Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Wakuu, mwenye GN. No.12 of 2004 anisaidie tafadhali. Naambiwa ndio yenye kuRegulate building permit Arusha City Council. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
692 Views
Wajukuu wanagombania aridhi,watoto wote ni wakiume yaani babu yao ni mmoja kasoro baba zao tofauti,kuna shamba lilikua lina milikiwa na babau yao alipofariki baba zao wakawa wanalimiliki hatimaye...
1 Reactions
6 Replies
3K Views
Naweza kuchukua hatua gani ikiwa mwenye duka amekataa kupokea bidhaa aliyoniuzia kwa "warranty"? Tafadhali naomba msaada.
1 Reactions
10 Replies
4K Views
Mimi ni mkulima kila mwaka majirani zangu wamekuwa wakilima mashamba yao kwa kutumia ng'ombe.tatizo wanavukisha na kukanyaga shamba langu hata kama tiyari nimepanda mazao Nahitaji kujua sheria...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Tafadhali mwenye kujua kifungu kinachokataza kulima au kupanda mti kwenye kiwanja chako anisaidie. Ninachomaanisha ni kuwa kama nina kiwanja kiko mjini naweza kupanda vitu kama miti ya miembe...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hivi ni hatua zipi za kufuata pale ambapo mtu ameshindwa kesi katika baraza la kata na anapuuzia hukumu ya baraza hilo licha ya kushindwa kesi.Naombeni maelekezo katiko hilo
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Hivi mtu akisitishiwa mkataba na alikuwa kabakiza kama miezi sita ni lazima alipwe pesa ya mkataba wake au asilipwe maana naona makampuni mengi yakiwasitishia watu mikataba huwa yanawalipa mwezi...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Mjadala kuhusu rangi za bendera ya Taifa la Tanzania ni mzito kuliko nilivyodhani. Nimepekua baadhi ya nyaraka za kimataifa na zenyewe zinakinzana. Bendera ya Tanzania ilizinduliwa rasmi Tarehe...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
SHAHADA YA KWANZA YA SHERIA (LL.B) PEKEE HAIMFANYI MTU KUWA NA SIFA ZA KUWA WAKILI. Kuna wanasheria na wanasiasa hata raia wa kawaida wanaamini au kuaminishwa kuwa kupata shahada ya kwanza ya...
5 Reactions
28 Replies
8K Views
Mawakili wapya kupokelewa na jaji mkuu 14-12-2018 pale Law school of Tanzania. Mawakili hawa wapo 909 na wengi ni Majaji wastaafu,Mahakimu na ma afisa wengi wa serikali. Balozi Valentino mlowola...
2 Reactions
11 Replies
3K Views
Sheria Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
32 Replies
8K Views
Pole na majukumu wataalamu.! naomba kujuzwa juu ya sheria zilizowekwa na serikali katika viwanda vidogo vya uzalishaji, yaani matakwa mbalimbali yanayotakiwa yafatwe ili hicho kiwanda kitambulike...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakuu wanajamvi, nawaombeni kwa dhati ya moyo wangu niwekeeni hapa softcopy ya sheria namba 17 ya mwaka 2007 ya barabara - The Tanzania Road act #17 of 2007. Nimeitafuta maeneo mengi na sijaipata...
0 Reactions
4 Replies
6K Views
Ndugu wanajukwaa habari,naomba kufahamu kidogo kuhusu hukumu kama hii:mtuhumiwa anapohukumiwa mfano miaka mitatu jela au kulipa faini mfano milioni mbili kwa kosa lolote ikatokea akawa hana iyo...
0 Reactions
1 Replies
961 Views
Wanasheria naomba kufahamishwa taratibu zipi zinatakiwa kufanyika kabla ya mwajiriwa kupewa barua ya kusimamishwa kazi kisheria.
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Kuna tofauti gani kati ya kosa la wizi na kosa la kukusudia kuiba mbele ya sheria?
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Naomba msaada jamani, ni kwa jinsi gani mwajiri anaweza kuthibitisha/kuprove kosa alilonifukuza nalo la wizi wa mafuta kwenye mahakama?
0 Reactions
28 Replies
5K Views
Habari jaman wana jamii forum mimi mimi nina kesi yangu ambayo kuna mtu alini kopesha pesa zake baada ya hapo nikashindwa kumrudishia kulingana na muda tulio pangiana lakini jamaa akanipeleka...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habarini za muda huu wadau Naombeni kutajiwa sheria zinazohusika na mambo yafuatayo kama utakuwa na kifungu kinachotaja specifically nitashukuru 1. Sheria inayohusika inayosema ndaiwa akifikia...
4 Reactions
6 Replies
1K Views
Law
Wasomi hivi individual anaweza akafile criminal case ikiwa Upande wa Republic umeshindwa kumtendea haki ya kufungua shauri
1 Reactions
2 Replies
820 Views
Back
Top Bottom