Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Habari wadau, Ishu ipo ivi. Nina babu yangu ambae anamjengo wake alimkodisha mama mmoja. Huyu mama amefungua skuli na amefanya ni kama orphanage house. Sasa ikafika kipindi huyu mama akawa...
0 Reactions
0 Replies
969 Views
Wasalaam! Naomba nijikite moja kwa Moja kwenye mada husika, mimi ni muajiriwa mwaka wa tano sasa katika kampuni ya mtu binafsi bila ya mkataba lakini juzi tumeletewa mkataba ghafla tusign. Je ni...
1 Reactions
2 Replies
972 Views
Habari wana jf?, Mimi ni mtumishi (mshika chaki) kuna mtumishi mwenzangu tumezinguana nae kutokana na tabia zake za ajabu, hasa za kunisema vibaya mbele za wanafunzi, huku yeye akijikweza...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari wakuu kuna trend ya watu kutishiana vitu mtandaoni bila kujali sheria ya Tanzania inasema vipi. Unakuta mtu anasema hadharani kamlawiti flani mtandaoni na bado anachekewa kabisa hii haiko...
3 Reactions
27 Replies
2K Views
Habari zenu wana group ninajambo moja dogo la kiufafanuzi. Sheria ya mirathi inasemaje ikitokea baba amefariki na alikuwa na watoto wawake tofauti tofauti? Hiki za watoto zinasemaje hasa kwa...
1 Reactions
20 Replies
4K Views
Habari waungwana.. Mwajiri ameamua kunipangia kazi nyingine tofauti na ile tulio ingia naye mkataba, baada ya kufanya kazi kwa miaka miwili, amesema hajaridhishwa na utendaji wangu.... Hivyo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Awamu ya Mzee Mwinyi iliongoza kwa kunyonga 2008-01-30 17:28:15 Na Job Ndomba, Dodoma Serikali ya awamu ya pili iliyokuwa ikiongozwa na Ali Hassan Mwinyi almaarufu kama Mzee Ruksa ndiyo...
0 Reactions
54 Replies
17K Views
Nimehuisha leseni (renew) ila haijatoka naruhusiwa kuendesha gari kwa wakati huo nasubiri?
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Nmesema hayo sababu kuna askari alipewa kufuatilia mtuhumiwa Wangu lkn sikumuelewa ile siku namwambia mtuhumiwa yupo leaders club akadai hawez kwenda sababu anapajua leaders club sio pa mchezo...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wanajamvi, naomba kuuliza na kujibiwa hili. Je, kuna ukomo wa kudai mirathi wa wenye haki hiyo? (mfano mtumishi wa uma amefariki miaka 30 iliyopita.) Je, iwapo wale waliokuwa wapewe mirathi tayari...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Utaratibu ukoje nini hatua za kuchukua ili haki itendeke
0 Reactions
4 Replies
914 Views
Nafahamu vyama viwili vya walimu CWT na CHAKAMWATA. Je ni sawa CWT kuendelea kuchukua 2% kwa mwalimu ambaye amehamia CHAKAMWATA na kuidhinisha kwa fomu TUF 6 kuwa michango ielekezwe CHAKAMWATA...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari za muda huu wadau wote wa jukwaa hili,napenda kutoa pongez kwa wadau wote wa humu kwa kutufungua mind na kutupa mind nourishment for sure salute for all,naombeni msaad hap,ivi baba mwenye...
1 Reactions
4 Replies
769 Views
Habar za Leo. Naomba kuuliza juu ya Adhabu ya kutoa lugha ya kuudhi kwa mtu flani sheria ya mawasiliano na Electronic ya mwaka 2010 inasemaje?
0 Reactions
0 Replies
704 Views
Wanabodi, unasimamishwa na askari wa trafiki Kariakoo hana kitabu wala mashine ya elektroniki, anakukagua na kukwambia utalipia kosa fulani na kuwa kesho ukikutana na trafiki mwambie aku-printie...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
A FEW DAYS AGO I GOT DECISION (TUZO) FROM CMA KINONDONI THAT MY FORMER EMPLOYER SHALL PAY ME TZS 3,000,000/=. THE CASE WAS DECIDED EX-PARTE. MY EMPLOYER FAIL TO COME TO THE HEALING LAST 3 TIMES...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Leo nimeamka nawaza hii kitu sikupata jibu ..nikaona nililete kwenye jf maana watu vchwa wako humu. Swali hili: Jeni ni makosa gani unaweza kufanya mwananchi ikapelekea kufukuzwa nchini.mfano...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Wenye taaluma ya sheria naombeni mnisaidie nawezaje kuishitaki kampuni ya simu ambayo imekuwa ikishindwa kuweka wazi miamala ya pesa iliokatwa kimakosa na kampuni husika na ni tatizo la kujirudia...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari za jumapili wadau, niende kwenye hoja moja kwa moja nilibahatika kununua kaeneo sehemu aliyeniuzi sasa ni marehemu Mungu kampenda zaidi ila yeye halikuwa eneo lake alikabithiwa tu kuuza na...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…