Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Habari waungwana. Nimekuja hapa nikiwa na swali moja Endapo majina ya kwenye vyeti vyote vya elimu Kuanzia sekondari mpaka chuo yanasomeka CHAI C MBILI Ila Kwenye NIDA CHAI CHAPATI MBILI. Cheti...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Wakuu mimi kuna mtu aliniibia simu yangu usiku wa saa tisa nilimuona dirishani(kuna taa imefifia mwanga lakini unaweza kumuona mtu na mlangoni(pale mlangoni kuna ka duara hivi kwahiyo kabla ya...
11 Reactions
143 Replies
3K Views
Kuna mwanamke nimeishi nae kwa muda wa miezi 6, mambo yakaharibika baada ya kumkuta na mwanaume chumbani kwake, kukatokea ugomvi wa hapa na pale. Sasa huyu mwanamke ananishitaki mahakamani kwa...
1 Reactions
27 Replies
23K Views
MGOGORO WA ARIDHI TONDORONI Kesi ya ardhi namba 85 ya mwaka 2016, iliyowahusisha wanakijiji zaidi ya 700 wa Tondoroni dhidi ya Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Leo(03.04.24)mahakama kuu chini...
2 Reactions
12 Replies
2K Views
SHERIA INAKATAZA KUOA AU KUOLEWA NA X WA BABA AU MAMA YAKO. Bashir Yakub,WAKILI +255714047241. Kifungu cha 14 Sheria ya Ndoa kinakataza kumuoa au kuolewa na mtu yeyote aliyewahi kuwa mke au mme...
5 Reactions
12 Replies
1K Views
Hivi dhamana si haki ya kikatiba? Why Police officer on duty denied to bail person presumed innocent ? Hii imekaaje, Wasomi reasoning ya kwamba ni weekend ina mashiko kweli?
2 Reactions
2 Replies
376 Views
Mimi ni kijana wa umri wa miaka 29 nilikuwa naomba kueleweshwa katika hili mnamo tareh 13 nilipatwa na tatizo ila katika tatizo nilikuwa kazin na yule alikuwa mteja mie sikuingia kazini maana...
0 Reactions
0 Replies
214 Views
The Imperative of Timely Responses to 90-Day Notices and Swift Compliance with Court Decrees Introduction In Tanzania, the legal framework governing civil proceedings against the government is...
1 Reactions
0 Replies
253 Views
Habari wana jamvi, naomba ufafanuzi wa kisheria kwa jambo hili. Bwana X aliomba mkopo wa benk kwa dhamana ya nyumba ambayo ilikuwepo eneo ambalo halijapimwa na viongozi wa mtaa wakadhibitisha hati...
0 Reactions
1 Replies
295 Views
Wakuu naombeni msaada wenu kuna kiwanja niliachiwa na baba yangu miaka ya nyuma kipo Tanga wilaya ya Lushoto nahitaji kuuza hilo eneo sasa kwa bahatimbaya hatimiliki Sina sasa nawezaje kuuza...
2 Reactions
6 Replies
247 Views
Wana Bodi, Kwanza nikiri mimi si Mwanasheria. Nimekutana na jambo la fumanizi katika mazingira tofauti na kuona watu wakiadhibiwa, wakiaibishwa na kulazimishwa kuingia katika mikataba mbalimbali...
2 Reactions
11 Replies
5K Views
Kilele cha maonesho ya Wakulima na Wavuvi Nanenane kimewadia, Wananchi wanaendelea kujitokeza kwa wingi kwenye mabanda tofauti likwemo la Mama Samia Legal Aid Campaign ili kupata msaada wa...
2 Reactions
0 Replies
205 Views
Nimetembelea bonde la Ngorongoro mara kadhaa na kuona wanyama pori wengi ndani ya kama shimo hivi, inavutia sana na kushangaza. Lakini nimeona pia na makundi ya ng'ombe, punda, mbuzi na kondoo...
1 Reactions
3 Replies
423 Views
KURUDISHA ZAWADI. Kifungu cha 71 cha Sheria ya ndoa kinasema kuwa mtu anayo haki ya kufungua shauri kudai kurejeshewa zawadi ambazo alizitoa kwa mtu ambaye alikuwa ana ahadi ya kufunga naye ndoa...
4 Reactions
7 Replies
456 Views
Ikiwa Mtu ametoa tuhuma zinazohusu mtu au chama fulani, lakini kwenye tuhuma hizo akaandika jina ambalo sio sahihi. Je, Mtu huyo anaweza kushtakiwa na wahusika ambao kiuhalisia sio waliotajwa...
2 Reactions
1 Replies
256 Views
Wananchi waendelea kupatiwa msaada mbalimbali wa kisheria kupitia Kampeni ya Mama Samia Legal Aid Kampen iliyopo chini ya Wizara ya Sheria, katika kampeni hiyo watalamu wamepiga kambi kakitika...
0 Reactions
0 Replies
264 Views
“A Pillar of Fairness and Trust” Introduction During the swearing-in ceremony for newly appointed government officials, President Hon. Samia Suluhu Hassan emphasized the significant...
1 Reactions
3 Replies
429 Views
Habari wakuu (English version below) Ninafanya utafiti juu ya Changamoto za Kisheria katika kulinda Maarifa ya Jadi katika Tanzania Bara. Ili kupata matokeo ya utafiti yenye thamani, naomba...
0 Reactions
4 Replies
425 Views
Mnamo tarehe 26 Juni 2024, Mwanasheria Mkuu aliwasilisha mswada wa Sheria ya Marekebisho Mbalimbali Na. 2 ya 2024, ambao umefanya marekebisho kadhaa ya sheria, lakini kinachovutia zaidi kwa...
4 Reactions
25 Replies
962 Views
Back
Top Bottom