Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Haya ni baadhi ya maswali ambayo utapata majibu yake kwa kusoma makala hii fupi. 1: Je, mtu ambaye sio Wakili anaruhusiwa kumuwakilisha (kumsimamia) au kumtetea mtu kwenye kesi Mahakamani? 2...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wakuu nimekuwa nikiona hili neno hasa kwa wale wanao chukua degree katika sheria..likiwa ni jina na kitivo chao. Swali langu ni juu ya kirefu cha LLB, na origin ya neno hilo. Naomba msaada.
2 Reactions
199 Replies
23K Views
Ninawasalimu kwa heshima za hadhi zote ndugu zangu wa JF. Kwa heshima kubwa ninawashukuru sana kwa mawazo yenu yote juu ya maada niliyoileta kwenu iliyosema "NILITENGENEZEWA ZENGWE NA MZAZI...
4 Reactions
2 Replies
697 Views
Habari za humu ndani wakuu? Hope you are good. Wataalamu nina tatizo ambalo nahitaji ushauri au mtu yoyote mwenye uelewa hili suala tunaweza kulisolve vipi. Ipo hivi.. Kuna mtu nilifanya naye...
3 Reactions
17 Replies
2K Views
Wadau ninaomba kufahamishwa kuwa ni kifungu gani cha sheria katika Sheria ya Utumishi wa Umma ambacho kinatamka kwamba mtumishi wa umma aliyetuhumiwa kwa makosa ya jinai akikutwa hana hatia...
3 Reactions
5 Replies
557 Views
Habari zetu wote? Ni utaratibu upi wa kufuata ukitaka kumpeleka mtu mahakamani (kumshtaki)? Ni lazima uanzie kituo cha polisi au? Msaada tafadhali
2 Reactions
11 Replies
582 Views
Habari waungwana, Kuna jamaa yangu fulani anatuhumiwa kutenda kosa la kumshambulia mtu ambaye ambaye walizozana kidogo. Shida imekuja kuwa anaendelea kushikiliwa kituo cha Polisi huku suala la...
0 Reactions
4 Replies
513 Views
HAKI NA WAJIBU KWA WAFANYAKAZI WA KAZI ZA NDANI. [Updated Thread, 2024] [Prepared and posted on Facebook by Mr George Francis In 2021 & Posted On JamiiForums in 2022, now it's reposted here in...
1 Reactions
0 Replies
709 Views
Tunahitaji kucertify documents Pia tunahitaji Body resolution na Partnership bid Mawasiliano yetu 0687746471
1 Reactions
10 Replies
332 Views
Ushahidi kuwa ulimpatia nakala Attorney General lazima uoneshe kwa ushahidi kuwa ulimpa nakala ya barua ya kushitaki say shirika la serikali. Unatumika utaratibu gani kumpa nakala Attorney General...
4 Reactions
6 Replies
488 Views
Habari wakuu vipi wazima? Mimi mzima nina swali naomba nikuulize. Hivi kuna Sheria ya kumshitaki mwajiri kama alikuwa haweki hela za NSSF na loan board ukamshitaki, na lingine kama bima yangu...
0 Reactions
3 Replies
376 Views
BADILIKO 1: Ongezeko la kifungu kipya cha 9A ambacho hakipo kwenye sheria kinachotaja mafao ya mke/mume wa rais mstaafu. Baada ya rais kustaafu, mwenza/wenza wake atapokea kiasi cha fedha (kwa...
2 Reactions
50 Replies
3K Views
Hellow Learned brothers and sisters. Naomba mnifahamishe maana ya kukazia hukumu kisheria , nimekuwa nikilisikia hili neno Mara kwa mara lakini sijui maana yake. Katika kesi za madai...
2 Reactions
19 Replies
19K Views
Tukio lenyewe lilitokea hapo majira ya asubuhi mnamo Februari 21, 1978. Ni baada ya kuambiwa mumewe wakati anaenda kazini kwamba akirudi asimkute hapo nyumbani, na kama akimkuta, atamtoa hapo...
53 Reactions
289 Replies
95K Views
Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyojieleza Nahitaji kuishtaki kampuni ya Tigo kwani walichonifanyia jana wenyewe wanajua Wamenisababishia hasara ya zaid ya tsh milion 20 Kwahiyo mwenye...
9 Reactions
15 Replies
1K Views
Ukifungua kesi ya ardhi ambayo kiwanja kimesajiliwa au kina hati, unatakiwa kumshtaki pia na Msajili wa hati (Registrar of titles). Kushindwa kumuunganisha au kumshtaki Msajili kwenye kesi ambayo...
1 Reactions
0 Replies
450 Views
Jeshi la polisi kanda maalumu ya Dar es salaam limewatia mbaroni majambazi tisa wa kutumia silaha akiwemo askari polisi wa kituo cha polisi Oysterbay Jijini Dar es Salaam. Kamishna wa Polisi...
2 Reactions
60 Replies
20K Views
Kutokana na umuhimu na uhitaji wa mikataba katika maisha yetu ya kila siku, nimekusanya mkusanyiko wa sampuli za mikataba zaidi ya 100 zenye lengo la kutoa mwongozo na msingi wa kisheria katika...
5 Reactions
22 Replies
1K Views
Introduction Tanzania's current tax regime, characterized by a multitude of taxes and high rates, poses significant challenges for businesses and individual entrepreneurs. The array of taxes...
1 Reactions
0 Replies
413 Views
Habari wakuu. Kuna mtu tumezinguana tu sisi wenyewe kitaa..sasa naona yeye ameenda extra mile kanitumia ujumbe whatsapp ananitishia kuwa ataniua mimi na familia yangu wote. Je nichukue hatua gani...
2 Reactions
19 Replies
476 Views
Back
Top Bottom