Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

jamani nina mapendekezo na pia nina maswali, nahisi kila mtu atakua anajiuliuza au alisha wahi kujiuliza pia... inawza kuwapia imeshaongelewa hapa...(JF) .... swali langu ni kwamba , hivi...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Akiri kosa na kuomba radhi Kiongozi wa chama kikuu cha upinzani cha Concervative bwana David Cameroon, leo imebidi aombe radhi baada ya kuonekana wazi anafunja sheria ya barabara ambayo...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Leo huko DSM high court serikli ilikuweka pingamizi tena kutaka ku appeal uamuzi wa jana wa Jaji Rumanyika. Hivi hii sheria bado inatumika au vipi. Stanley Mitchell Quote: "Prior to 14th...
0 Reactions
0 Replies
572 Views
Leo jion Umeme ulikatika na baada ya kurudi ulikuwa mwingi kiasi cha kuunguza vitu vyangu ambavyo ni TV 32", Decoder mbili AZAMTV na DSTV, HOMETHEATER LG WAT 100, CHARGER moja, Extention Mbili...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Ni miaka mingi imepita kama sita hivi.Kwenye familia ya Baba yangu kulitokea ugomvi kidogo.Mdogo wa baba wa mwisho alienda kwenye shamba la kaka yake akachuma mazao yasiyofika hata thamani ya elfu...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nisipoteze muda niende mojakwamoja kwenye maada Hivi uki oa mwanamke ambaye ameachika na amezaa watoto na akawaacha kwa baba yao Baada ya muda akaolewa na kwenda kuanza maisha mapya na mungu...
0 Reactions
3 Replies
777 Views
Nimesikia mara kwa mara kwamba Mahakama Kuu hutoa Hukumu kulingana na Sheria (wana bold spirit) lakini Mahakama ya Rufani imekaa kisiasa zaidi (wana timid spirit na hawataki kabisa kufungua...
0 Reactions
12 Replies
10K Views
Wanajamiiiii habarini kama heading inavosema,nilipenda kumjua uyu bwana jebra kambore kwa undani kama mwanasheria.Nilipenda kujua nilipi haswa ameishalifanya kama mwanasheria ambalo lilimfanya...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Hellow learned fellows, I am a respondent in an Appeal to The High Court (Labour Division) representing myself, where the Appellant is represented by a professional Advocated. What bothers me...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wana jamvi samahani afisa kazi mfawidhi ana mamlaka gani kwenye migogoro ya kazi msaada plz
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mada inajieleza. Hivi kama unadaiwa bill, na bahati mbaya uko kwenye mchakato wa kulipa, ni sheria IPI inayowapa mamlaka ya maji kuja kukata maji na kuchukua mita bila mtu yeyote kuwepo na mita...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Nilishinda kesi ya jinai katika Mahakama ya mwanzo (kuvunjiwa na kuibiwa). Baadae nikashauriwa nifungue kesi ya madai ili nilipwe haki zangu yaani pesa inayolingana na thamani ya vitu...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wadau naomba kujua formula ya kutafuta haya malipo kwa Tanzania.
0 Reactions
17 Replies
4K Views
This Question requires explaining the meaning of the business association
0 Reactions
0 Replies
617 Views
Heshima kwenu waungwana. Naomba msaada wenu wataalam wa sheria...mwaka jana nilimwekea kaka yangu dhamana ktk kesi ya madai inayomkabili iliyofunguliwa ktk mahakama ya mwanzo hapa Ilemela...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Habari zenu wakuu, Mi nimeshindwa kuielewa hii kodi, Huu mwezi wa 11 nimefanikiwa kuanzisha biashara yangu sasa nimefuatilia kila kitu na kwa levo yangu kodi nikaambiwa ni 150000 ambayo unaweza...
0 Reactions
16 Replies
1K Views
Nilikuwa nafanya kazi kampuni S nilikaimishwa nafasi 2 za uongozi (meneja lkn pia mkuu wa idara) kumbuka mm nilkuwa mfanyakazi wa kawaida, likaja gari la mafuta lenye Lita 18,000 lakini invoice na...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Habarini wasomi katika sheria ni nyanja ipi ina Legal problems nyingi kwa sasa hivi
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wadau naomba kujua kama is possible kubadili jina ili hali document zangu kama certificates na passport ziko kwenye jina lingine. nataka kubadilisha first name na kutumia jina la ukoo kama...
0 Reactions
9 Replies
8K Views
Wakuu habari!! Mwenzenu kuna Boss kanifungulia kesi ya kumwibia hela ofisini kwake kitu ambacho si kweli kwani mimi siko ofisini toka mwezi wa 4. Ilikuwa hivi nilkua nafanya kazi katika taasisi...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Back
Top Bottom