Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

LAWYERS By Mohandas Mahatma Gandhi Reader : You tell me that when two men quarrel they should not go to a lawcourt. This is astonishing. Editor : Whether you call it astonishing or not, it is...
2 Reactions
0 Replies
699 Views
Unaweza kuingia mkataba wa mil 50 Kwa kutumia business name?
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Wasomi /wakuu habari za siku, Mimi ninatatizwa na usemi hapo juu maarufu "kujichukulia sheria mkononi" Hivi karibuni kumetokea baadhi ya wananchi kufanya maamuzi kinyume na sheria (nionavyo...
2 Reactions
18 Replies
2K Views
Tuanadanganywa, Tunapumbazwa, ama Wanasheria au mawakili wa Serikali hawajui Sheria. Sina mengi napenda kujua hilo tu maana sielewi ni kitu gani kiko ndani yake,
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Wakuu, Msaada please, aliye na Fomu (form) za kufungulia shauri kwenye tume ya Usuluhishi na Uamuzi (CMA) naomba anirushie hapa. Natafuta soft copy sababu hard copy inachangamoto zake kuijaza...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
.
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Naomba kufahamishwa kutokana uzoefu wenu ktk makampuni ya Bima, je ni kampuni gani ambayo inalipa kwa haraka na uhakika pindi ajali inapotokea kwa chombo cha moto au nyumba imepata tatizo...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Naomba msaada kwa yeyoye anayejua Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Nimeona kesi ya IPTL ( Sethi na Rugemalila) inasimamiwa na PCCB but kwa uelewa wangu. PCCB wanafanya uchunguzi then wanapeleka jalada kwa DPP kwa ajili ya mashtaka je huu utaratibu umebadilika?
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Kipo kisa cha udhalilishaji kimefanyika huko Iringa, ila nashangaa baadhi ya viongozi wanaomba serikali eti ichukue hatua kali dhidi ya mdhalilishaji. Kisa kiko hivi: Mwanamke mmoja kaenda zake...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Wakuu, Nilikuwa na kesi ambayo ilikuwa tunagombea kipande cha Ardhi. Ushahidi pande zote ulitolewa, mimi nilikuwa mlalamikaji. Hukumu ilitolewa kwamba mimi sina haki. Lakini katika mwenendo wa...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Wadau kama kichwa kilivyo, Kuna ndugu yangu amemjeruhi mtu kwa kumkata na panga baada ya kumfumania na mke wake, sasa amekamatwa yuko chini ya vyombo vya sheria. Nimefuatilia tukaambiwa kwa sasa...
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Kangaroo wote tunamjua,kama siyo kwa kumuona mubashara basi hata kwa picha.Wengi wetu tulianza kumuona kipindi kile tuko kule kwa bibi kijijini Shitimbi,ni mnyama ambaye mara nyingi hubeba watoto...
0 Reactions
0 Replies
909 Views
Jamani naomba msaada eneo langu linachukuliwa na limekwisha endelezwa nanyang'anywa bila kuusishwa nataka nifungue kesi msaada nisimamie sheria zipi na vifungu vipi?
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wandugu, Nilimaliza chuo mwaka 2012 baada tu ya kumaliza chuo nilikuwa na Akiba yangu ya 2ml. Nikaamua kufanya biashara ya simu. Miaka miwili baadaye nikafanikiwa kuwa na mtaji, nikaamua...
0 Reactions
50 Replies
6K Views
Habari wasomi, Nimekuwa nikipokea sms hizi kwa wingi kutoka vodacom kupitia namba 15017 ikinisisitiza juu ya matumiziya ARV pamoja na kujijali dhidi ya HIV. Kiukweli hizi sms zinaniboa na...
1 Reactions
22 Replies
3K Views
Je, Bunge lina mamlaka ya kufuta kifungu mama na kinacho tengeneza sura ya katiba na mfumo wa utawala bila kushirikisha wananchi?? ZINGATIA "Legitimacy of the people"
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Naomba kujua sheria ya ubomoaji majengo upoje? Je kama ni utanuzi wa bara bara kwamba halikuwepo hilo wazo mwanzo walipokua wanajenga watu sheria inasemaje? Na mwisho kama watu walijenga kwenye...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Jamani mimi nilikuwa mfanyakazi kwenye sekta ya madini nimeachishwa kazi muda wa miezi nane lakini kila nikienda NSSF nazungushwa njoo baada ya miezi miwili mara mwezi bila mafanikio je kuna njia...
1 Reactions
0 Replies
858 Views
Back
Top Bottom