Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

MGAWANYO WA MALI ZA FAMILIA BAADA YA MUME NA MKE KUACHANA. SEHEMU YA 2 Mgawanyo wa mali za familia baada ya mume na mke kuachana unapaswa ufanyike kwa kuzingatia haki, ili kila mmoja apate kile...
1 Reactions
17 Replies
3K Views
P1) the rules must be expressed in general terms; (P2) the rules must be publicly promulgated; (P3) the rules must be prospective in effect; (P4) the rules must be expressed in understandable...
1 Reactions
0 Replies
204 Views
In a previous article, I highlighted several critical areas within Tanzania's tax statutes that require immediate attention and amendment, especially as the national budget is currently under...
1 Reactions
0 Replies
331 Views
Jaji Wa Mahakama Kuu anashangaa aina ya Hukumu iliyoandikwa na Mhe. Odira ambyo ilikuwa haina Hata Legal Citation Wala Case Authority Kujenga hoja yake. . Jaji anasema Hukumu yoyote Ambayo Haina...
6 Reactions
11 Replies
2K Views
Kwanza kabisa niombe Jamiiforums wasiunganishe uzi huu na Nyuzi nyingine zinazoelezea kuhusu sakata la Mtoto kulawitiwa Arusha na Kesi yake kufika kwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha. Sote ni mashahidi wa...
1 Reactions
8 Replies
492 Views
Wakuu wa JF, Msaada wenu unahitajika: 1. Naomba kujua taratibu za kupima kiwanja dar es salaam ikoje? Process inakuwaje na cost? 2. Kupata leseni ya makazi process yake ikoje? Asanteni
0 Reactions
28 Replies
20K Views
Nilimfungulia kesi mwajiri wangu kwa kuniachisha kazi unfairly tena kwa taarifa ya mdomo kwa kosa la uchelewaji wa siku moja tu ~Ni tangu mwezi April ~Kesi ipo CMA hatua ya uamuzi ~Upande wa...
3 Reactions
11 Replies
2K Views
In Tanzania, there is a widespread misconception that about 5 million Tanzanians out of over 60 million citizens are taxpayers. However, this belief does not reflect the true nature of the...
1 Reactions
0 Replies
329 Views
Nilifanya kosa kazini sikuingia kama siku sita hivi bila ruhusa, siku niliyoingia kazini niliambiwa niandike maelezo, baada ya kuandika maelezo niliambiwa nirudi nyumbani nitaitwa. Zimepita siku...
7 Reactions
40 Replies
1K Views
Wakati mwingine, lugha ngumu na utaratibu za kisheria zinaweza kufanya haki ionekane kama kitendawili. Kesi ya kijana Selemani inatupa somo muhimu: makosa madogo ya kisheria yanaweza kuleta...
2 Reactions
12 Replies
615 Views
Anonymous
Naomba kujua, hivi ikitokea kuna vikundi viwili vinashtakiana mahakamani na kikundi kimoja kikashindwa na kingingine kilichoshindwa kikakaidi kutumia hiyo hukumu, na kushirikiana na wizara...
1 Reactions
1 Replies
301 Views
Hoja ya kubadilisha sheria ya ndoa, hasa kwenye vipengele vya ugawanyaji wa mali baada ya talaka, ni mjadala unaoweza kuibua hisia tofauti na mitazamo mingi. Katika jamii yetu, ndoa ni taasisi...
0 Reactions
8 Replies
851 Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Nauliza ni kesi zipi unaweza kufunguwa mahakamani direct bila kupitia Polisi kulikojaa rushwa na mtuhumiwa kuwa ndio mwenye haki?
0 Reactions
6 Replies
640 Views
Ikiwa nauza shamba langu na mnunuzi amelipa nusu ya kiasi cha pesa na kukubaliana amalizie nusu iliyobaki baada ya muda flani! Ikiwa nimegairi kuuza na kutaka kurudisha pesa ya mnunuzi ila naye...
1 Reactions
12 Replies
495 Views
nna mdogo wangu alikua shule moja mkoa wa Dodoma, akakamatwa na simu shuleni na mkuu wa shule akiwa form 6 siku chache kabla ya mtihani.mkuu akakaa na simu hiyo na mdogo wangu alipomaliza shule...
5 Reactions
42 Replies
1K Views
“Urgent Measures Needed in the 2024/2025 Budget” Introduction Our country (Tanzania) is currently facing a severe economic challenge due to a sharp rise in container charges for imported...
1 Reactions
1 Replies
418 Views
Habari wakuu, naomba kujua Sheria inasemaje kuhusu adhabu kama utashitakiwa na kampuni kwamba umeisababishia hasara na kampuni kweli ikawa na ushahidi na ukapatikana na hatia kisheria...
2 Reactions
10 Replies
485 Views
Wadau kunamtu aliajiliwa na kupewa fixed one year contract. Mkataba WA kwanza ulipoisha akaopewa mwingine wa mwaka mmoja ukiwa na amajukumu ya ziada.Baada ya kupewa mkataba wa pili ,baada ya...
1 Reactions
23 Replies
2K Views
Wadau Wanasheria naomba msaada wenu juu ya hatua za kuichukulia Halmashauri iliyokataa kutekeleza HUKUMU ya MAHAKAMA KUU ya Mgogoro wa kiwanja. Baada ya Kushinda Kesi nilimwandikia Mkurugenzi wa...
2 Reactions
12 Replies
770 Views
Jamani kuna taratibu gani za kufuata kisheria iwapo umebakiwa mtoto asiye wako ukahudumia kuanzia mimba mpaka mtoto kuzaliwa ukaendelea kuhudumia halafu baadae ukaambiwa mtoto siyo wako. Je, kuna...
2 Reactions
18 Replies
2K Views
Back
Top Bottom