Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Jamani mwenye soft copy ya Chipeta ya Civil Procedure. Naomba
0 Reactions
4 Replies
350 Views
Je unaweza kuomba temporary injunction/ stop order (zuio) wakati kesi iko kwenye hatua ya rufaa? Kwa mujibu wa Sheria ya Mwenendo wa Kesi za Madai (Civil Procedure Code/ CPC) unaweza kuomba zuio...
1 Reactions
1 Replies
929 Views
Wadau wa Masuala ya Mirathi naomba ufafanuzi juu ya hili. Je, Sheria inasemaje juu ya Mtoto aliyepatikana NJE ya NDOA je ana HAKI ya Kurithi MALI zilichochumwa na WANANDOA hao?
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Mtu akikufanyia fujo na kukujeruhi kwa kutumia silaha (Chupa za soda zilizovunjwa) unatakiwa kufanya nini baada ya ya kumfikisha kituo cha polisi? Je, hii ni aina gani ya case?
0 Reactions
2 Replies
413 Views
Habari, leo nakuletea makala fupi kuhusu dhamana kwa mujibu wa Sheria za Tanzania. Kwa kusoma makala hii utajifunza mambo yafuatayo: (i) Utajua maana ya dhamana (ii) Msingi wa dhamana kisheria...
3 Reactions
10 Replies
8K Views
Salaam wakuu! Wanajamvi nilifungua shauri la madai katika mahakama ya mwanzo dhidi ya bwana mmoja jirani yangu ambaye alionekana kuwa mgumu kunilipa pesa yangu niliyomkopesha mwaka juzi 2022! Huyu...
7 Reactions
31 Replies
1K Views
Jambo la kwanza kabla ya kuamua kushtaki au kufungua kesi Mahakamani hakikisha una miguu ya kusimamia Mahakamani, kisheria tunaita LOCUS STANDI. Locus standi ni neno la kisheria lenye asili ya...
0 Reactions
0 Replies
389 Views
Kama kichwa kinavyoelezea hapo juu, kuna kampuni moja binafsi imenitapeli kiasi cha pesa. Sasa naomba kujua nawezaje kufungua kesi na kuishtaki ili niweze kupata haki yangu. Pesa yenyewe...
0 Reactions
5 Replies
471 Views
Issue: Whether ex parte judgment can be appealed against without first attempting to set it aside?. By zakariamaseke@gmail.com Advocate Candidate - LST. Umeshtakiwa alafu hujatokea Mahakamani...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wataalamu wa sheria jamaa yangu amedharilishwa Kwa kutukanwa na kuambiwa kuwa ameua mtu Ambae alikufa mwaka Jana Kwa ajali ya kugongwa na gari. Je, anatakiwa afanye nini ili ashtaki ili...
1 Reactions
19 Replies
844 Views
Kuna binti alikuwa na ujauzito wangu. Alitarajiwa kujifungua December hii (makadirio yalikuwa tar. 7). Nimeona muda unazidi kwenda kimya nikauliza akaniambia mimba ilitoka mwezi wa 9. Sina...
9 Reactions
115 Replies
4K Views
Habari wana JF, ni matumaini yangu wote mko sawa, nadhani hii ni mara ya kwanza kupost hapa ubaoni ninaombeni msaada maana nimeshindwa hata kulala yaani. Labda nielezee hivi, sisi ni wakristo...
2 Reactions
24 Replies
2K Views
Nyaraka ikishapokelewa kama kielelezo Mahakamani, inatakiwa yule shahidi aliyeleta hicho kielelezo asome kwa sauti kilichomo ndani ya hicho kielelezo mbele ya Mahakama, ili upande wa pili kwenye...
1 Reactions
0 Replies
568 Views
Ushahidi Mahakamani (kwenye kesi za madai) unaweza kutolewa kwa njia ya mdomo (orally) au kwa njia ya maandishi (witness statement). Rejea Order XVIII (2) (1) ya CPC (amendments za mwaka 2021)...
1 Reactions
0 Replies
688 Views
PONGEZI sana Kwenu ninyi Wanasheria ambao mnajitambua kuwa nanyi mmetoka katika MAISHA ya kawaida na wengine kutoka katika MAISHA nafuu na mkabahatika kusoma iwe Kwa shida au Kwa raha na...
2 Reactions
2 Replies
364 Views
Ndugu wanasheria, rafiki yangu anaomba msaada wa kisheria ili apate haki yake. Alichukua mkopo bank na kuweka gari yake kama dhamana, ila kwa bahati mbaya akachelewesha marejesho mpaka dhamana...
0 Reactions
7 Replies
589 Views
1. Hukumu hii ni halali kabisa according to my legal observation. Reasoning ya waheshimiwa majaji iko correct...time barred serving of legal documents to respondents. under the following...
2 Reactions
7 Replies
2K Views
Hii ni elimu kwa Umma, Karibu sana kujifunza Mara nyingi migogoro ya mirathi huanza pale mwenye mali anapofariki, na ni mara chache sana kuona viashiria ama hatari ya kuwapo kwa mgogoro wa...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
NI RUHUSA MSIMAMIZI WA MIRATHI KUUZA MALI ZA MAREHEMU BILA RIDHAA YA WARITHI. Bashir Yakub,WAKILI +255 714 047 241. Sheria inampa mamlaka msimamizi wa mirathi kuuza mali za marehemu bila hata...
3 Reactions
9 Replies
2K Views
Labda nianze kwakusema wazi kwamba kwa mujibu wa sheria zetu Tanzania, Familia haiwezi kushitaki wala kushitakiwa. Kuelewa zaidi juu ya swala hili, nikukaribishe kuisoma Thread hii. ANGALIZO...
0 Reactions
3 Replies
605 Views
Back
Top Bottom