Jukwaa la Mapishi

Mijadala mbalimbali ya wanajamii inayohusiana na mapishi
Mahitaji Kisamvu ....................................................... 2 vikombe Kunde mbichi zilizochemshwa .............. 1 kikombe Kitunguu...
1 Reactions
11 Replies
10K Views
Msaada please namna ya kupika cake!!
1 Reactions
4 Replies
11K Views
tofauti ya lamb na mutton mfano utatofautishaje lamb curry na mutton curry
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Wadau walio wataalamu wa kupika mashed potatoes naombeni mtuwekee mahitaji yake hapa na jinsi ya kupika chakula hicho.Natanguliza shukrani zangu za dhati maana napenda sana hicho chakula ila...
0 Reactions
12 Replies
11K Views
mahitaji 1. Nazi 2. Punje kadhaa za vitunguu swaumu kadri upendavyo 3. Karoti 4. Corriender leaves 5. Pilipili 6. Ndimu /limao 7. Maji kiasi kuna nazi, grate karoti, menya swaumu ...
0 Reactions
10 Replies
13K Views
Mahitaji 1/2 kg Mchele uliooshwa na kulowekwa. 1/4 kg Choroko zilizooshwa 1 cup Coconut powder 11/2 tsp Chumvi Maelekezo Chemsha choroko mpaka ziive, halafu bandika sufuria yako ya maji ya...
3 Reactions
10 Replies
15K Views
saves up to 10 persons ingredients; 1/4 lit plain yogurt 1 lemon, juiced 3 garlic cloves minced salt to taste directions In a small mixing bowl, combine yogurt, lemon juice, garlic, and salt...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Mapishi ya maharagwe na pilipili manga Mahitaji Maharagwe gramu 250, karanga gramu 100, karoti moja, koliflawa gramu 200, pilipili manga gramu 50,mchuzi wa sosi kijiko kimoja, siki vijiko...
0 Reactions
3 Replies
6K Views
Mahitaji 1. 1/2 kg cabbage 2. Corriender leaves. 3. Pilipili mbuzi au aina yeyote 4. Ndimu 3 au mapendekezo. 5 Maji 1/2 glass 6. kitunguu saum kijiko kimoja Kata makabichi yako kama vile...
3 Reactions
2 Replies
5K Views
Habari zenu wa JF Chef naomba kwa anayejua jinsi ya kupika ndizi za nazi pia hizo ndizi ni lazima ziwe mbivu au mbichi? Msaada kwa hilo wandugu.. Nakala; X-PASTER Lizzy AshaDii
1 Reactions
19 Replies
22K Views
aina ya kwanza mahitaji, KITUNGUU MAJI, SWAUMU, NYANYA ,KAROTI, NDIMU, HOHO, MAYONAIZI UTAYARISHAJI 1.saga nyanya kwenye kikwangulio karori(greta wanaitaga) 2.saga na karoti pia, 3.kata...
1 Reactions
2 Replies
5K Views
Mapishi ya Kabichi Kabichi 1/2 kilo Nyanya ya kopo 1/2 Kitunguu 1 Curry powder 1/2 kijiko cha chai Chumvi Olive oil Matayarisho Kwanza kabisa bandua magada ya juu ya kabichi, kisha ioshe na...
2 Reactions
2 Replies
7K Views
Bado najifunza kupika keki hasa upambaji. Hii ni keki yangu ya kwanza kabisa niliyopika na kuipamba mwenyewe. Sasa hivi najua kupika flavour mbalimbali na kupamba zaidi ya hapa. Sina mpango wa...
0 Reactions
14 Replies
5K Views
Juisi Ya Melon Na Embe Vipimo Na Mahitaji Tikiti la asali (honey melon)..............1 Unga wa embe au embe...................1 Tangawizi........................................1 Kijiko...
2 Reactions
3 Replies
4K Views
Jamani mie ndio nimetoka supermarket na nimenunua hiki kitoweo, tayari kukipeleka kwa mke wangu measkron aniandalie lunch...naombeni mnishauri nipikiwe vipi hiki kitoweo?
1 Reactions
10 Replies
3K Views
Mapishi ya supu ya matango ya baharini na pilipili manga Mahitaji Matango gramu 750, pilipili manga gramu 3, vipande vya vitunguu maji gramu 25, mvinyo wa kupikia gramu 15, chumvi gramu 4...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
First artificial burger to cost £250,000 The Telegraph Artificial meat created in a lab could be ready to eat within six months, scientists claim – but the first burger will cost more than...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Miye tayari vipi wewe?
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Mapishi ya korosho na mahindi Mahitaji: Korosho gramu 100, mahindi gramu 50, figiri gramu 80, chumvi kijiko kimoja, chembechembe za kukoleza ladha nusu ya kijiko Njia: 1. kata figiri iwe...
2 Reactions
1 Replies
5K Views
Back
Top Bottom