions
12 Replies
4K Views
Back
Top Bottom